Gosbert
Member
- Sep 9, 2011
- 15
- 3
anaomba msamaha,anaponda humohumo,anasifia humo humo..kesi inayomkabili imemfanya anunulike kirahisi sana,mwoga wa jela huyu.,anachonikera zaidi ni kujifanya genius kuliko wote sababu alisoma HGL.
amenunuliwa kwa bei nafuu sana,!!kibanda usiogope kwenda jela kwa kesi inayokukabili kama alivyofanya yule wa mwananchi na tume ya mwangosi..kwenye msafara wa mamba na kenge kama kibanda wamo
Nimeipenda hii..