Kibanda azidi kufunguka, CHADEMA kikaangoni

Kibanda azidi kufunguka, CHADEMA kikaangoni

Tofauti na mtoa mada hii anavyofikiri mimi naona maneno ya Kibanda yanakaribia sana na maelezo ya Mabere Marando ya mwezi April 2013. Hapa Mwiguru anahaha!
 
Hivi nyie watetezi wa mwigulu mbona hamtaki kujibu ela zilitumwa kwa ludovick kutoka kwa mwigulu za nini? Na kwa nn alipiga simu nyingi kuliko mkewe kabla ya tukio?
Somerhing is to be revealed here.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

hayo yalikuwa maandalizi ya ugaidi wa chadema. walimtumia ludovick amwombe mwigulu fedha ili taarifa hizo wazitumie kama ushahidi. bahati nzuri mwigulu hakukanusha na badala yake alisema kuwa anawatumiaga vijana wengi wakiwemo vijana wa chadema
 
Kumbe source ni Dira ya Alex Msama!? Hakuna habari mpya hapa, ni marudio tu kama walivyoandika Jamhuri.

Lakini Msama hakubaliani na ukajanja wa Waandishi wa Gazeti lake. Msome hapa:
2. Sikuwahi kumwambia Msama amfukuze kazi. Msama mwenyewe ndiye alikuja Ofisini kwangu kuomba radhi kwa niaba ya Mulinda, kuhusu stori iliyokuwa imeandikwa kwenye gazeti la Dira kuhusu Free Media kuchelewesha mishahara, ikidai Mbowe ndiye amechota pesa na kuelekea Club Bilicanas. Msama alisema anashangaa stori hiyo kwani hata yeye alikuwa hajalipa mishahara, na Mulinda hajapokea wa kwake. Akasema Mulinda amekuwa anamgombanisha na watu anaofahamiana nao. Akaazimia kwenda kumfukuza kazi.
 
Mkuu, haya matukio bado ni sintofahamu, sasa unaposema sio hot cake sijui wewe unawajua wahusika wa vitendo vya kigaidi na utekaji hapa nchini ama vipi?

Ukiwa kwenye upelelezi, hata habari zikiwa za karne iliyopita kama zina mahusiano na upelelezi, basi zinakuwa ni hot cake.

Naweza kuamni ni Ludovick aliyemtesa Kibanda, pia naomba nawewe uamini ni Mwigulu aliyemtuma Ludovick amtese Kibanda ili mkanda ule alioutengeneza uwe na mashiko, pia naomba uamini Ludovick alitumwa na Usalama wa Taifa la CCM, ambao unatii amri ya Amiri Jeshi mkuu, sasa swali Kibanda laiteswa kwa amri ya nani? kama unajua maana sikuambii maana, connect dots
 
hayo yalikuwa maandalizi ya ugaidi wa chadema. walimtumia ludovick amwombe mwigulu fedha ili taarifa hizo wazitumie kama ushahidi. bahati nzuri mwigulu hakukanusha na badala yake alisema kuwa anawatumiaga vijana wengi wakiwemo vijana wa chadema

Mbona unabeba ushahidi against unachokilinda?kweli gamba ni gamba wanaweza beba ujumbe wa kuwadhuru kwenda kwa mtu wa kuwadhuru.

Miwgulu ni mjinga kihivyo?au ana mpango na CDM wa kuia CCM?Hizo hela anwapa wana CDM kwa misingi gani?kwanza hiyo ni rushwa.
 
mwampamba alishawaeleza kitambo kuwa ni mwendelezo wa usaliti. nini sasa hujui?

Hivi Mkuu unayaamini maneno ya Mwampamba??? Kama unamwamini Mwampamba basi unaamini Kinana hajihusishi na usafirishaji wa meno ya tembo kupitia kampuni yake.
 

