Kibanda azidi kufunguka, CHADEMA kikaangoni

Kibanda azidi kufunguka, CHADEMA kikaangoni

mimi nilisha toa maelezo yangu juu ya Ludovick na mahusiano na slaa na chadema kwa ujumla.Slaa alikuwa anafanya kazi kwa ukaribu sana na Ludovick ushahidi ninao

Mtela Mwampamba,

Dr Slaa amenitaka nitoe ushahidi wa kuthibitisha kuwa Ludovick alikuwa mfanyakazi (kwa maana ya kuwa na mkataba wa ajira) wa CHADEMA makao makuu, yeye ana sisitiza alikuwa volunteer.

Hat kama ni kweli alikuwa volunteer, lakini kijana Ludovick alikuwa akitumikia kurugenzi nyeti pale CHADEMA makao makuu, ukilichukua hili tu na ku-connect dots kwenye tukio alilofanyiwa Kibanda, sidhani kama kutakuwa na shaka kuhusika kwa CHADEMA kwenye tukio husika.
 
Last edited by a moderator:
Mtela Mwampamba,

Dr Slaa amenitaka nitoe ushahidi wa kuthibitisha kuwa Ludovick alikuwa mfanyakazi (kwa maana ya kuwa na mkataba wa ajira) wa CHADEMA makao makuu, yeye ana sisitiza alikuwa volunteer.

Hat kama ni kweli alikuwa volunteer, lakini kijana Ludovick alikuwa akitumikia kurugenzi nyeti pale CHADEMA makao makuu, ukilichukua hili tu na ku-connect dots kwenye tukio alilofanyiwa Kibanda, sidhani kama kutakuwa na shaka kuhusika kwa CHADEMA kwenye tukio husika.

mkuu HAMY-D. Tumechoka na porojo za dr slaa na wakati umefika sasa wa kuendelea kumvua nguo
 
Hivi wewe na akili zako timamu ulikubaliana na maelezo ya Marando na zile kauli za wabunge kuhusu hizo pesa alizotuma Mwigulu?

Mbona mnaichukulia hii ishu kirahisi rahisi hivyo? sikiliza mkuu, intelijensia yangu sina shaka nayo, haya yote unayoyaweka hapa usidhani unanishangaza, yote yamekuwa yakisemwa na kuaminiwa na watu wenye maono mafupi kama wewe, mimi nachimba na kutafuta kiini zaidi cha huu mkasa.

Tatizo lako wewe ni njaa na hakuna kingine na nzuri zaidi JF nima great thinker sasa kazi kwako na hilo zalasa lako la pili.
 
mimi ndie niliemuachia uongozi wa chaso Ludovick pale Duce na Ludovick amekuwa akifanya kazi pale makao makuu ya chadema akiwa chini ya Lwakatale ushahidi wote ninao na kama Slaa anabisha Tukutane Mahakamani ili nimuumbue.
 
mimi ndie niliemuachia uongozi wa chaso Ludovick pale Duce na Ludovick amekuwa akifanya kazi pale makao makuu ya chadema akiwa chini ya Lwakatale ushahidi wote ninao na kama Slaa anabisha Tukutane Mahakamani ili nimuumbue.

dr slaa anadhani kila mtu humu mtandaoni ana akili za KIBAVICHA
 
Tatizo lako wewe ni njaa na hakuna kingine na nzuri zaidi JF nima great thinker sasa kazi kwako na hilo zalasa lako la pili.

Naona unaamka wewe. wenzako walibeep walipopigiwa wamekimbia na hawataki kupokea. pole sana
 
mimi ndie niliemuachia uongozi wa chaso Ludovick pale Duce na Ludovick amekuwa akifanya kazi pale makao makuu ya chadema akiwa chini ya Lwakatale ushahidi wote ninao na kama Slaa anabisha Tukutane Mahakamani ili nimuumbue.
Umuumbue nani mchumi tumbo wewe kilaza usiyejifahamu LUDOVICK ALIKUWA MUAJIRIWA WA CHADEMA?MWIGULU NCHEMBA ALIMTUMIA FEDHA ZA NINI?
 
uchaguzi wa marudio katika jimbo la uzini zanzibar Ludovick alikuja na Slaa akifanya kazi ya intelligensia na msaidizi mkuu wa slaa na mimi nilikuwepo.
 
