nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,638
- 20,248
Mkuu hoja yako mbona dhaifu sana...kama Dr Slaa alishinda urais mbona watu hawakuingia barabarani na kukesha.[/
tunamzungumzia kibanda
Mkuu hoja yako mbona dhaifu sana...kama Dr Slaa alishinda urais mbona watu hawakuingia barabarani na kukesha.[/
tunamzungumzia kibanda
Sidhani kama ni sawa sana mtu kama wewe kuandika vitu kama hivi?!,labda nikwambie ukitaka kujua urijali wangu we nambie nikukute chumba namba ngapi ili ujue niko sawa au siko sawa,mimi nilikuwa naamini humu ndani tunakwenda kwa hoja lakini kumbe naona huna hoja umeanza matusi,wewe sema uko chumba namba ngapi mimi nije ili uone na katika hili sipepesi macho,nawaomba mods msiiondoe wala msiniban kwa sababu yake mmeiacha imekuja,so nipeni haki yangu na mimi!!
Lakini ukumbuke kwamba wakati huo mamlaka ya utawala hayakuwa mikononi mwake. Alikuwa anapokea tu instructions kutoka kwa walio juu yake wakati huo akina Makamba. what can you expect out of Makamba. Ninachojaribu kueleza hapa ni ule uzoefu wa kukabiliana na changamoto na misukosuko ya kisiasa akiwa kama kampeni manager. Ni wazi yeye akiwa ndiyo mshika usukani atakuwa na nafasi nzuri zaidi maana anajua ni wapi huwa kuna loophole katika uchaguzi na atatoa maagizo, tofauti na mwanzoni alipokuwa anaagizwa.Lakini kumbuka kinana huyo huyo ndiye alishusha ushindi wa Kikwete kutoka 80% (mwaka 2005) hadi 61% (mwaka 2010). Na kinana huyo ndiyo alisababisha majimbo zaidi ya 15 ya CCM kupokwa na CHADEMA mwaka 2010. Sasa sijui mnaangalia tu past history yake tu au inakuwaje..
Ni aibu, tena aibu kubwa kwa mwanaume kuthubutu kuzungumzia mahusiano ya kingono ya mwanaume mwenzako. Hilo sio tusi bali ni ukweli halisi na mnapaswa kuutambua. Ni bahati mbaya sana kwamba baadhi yenu hamna hoja ya kuandika ama kujadili juu ya Dr. Slaa zaidi ya mambo ya mahusiano yake ya kingono ambayo hayatusaidii chochote kama Taifa.
Hatimaye mbivu na mbichi zinaanza kujitenga. Taraatiiiibu ukweli unaanza kujibainisha. Kibanda ameanza kuionesha sura halisi ya cdm na kuwaonya watanzania kuiogopa kama ukoma. Hapo dikteta anayemsemea Kibanda ni Slaa. J.K kanyaga twende acha wafu wa chadema wazikane wenyewe.
Huyu bado tu hataenda habari corporation? Kumsifia mtu ndio UKWELI(maadili), kweli hii taaluma inatumika kama mpira wa kiume! Huwezi amini kama ndio mwenyekiti wa jukwaa la wahariri
Ni aibu kubwa kwa waandishi kama hawa katika Tanzania.
Amenikumbusha Deodatus Balile aliyehama Freemedia kwenda Habari Corporation kwa style ya Aina yake
-Kujaribu kufananisha harakati hizi na za Mrema ni jaribio la kufifisha nguvu vuguvugu hili
-Kuhusu CHADEMA kukubali kukosolewa hilo naliunga mkono ila sasa si kwastyle anayofanya Kibanda.
-Nilitegemea kwa uzoefu wake aliousema angeweza kuandika kuhusu changamoto za kimfumo na kisera kwa kujikita kwenye itikadi zaidi badala ya kujadili sura za watu na mbinu za ujanja ujanja katika kushinda uchaguzi
-Imagine maandishi kama haya yanatoka kwa Kiongozi wa jukwaa la wahariri.
-Jenerali Ulimwengu inabidi ashirikiane sana na akina Ayoub Ryoba wapike kizazi kipya cha waandishi wenye weledi huko baadae
-Kwa wafuasi na viongozi wa CHADEMA:Tukubali kukosolewa kwa hoja za kujenga na pia tusiache kujibu hoja zinapopindishwa.Pia Mabadiliko ni gharama na katika safari hii wasaliti ni wengi.Tuwapuuze tusonge mbele
Mkuu unachokisema si kweli kabisa na kama una ushahidi fanya hivyo hapa.Mkuu hawa wanajaribu kutumia jukwaa hili kuwaonesha watu kwamba CDM inakubalika kwa wananchi,utakuta mtu mmoja kwa upande wao ana ID 10 humu ndani na mwenzake 10,na wa tatu 10 wananzisha Thread na kuanza kukoment wao wenyewe,sasa unapotoa hoja ya ukweli tofauti na zao wanazotoa ni lazima wachanganyikiwe mwisho wa iku wanjikuta wakitoa matusi kwa sababu anakuwa amechanganyikiwa.
