Mkumba Vana
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 416
- 124
huko ni kuweweseka na bila shaka umekunywa viroba vya kinondoni. Kwa vile mumeumbuka ndo mnamkana ludovick eti alikuwa anatumika na ccm. Mbona dr slaa hatuelezi alikuwa anamtumia vipi ludovick wakati anavolunteer
Walioleta mada wameelewa hilo ndilo la msingi! Wewe endelea kuelewa unavyoelewa na kuamini unavyoamini! Mwisho wa siku ni serikali yetu tuliyoweka madarakani kupita Lipumba ndiyo inaoneka kupata kigugumizi cha kuchukua hatua kwa kila tukio! Sasa hapo wenye akili wanaelewa! Nafurahi wewe si mmoja wa hao wanaoelewa!