Hivi Mkuu unayaamini maneno ya Mwampamba??? Kama unamwamini Mwampamba basi unaamini Kinana hajihusishi na usafirishaji wa meno ya tembo kupitia kampuni yake.

unachokisema nahisi kuwa hukimaanishi. suala la kinana lipo mahakamani na msubiri msigwa atakapogaragazwa na ndipo atakapoanza kusaga meno
 
Ifweero,
Kwa nini unataka kulazimisha waJF waamini kuwa Ludo aliaaminiwa sana CDM, inawezekana kujipendekeza kwake kwa viongozi ili amalize mission yake. Lakini mwisho wake ameumbuka na kuwaletea aibu CCM.
 
bora kibaanda umeandika mwenyewe na ni wazi huna uhakika kabisa na uliye muona kama ni ludovick na katika hali hii ni vigumu kumtia hatiani kwenye hili na kushauri uendelee kufanya uchunguzi wa kina kabisa.
 
Last edited by a moderator:
kibanda akienda ongea haya mahakamani dhidi ya CDM....atakuwa kaisadia sana CDM...

Na ukimsoma vizuri Kibanda utagundua ni kama ana feel guilt kumtaja ludo kuwa alimfananisha na mtesi wake.
Na ni wazi kuna mambo mengi alikuwa haja yakamilisha kabla ya kumsuspect ludo maana ni wazi bado ana doubt alicho kisema na anaamini kama alikosea kusema mapema hili jambo kwa ni wazi hata wahusika sasa wataanza kujipanga.

Amefanya mapema kusema na ndio maana hajui pakusimamia huyu ndugu Kibanda.
 
Last edited by a moderator:
bora kibaanda umeandika mwenyewe na ni wazi huna uhakika kabisa na uliye muona kama ni ludovick na katika hali hii ni vigumu kumtia hatiani kwenye hili na kushauri uendelee kufanya uchunguzi wa kina kabisa.

licha ya kuwa hana uhakika na anayemwona, anasema kuwa ni ludo na bado anatafakari mahusiano yake na ansbert ngurumo ambaye ndiye chanzo cha kibanda kuondoka free media
 
Na ukimsoma vizuri Kibanda utagundua ni kama ana feel guilt kumtaja ludo kuwa alimfananisha na mtesi wake.
Na ni wazi kuna mambo mengi alikuwa haja yakamilisha kabla ya kumsuspect ludo maana ni wazi bado ana doubt alicho kisema na anaamini kama alikosea kusema mapema hili jambo kwa ni wazi hata wahusika sasa wataanza kujipanga.

Amefanya mapema kusema na ndio maana hajui pakusimamia huyu ndugu Kibanda.

mkuu, hajakosea ila kama umemwelewa anasema kuwa anawaachia vyombo vya dola vifanye kazi yake
 
Sasa hapo ni KUIUMBUA CCM na Mwigulu, Maana hadi matukio yanatokea alikuwa kwenye Pay Roll ya Mwigulu. Kwa mwenye akili anaelewa sasa ni nani muuaji wa Kibanda.

ludovick alikuwa mfanyakazi wa chama gani??? mbona bado unajifanya kipofu wakati unauona ukweli??? hivi kwann watanzania tumekuwa wajinga wa mahaba dhidi ya uovu??
 
licha ya kuwa hana uhakika na anayemwona, anasema kuwa ni ludo na bado anatafakari mahusiano yake na ansbert ngurumo ambaye ndiye chanzo cha kibanda kuondoka free media
mkuu Kibanda bado hana uhakika na alicho kiona na ndio maana anasema kama alimfananisha na ana sisitiza duniani ni wawili wawili.
alaf swala la ansebert kuwa chanzo cha kuondoka kwake pale free media ni ngumu kusema labda aseme mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Na ukimsoma vizuri Kibanda utagundua ni kama ana feel guilt kumtaja ludo kuwa alimfananisha na mtesi wake.
Na ni wazi kuna mambo mengi alikuwa haja yakamilisha kabla ya kumsuspect ludo maana ni wazi bado ana doubt alicho kisema na anaamini kama alikosea kusema mapema hili jambo kwa ni wazi hata wahusika sasa wataanza kujipanga.

