Najua rafiki yangu kibanda wewe si mfuasi wa chama chochote lakin kwa stahili hii ya kuondoka kwa muajir ya kutafuta bif si nzuri,kwan ungesema mapema mapungufu ya upizan sio jana nimekuona na rostam sijui ndio unakamilisha mipango ya kwenda habari c0,unatoka na makala za bif tunajua njaa tu ndio inayosumbua