mzaramo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2006
- 6,371
- 5,174
Ni swala la muda tu.Nina uhakika sababu ata Dodoma alifanya kwenye bar na haikujaa akanusurika kichapo.
Ile Uganda haikuwa show ya Kiba ile ni festival iliyojumuisha vitu vingi mpaka mpira wa miguu ni kama matamasha ya shigongo.
Hivi kama amekosa watu Mombasa tena kwenye show yenye jina lake funga mwaka na kiba ambapo yeye anadai anapendwa kuliko yoyote, unategemea ajaze kumbi kumbi yoyote ya maana South Africa? subirini aibu nyingine.
Ila usisahau Baba ako Dimond alivyogoma kufanya show ya uwanjani Mayotte baada ya ile ya kwanza ukumbuni kubuma.
Na usisahau alivyotumbuiza maji kule Jangwani sea breeze baada ya mbwembwe kibao.