Amefanya mapema kusema na ndio maana hajui pakusimamia huyu ndugu Kibanda.

nyie ndio washirika wa ugaidi mnajifanya hamuelewi ili kupotosha.
1.kibanda ametilia shaka uhusiano wa mtesi wake ludo na wahariri wa habari akiwemo aliyekuwa msaidizi wake ansbet ngurumo wa tz daima la chadema.
2.ametilia shaka mahusiano ya ludo na wanasiasa akina lwakatare gaidi mwenzake, mwigulu,slaa ambaye alikuwa private secretary wake na nk
3.anashangaa kwann akina ngurumo na wenzake wanalipotosha na kulifunikafunika tukio lake
4. kibanda ni mwandishi na ni mhariri aliyebobea, ameogopa kumlaumu mtu lakini ukikaa nae chini atakutajia A -Z YA MAGAIDI WALIOMTESA..katika uandishi huwa hawataji watu moja kwa moja
 
HAMY-D acha kujifunga pazia jeusi la ushabiki wa siasa. Umiza akili yako japo kidogo ili uuone ukweli ndani ya giza la uovu wa Mwigulu Nchemba. Kumbuka Mwigulu alikili mwenyewe kufadhili utengenezaji wa ile filamu kwa kununua vifaa. Na kama alivyoeleza mmojawapo katika uzi huu hadi video za mwigulu kukiri zipo na ziliwekwa hapa jamvini sote tukaona na kusikiliza. Lakini pia ushahidi ulishawekwa bayana juu ya mawasiliano ya Mwigulu na Ludovick Rwezaura pamoja na baadhi ya watumishi wa usalama wa ccm ambao ajira zao ni usalama wa taifa.

Hivyo kabla ya kushabia hili jiulize mara mbili, hii ina-back fire kwa mshangao wa CCM! Kumbuka hata Mwigulu alilalamika katika party cocus ya CCM nadhani kwamba zigo la Lwakatare linamwelemea. Uko wapi mkuu wewe? Acha kushabia mambo ya hatari yalisukwa kitoto sana na CCM! Elewa si kila anayevaa nguo ya kijani ni mwana CCM mwenzenu! Amka! Inaila CCM hii ya ndugu Kibanda maana ni ukweli wa asilimia nyingi kwamba Ludovick alihusika na utekaji wa Kibanda lakini ni kwa maelekezo ya Mwigulu Nchemba akidhani ana-paint an image kwa CDM, sasa kaa sawa Kibanda aendelee kufunguka.

Ushauri wangu Mwigulu Nchemba amtafute Kibanda haraka amzibe mdomo akubali yaishe kimya kimya maana inakula kwa CCM hii!
 
Last edited by a moderator:
Na ukimsoma vizuri Kibanda utagundua ni kama ana feel guilt kumtaja ludo kuwa alimfananisha na mtesi wake.
Na ni wazi kuna mambo mengi alikuwa haja yakamilisha kabla ya kumsuspect ludo maana ni wazi bado ana doubt alicho kisema na anaamini kama alikosea kusema mapema hili jambo kwa ni wazi hata wahusika sasa wataanza kujipanga.

Amefanya mapema kusema na ndio maana hajui pakusimamia huyu ndugu Kibanda.
wewe ni mshirika wa huu ugaidi ndio mana unajitahidi kupindisha, kukwepesha na kuumauma maneno ili uupotoshe ukweli...jifanye wewe ni kibanda halafu imagine yale maumivu aliyoyapata wakati anatendwa na kutendewa ule ugaidi.hebu kuweni na chembe ya ubinadamu wakuu. kama huna la kuandika soma comments za wenzako
 
Back
Top Bottom