Kibanda azidi kufunguka, CHADEMA kikaangoni

Kibanda azidi kufunguka, CHADEMA kikaangoni

attachment.php


Dr.W.Slaa hemu jionee hii picha, huyo kijana wa hapo nyuma ya bwana Lwakatare msimkanee, kwa sasa mkiendelea kumkana taswira inayojengeka kwenye jamii ni kwamba MMEMSALITI.
 
mimi nilisha toa maelezo yangu juu ya Ludovick na mahusiano na slaa na chadema kwa ujumla.Slaa alikuwa anafanya kazi kwa ukaribu sana na Ludovick ushahidi ninao
 
gazeti lenyewe hili hapa na maelezo kamili na ya ziada ya kibanda alivyoandika
View attachment 98400
MODS NAOMBA MUIKUZE HII SEHEMU YA MAELEZO YA KIBANDA NA MUIWEKE KWENYE MAELEZO YA MLETA THRED ILI ISAIDIE KUTOA PICHA HALISI ya kile ALICHOKISEMA KIBANDA
 
Mkuu hauko serious.
Dr Slaa anawezaje kuhojiwa kwa volunteers wa chama walioko kila kona ya nchi hii. Unajua maana ya volunteer? Maana yake ni mtu anayejitolea kufanya kazi za chama bila malipo. Watu wa namna hii wako ktk kila ngazi- usiwapotoshe watu humu bila sababu. Wako wanaojitolea au kuvolunteer ktk ngazi za kijiji/mtaa, kata, wilaya mkoa au Taifa. Na watu hawa huwezi kuwatawala ktk utendaji wao wa kila siku kwa sababu hujawaajiri.

Kwa hiyo, volunteer anaweza kwenda ktk eneo analojitolea mara mbili kwa wiki kwa wiki au mara 1 kwa mwezi ktk ngazi yo yote. Vile vile anaweza kufanya kazi saa moja kwa siku akaondoka na huwezi kumhoji.
Sasa, kutaka kuhoji Chadema kwa sababu ya Volunteer ambaye hujatumbia alitolea mara ngapi kwa mwezi au mwaka makao makuu ni upotoshaji wa makusudi ambao hauwezi kuijenga ccm.

Tatu, collectivie responsibility ni kwa watu walioajiriwa ambao wanaongozwa na utaratibu tofauti na waliochaguliwa ktk ngazi mbali mbali kwa sababu wanafanya hayo wakiwa na dhamana kubwa zaidi ya chama. Volunteer ni kama mwanachama wa kawaida anavyojitolea kujenga chama mahali po pote. Tofauti ni tu ni kwamba Ludo alikwenda makao makuu mara kadhaa japo hatujaambiwa mara ngapi kwa mwaka.

Mwisho hatujaambiwa kama alianza kujitolea makao makuu akiwa tayari ana mahusiano ya karibu na akina mwigulu Nchmba au la.

Mkuu Michael Aweda, wewe ndo unawapotosha watanzania. hakuna volunteer ambaye anafanya kazi sehemu yeyote bila ya makubaliano ya malipo ya anayemfanyia kazi. volunteers wote wanakuwa na makubaliano maalum juu ya kazi gani anatakiwa kufanya na yeye atanufaika na nini na kazi hiyo. kama volunteers wasingekuwa wanalipwa, tusingeshuhudia maelfu ya watu wakijitolea kufanya kazi hiyo. nimefanya kazi ya volunteer kwa muda mrefu kwenye WWF na nilikuwa ninapata ujira kutokana na kazi zangu. kinachofanyika ni kuwa hakuna masharti ya ajirA na kwamba wakati wowote unaweza kuachana na kazi hizo endapo utapata kazi nyingine za kufanya kama ulikuwa si mwajiriwa wa sehemu nyingine.

Aweda, hakuna mtu anayefanya kazi za volunteer bila ya kujulishwa majukumu yake ni nini. kwa Ludovick ndani ya chadema, Dr Slaa amekwepa kueleza kuwa Ludovick alikuwa anafanya kazi gani na yeye alikuwa ananufaika na nini ndani ya chadema. volunteers ndani ya chadema wako wengi ambao wengine wanafanya kazi rasmi kama kuhamasisha vijana vyuoni kujiunga na chama hicho na wengine hutumika kwa mipango miovu. ludovick ni mmoja wa watu ambao walikuwa wanafanya kazi kwenye kurugenzi ya ulinzi na usalama chini ya lwakatare ambaye kazi zake zinaenda sambamba na utashi na maagizo ya katibu Mkuu. kutokana na hali hiyo, ni wazi kuwa ludovick ametumwa kutekeleza mipango mingi miovu na chadema likiwemo hili la kumteka, kumtesa na kumsababishia ulemavu Kibanda. Nakubaliana na Lizaboni kuwa chadema hawana pa kukimbilia katika hili na wakati umefika kwa Dr Slaa kujitathmini juu ya uadilifu wake ikizingatiwa kuwa yeye pia ni Padri ambaye maadili ya kazi yake yanamzuia kuwafanyia uovu wenzake.