Hebu fumba macho dakika moja halafu fikiria ni Dada yako,Mke wako,au mama yako ndo kafanyiwa hivyo utajisikiaje???!!!!,au mkuki ni kwa Ngurue ila ka binadmu ni mchungu?leo hii hauwezi kuumiakwa abaabu hayajkufika,ila naomba fanya kama nilivyokueleza halafu bada ya kupata majibu paa hewani!!!!!!
Amenikumbusha Deodatus Balile aliyehama Freemedia kwenda Habari Corporation kwa style ya Aina yake
-Kujaribu kufananisha harakati hizi na za Mrema ni jaribio la kufifisha nguvu vuguvugu hili
-Kuhusu CHADEMA kukubali kukosolewa hilo naliunga mkono ila sasa si kwastyle anayofanya Kibanda.
-Nilitegemea kwa uzoefu wake aliousema angeweza kuandika kuhusu changamoto za kimfumo na kisera kwa kujikita kwenye itikadi zaidi badala ya kujadili sura za watu na mbinu za ujanja ujanja katika kushinda uchaguzi
-Imagine maandishi kama haya yanatoka kwa Kiongozi wa jukwaa la wahariri.
-Jenerali Ulimwengu inabidi ashirikiane sana na akina Ayoub Ryoba wapike kizazi kipya cha waandishi wenye weledi huko baadae
-Kwa wafuasi na viongozi wa CHADEMA:Tukubali kukosolewa kwa hoja za kujenga na pia tusiache kujibu hoja zinapopindishwa.Pia Mabadiliko ni gharama na katika safari hii wasaliti ni wengi.Tuwapuuze tusonge mbele
Arifu mbona unakuwa too low kiasi hiki. Yani nifumbe ,macho nimfikirie dada yangu? kwani Mungu alifanya makosa kumuumba mwanamke? Yani bila aibu unaendelea kuzungumzia mahusiano ya kingono ya dada yako? Mkuu mimi sikufundishwa hivyo kufuatilia nyendo za dada yangu.
Kama ikitokea dada yangu amebakwa hapo nitakuwa mstari wa mbele kupigania haki yake lakini mtu mzima na akili yake amekubali kuhamishia mapenzi kwa mwanaume anayemtaka na kumchagua mwenyewe mimi inanihusu nini? Nadhani hapo ndipo tunapotofautiana kati ya mwanaume na mtoto wa kiume.
Halafu nikwambie kitu kingine arifu, hayo mambo ya kulilia kujifungia chumbani na dume kama mimi ni aibu sana kwakuwa mimi situmii huo mtandao hata kwa mwanamke, sasa huoni aibu kutangaza hadharani kwamba unataka nikautumie?
Nimependa simple but not deep analysis ya Kibanada. Lakini nina maswali kadhaa ambayo pengine anatakiwa kuyajibu. Ni imani yangu huwa unapita humu ndani.
1. Udikiteta wa mwalimu kumkataa Kikwete na Kumkubali Mkapa ulikuwa na shida gani kama Huyu Kiwete uliyemkataa wewe 2005 kwa kuona hafai kuwa kiongozi ndo alikataliwa na Mwalimu 1995 kwa sababu zilezile jabo kwa mwalimu umempa cheo cha Udikteta lakini wewe hujajipa cheo?
2. Umelinganisha umaarufu wa mrema na Umaarufu wa vyama vya siasa hasa CHADEMA na baadhi ya vingozi wake tena ukamtaja Dr. Slaa, Je kwa uwelewa wako na uzoefu wako katika tasnia hii ya habari unafikiri umaarufu wa vyama vya siasa hasa CHADEMA leo na viongozi wao hasa Dr. Slaa unatokana na sababu zile zile zilizomfanya Mrema awe maarufu japo kama moto wa mabua?
3. Zijaona ukifanya balanced analysis inayoonyesha strengths za kinana ambazo zina reflect kwenye mapungufu ya uongozi katika vyama vingine vya siasa.
Mwisho: Kibanda badala ya kufanya analysis ya Issues umenalyse Umbea tu.