MWIGILU kamwekee dhamana Ludo, kakusaidia malengo yako ingawa yale ya UGAIDI yamekwama, leo hii unamtosa? siyo ubinadamu huo. au ndiyo ki-CCM = USE AND DUMP.?
 
Ulitengeneza wewe?,umeitazama au umesimuliwa!!! mwenyewe kasema Polisi pale ni nyumbani kwake na picha ni yake lkn sauti si yake,miishiyo yenu inakaribia.
Yaani CCM inawezaje kukuamini mtu kama wewe uje uitetee humu jamvini ili haupo well informed na kinachoendelea hata Tanzania? Mwigulu Nchemba ametamka mwenyewe kwenye mkutano wa hadhara huko Arusha kwamba alimpa Ludovick vifaa vya kumrekodia Lwakatare. Wewe unayepinga ni nani sasa? Wakati mtendaji mwenyewe amekiri tena kwenye mkutano wa hadhara?
 
Last edited by a moderator:
uchaguzi wa marudio katika jimbo la uzini zanzibar Ludovick alikuja na Slaa akifanya kazi ya intelligensia na msaidizi mkuu wa slaa na mimi nilikuwepo.
That doesnt matter. Kwani Ludovick si ni muasi na msaliti kama ulivyo wewe? Mnajifanya kukipenda chama, tunawapa dhamana na vyeo vikubwa tukiamini ni wenzetu kumbe mnatumiwa. Ludovick kuaminiwa kwa kiwango kile haishangazi ni kama Juliana alivyoaminiwa na kupewa umakamu mwenyekiti wa BAVICHA na huku ni nyoka.
 
uchaguzi wa marudio katika jimbo la uzini zanzibar Ludovick alikuja na Slaa akifanya kazi ya intelligensia na msaidizi mkuu wa slaa na mimi nilikuwepo.
Toa ushahidi sio maneno yakulishwa na Mwigulu na ujibu Mwigulu alimtumia pesa ya nini'
 
That doesnt matter. Kwani Ludovick si ni muasi na msaliti kama ulivyo wewe? Mnajifanya kukipenda chama, tunawapa dhamana na vyeo vikubwa tukiamini ni wenzetu kumbe mnatumiwa. Ludovick kuaminiwa kwa kiwango kile haishangazi ni kama Juliana alivyoaminiwa na kupewa umakamu mwenyekiti wa BAVICHA na huku ni nyoka.

hiyo dhana ya uasi imepandikizwa na akina slaa ili kukwepa kukiumbua chama chao na kuficha maovu wanayofanya
 
Tatizo la slaa anaamini kuwa anauelewa mpana kuliko watu wote kitu ambacho ni kujidanganya mchana kweupe ludo msaidizi wake wa karibu wa familia yake hasa mama watoto wake leo hamjui aache kutania watu.
 
Inaelekea BAVICHA wamewakamata sana kisiasa ndio maana uitaja sana.

hakuna janga kubwa ndani ya taifa hii kama vijana wa bavicha. fuatilia tu utagundua kuwa hawa vijana wanatumika vibaya na vizee vya chadema.
 
mimi ndie niliemuachia uongozi wa chaso Ludovick pale Duce na Ludovick amekuwa akifanya kazi pale makao makuu ya chadema akiwa chini ya Lwakatale ushahidi wote ninao na kama Slaa anabisha Tukutane Mahakamani ili nimuumbue.
mwambie boss wako mwigilu watanzania siyo mazezeta; kamtoeni Ludo kawasaidieni sana, sasa dili limebumburuka hilo msimtose.
 
Huyu Kibanda bado hajapona vizuri.....asiwe na haraka wakati wa kufunguka ukifika atafunguka tu....mbona Ulimboka bado tunamsubiri afunguke?

Mkuu, ni kweli bwana Kibanda kuwa ange subiri, ila roho ina muuma sana, na sabcu ya kusema haya ni katika kutafuta pumziko la nafsi yake, kwani amekiri mwenyewe katika maelezo yake hapo.
 
Back
Top Bottom