Bila shaka dhana ya uwajibikaji huifahamu au unaifahamu ila unakwepa ili usimuumbue Dr Slaa. kinachoelezwa hapo ni kuwa ludovick alikuwa anafanya kazi kwenye kurugenzi ya ulinzi na usalama chini ya lwakatare. kila mpango anaotekeleza lwakatare sharti amjulishe katibu mkuu ambaye ndiye huidhinisha bajeti ya mpango huo. kwa vile suala la kibanda halikutokana na utashi wa ludovick binafsi utakubaliana nami kuwa ludovick alifanya hayo kwa matakwa ya anaowafanyia kazi ambao ni chadema. hapo chadema inaingia moja kwa moja.
 
mimi nilisha toa maelezo yangu juu ya Ludovick na mahusiano na slaa na chadema kwa ujumla.Slaa alikuwa anafanya kazi kwa ukaribu sana na Ludovick ushahidi ninao


heshima yako mkuu mwampamba!!!!!! watanzania wenye macho na maskio tunaona kazi yako ya kuueleza ukweli mchungu uliofichika kwenye uvungu wa meza ya slaa...asante sana na usikate tamaa.
 
huyo ludovick anastahili jela kabisa,yaani kutaka kumuua kibanda just becoz of money?alivyo mjinga eti akaandika kenye wall yake facebook kuwa alitekwa,huyu ni kilaza kweli
 
Labda nitumie maneno mengine inawezekana utanielewa, kwa serikali yoyote makini yenye jeshi, usalama wa taifa nk isingeruhusu raia wake kunyanyaswa na kikundi chochote kutoka ndani au nje ya mipaka yake. kwa mtazamo wangu matukio hayo ya mauaji, utekaji, utesaji ulipuaji mabomu, na uvunjifu huu wa sheria usingetokea kama kusingekuwa na mkono wa serikali. BELIEVE ME OR NOT ONLY THE GOVERNMENT CAN STOP ALL THESE PROBLEMS BY DOING THE RIGHT THINGS TOWARDS HIS PEOPLE
kazi imeanza arusha kama ilivyokuwa jana..nadhani sasa muda wa kuchekeana na kubembelezana umekwisha
 
attachment.php


Dr.W.Slaa hemu jionee hii picha, huyo kijana wa hapo nyuma ya bwana Lwakatare msimkanee, kwa sasa mkiendelea kumkana taswira inayojengeka kwenye jamii ni kwamba MMEMSALITI.

slaa anamfahamu vizuri sana Lodovick na tumefanya kazi wote pale makao makuu ya chadema
 
Kwa Kuongezea tu, Ludovick Rwezaula ni Mshirika Mkuu wa Mwigulu Nchemba .
Huyu ndio Mtu ambaye hata Mwigulu Mwenyewe amekiri kuwa ndiye aliyemtumia Ku Pika Video ya Lwakatare.
 
asante Lukolo kwa ufafanuzi . wenye akili za kawaida ngumu sana kuelewa hii au sijui niseme shule za kata labda ndo ntaeleweka
 
DIRA YA MTANZANIA NI GAZETI LA MSAMA ILA WENYE HISA NI BWANA MEMBE, SITA NA MWAKYEMBE.

...MEMBE NDIYE MTUHUMIWA NAMBA MOJA KATIKA UTEKAJI NA UTESAJI WA KBANDA ALTAKA KMTUMIA KBANDA KUWACHAFUA WANASIASA WENGNE i.e LOWASSA LAKINI KIBANDA NA KUBENEA WAKAKATAA NDIO JBU LA NENO LA MEMBE KUWA ANA MAADUI WAWILI WAANDSHI WA HABARI NA ATAWASHUGHULIKIA MWENYEWE ALIWATUMIA AGENTS WA TISS WALIOFANYA UNYAMA WA ULMBOKA NA KMUNG'OA MENO NA KUCHA PLUS KUMJERUHI ABSALOM KBANDA

...HAMY-D TUNAKUJUA NI NAPE AND MEMBE GROUP MESEGE SENT...MHUSKA MKUU WA TUKIO LA KBANDA NI BERNAD MEMBE(JOKA LA MDMU a.k.a MZEE WA KUNG'OA KUCHA NA MENO
 
attachment.php


Dr.W.Slaa hemu jionee hii picha, huyo kijana wa hapo nyuma ya bwana Lwakatare msimkanee, kwa sasa mkiendelea kumkana taswira inayojengeka kwenye jamii ni kwamba MMEMSALITI.

