hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
HAMY-D acha kujifunga pazia jeusi la ushabiki wa siasa. Umiza akili yako japo kidogo ili uuone ukweli ndani ya giza la uovu wa Mwigulu Nchemba. Kumbuka Mwigulu alikili mwenyewe kufadhili utengenezaji wa ile filamu kwa kununua vifaa. Na kama alivyoeleza mmojawapo katika uzi huu hadi video za mwigulu kukiri zipo na ziliwekwa hapa jamvini sote tukaona na kusikiliza. Lakini pia ushahidi ulishawekwa bayana juu ya mawasiliano ya Mwigulu na Ludovick Rwezaura pamoja na baadhi ya watumishi wa usalama wa ccm ambao ajira zao ni usalama wa taifa.
Hivyo kabla ya kushabia hili jiulize mara mbili, hii ina-back fire kwa mshangao wa CCM! Kumbuka hata Mwigulu alilalamika katika party cocus ya CCM nadhani kwamba zigo la Lwakatare linamwelemea. Uko wapi mkuu wewe? Acha kushabia mambo ya hatari yalisukwa kitoto sana na CCM! Elewa si kila anayevaa nguo ya kijani ni mwana CCM mwenzenu! Amka! Inaila CCM hii ya ndugu Kibanda maana ni ukweli wa asilimia nyingi kwamba Ludovick alihusika na utekaji wa Kibanda lakini ni kwa maelekezo ya Mwigulu Nchemba akidhani ana-paint an image kwa CDM, sasa kaa sawa Kibanda aendelee kufunguka.
Ushauri wangu Mwigulu Nchemba amtafute Kibanda haraka amzibe mdomo akubali yaishe kimya kimya maana inakula kwa CCM hii!
wewe, mbona unatokwa povu jingi hivyo??? achana na mleta hii mada, jibu maelezo yaliyopo kwenye mada,kwanza umejiunga leo japo una multiple IDs. acha ushirika ktk uovu, acha utesaji wa damu na roho ya binadamu wenzako, kuwa na huruma...ludovick amekamatwa akipokea maelekezo ya ugaidi kutoka kwa lwakatare ambaye leo mnamuona shujaa lakini ya arusha hamjichunguzi na kujihurumia kuwa mnakumbatia magaidi.