MKUU, chadema hawana pa kutoka na wanajitahidi kila hatua kumkana. ni sawasawa na mtu kukataa mimba aliyoisababisha yeye mwenyewe kwa kigezo eti yeye alikuwa anaenjoy to sex na suala la mimba halikutokana na mapenzi yake. kuwa ni mwanamke ndo amesababisha mimba na si mwanaume.
 
Tatizo lako wewe ni muongo na huna kumbukumbu nzuri. Ina maana umesahau siku Mwigulu aliposema kwamba alimpa hela Ludovick kama rafiki wa kawaida kama anavyowapa akina Nassari? Siku hiyo Mwigulu alisema alishawahi kumpa Nassari shilingi laki tano, na Nassari akampinga vikali na kumtaka athibitishe, lakini Mwigulu aliingia mitini alipotakiwa kuthibitisha. Kama ni uongo Mwigulu Nchemba mwenyewe aje akanushe hapa. Inaonekana wewe umetumwa kuja kuleta propaganda usizosijua.

Mkuu Lukolo,

Kuendelea Kujibizana na Mtu kama HAMY-D ni Kupoteza Muda wako Bure.
Huyu Jamaa Hapaswi Kujibiwa Kistaarabu kama unavyofanya Mkuu wangu Lukolo .
Huyu Jamaa siamini Kama CCM ni Wazembe kiasi cha Kumtumia mtu Mwenye Hoja Mfu kama HAMY-D.
Dizaini hawa ni watu wanaojipendekeza ili walau Mkono uende Kinywani.
Watu kama hawa ndo wale ambao wako Tayari kuwatoa Kafara Wazazi wao ili tu wapate Japo Kitu Kidogo.
Nilitakaga kumu add kwenye ignored list yangu, ila sitofanya.
Usipoteze Muda Mkuu Kumjibu Kistaarabu, Hebu niachieni Mie Muone namna anavyostahili Kujibiwa
 
Last edited by a moderator:
mkuu hauko serious.
Dr slaa anawezaje kuhojiwa kwa volunteers wa chama walioko kila kona ya nchi hii. Unajua maana ya volunteer? Maana yake ni mtu anayejitolea kufanya kazi za chama bila malipo. Watu wa namna hii wako ktk kila ngazi- usiwapotoshe watu humu bila sababu. Wako wanaojitolea au kuvolunteer ktk ngazi za kijiji/mtaa, kata, wilaya mkoa au taifa. Na watu hawa huwezi kuwatawala ktk utendaji wao wa kila siku kwa sababu hujawaajiri.

Kwa hiyo, volunteer anaweza kwenda ktk eneo analojitolea mara mbili kwa wiki kwa wiki au mara 1 kwa mwezi ktk ngazi yo yote. Vile vile anaweza kufanya kazi saa moja kwa siku akaondoka na huwezi kumhoji.
Sasa, kutaka kuhoji chadema kwa sababu ya volunteer ambaye hujatumbia alitolea mara ngapi kwa mwezi au mwaka makao makuu ni upotoshaji wa makusudi ambao hauwezi kuijenga ccm.

Tatu, collectivie responsibility ni kwa watu walioajiriwa ambao wanaongozwa na utaratibu tofauti na waliochaguliwa ktk ngazi mbali mbali kwa sababu wanafanya hayo wakiwa na dhamana kubwa zaidi ya chama. Volunteer ni kama mwanachama wa kawaida anavyojitolea kujenga chama mahali po pote. Tofauti ni tu ni kwamba ludo alikwenda makao makuu mara kadhaa japo hatujaambiwa mara ngapi kwa mwaka.

Mwisho hatujaambiwa kama alianza kujitolea makao makuu akiwa tayari ana mahusiano ya karibu na akina mwigulu nchmba au la.


we jamaa huwa mzushi sana,hoja huna,ni mahaba tu ya kisiasa!!!!unaboa sana,unafanya hata wengine kuichukia chadema wenye akili zao,upeo wako mdogo!!!
 
Hivi wewe na akili zako timamu ulikubaliana na maelezo ya Marando na zile kauli za wabunge kuhusu hizo pesa alizotuma Mwigulu?

Mbona mnaichukulia hii ishu kirahisi rahisi hivyo? sikiliza mkuu, intelijensia yangu sina shaka nayo, haya yote unayoyaweka hapa usidhani unanishangaza, yote yamekuwa yakisemwa na kuaminiwa na watu wenye maono mafupi kama wewe, mimi nachimba na kutafuta kiini zaidi cha huu mkasa.

Dha! njaa usiombe ikupate na hauna muelekeo wa kupata chakula au pesa . kila kitu kipo wazi mwigulu nchemba mwenyewe alishindwa kukataa akawa anajiumauma tu humu alafu wewe leo umepata 7000 unakuja kumdefend yeye mwenyewe ni pingwa wa kutunga lakini kwa hili alishindwa tumia akili usitumie makalio wewe. we endekeza njaa itakughalimu
 
Back
Top Bottom