Kwa kiingereza gani hicho cha Form one hicho ndo unitishe Mimi Halafu jirekebishekabisaa make kakurupuka
nan kasema anajifananisha, kiba anamziki wake na huyo unaemtaja anamziki wake sema ww ndo unaelazimisha kuwafananishaKitu alichokosea kiba ni kujifananisha na Simba..Leo hata afanye nini atachukiwa Nchi nzima. Kuna watu hawaendi show zake. Strategy ya kujifanisha na simba imemcost kibakuli..
kama hujipendekezi nayo hyo signature yako imeiandika kwa kimakonde auKwa kiingereza gani hicho cha Form one hicho ndo unitishe Mimi Halafu jirekebishe
watakuoa wazungu si kila anayeishi na mzungu anajua kizungu.Lugha imekuja na ndege so,usijependekeze Nayo.
Do not make of fun person who speaks broken English.
It means they know another language.
likiba kasema ni Dunia nzima ila ataanza na S/A sijui ww umesoma wapi hayo unayoandika mkuu hebu rudia kusoma tenaWe ndo hujaelewa kitu.
Mtoa MADA kasema Tour ya duniani, Alik kwa tangazo lake kaandika South Africa Tour.Then nikasema bora ya huyu @FromTandaleToTheWorldWideTour.
Poa bora afanye hivyo.A
likiba kasema ni Dunia nzima ila ataanza na S/A sijui ww umesoma wapi hayo unayoandika mkuu hebu rudia kusoma tena
Kama baba ako alivyozingua show ya Neyo kule Uingereza.
Kweli shoo za kwenye mabaaSouth kwenyewe ukute anaenda kuimba kwenye mabaa then atakuja kujisifu kabisa show imejaza kuliko hata jay z......kama kweli anajiamini amuige mpinzani wake kuweka video YouTube
Kweli kabisa Wajomba wanamkubali sana Ali kibakwa ushahid zaid waulize wasanii wa kongo au watanzania wanaoenda kongo mara nyingi, wanasema hakuna msanii wa Tanzania anependeka konho kama alikiba na kuna wadhamin ambao wapo tayr kumpeleka alikiba kule maana inaaminika show akifanya kule lazima ufanyike kwenye stadium. sema kwa upande wa alikiba anapenda shows kubwa za hivyo ziandaliwe na management yake. subir mwambie asubur tour ianze atajionea mwenyew
kwa ushahid zaid waulize wasanii wa kongo au watanzania wanaoenda kongo mara nyingi, wanasema hakuna msanii wa Tanzania anependeka konho kama alikiba na kuna wadhamin ambao wapo tayr kumpeleka alikiba kule maana inaaminika show akifanya kule lazima ufanyike kwenye stadium. sema kwa upande wa alikiba anapenda shows kubwa za hivyo ziandaliwe na management yake. subir mwambie asubur tour ianze atajionea mwenyew
Oke Zari nimekusikia.Nenda ukapigwe mtungo na kibakuli..
Huna uhakika gani show za kiba south Africa zitakuwa kwenye mabar?!Show ya kimataifa ya Neyo imesogezwa mbele na waandaaji. Hizo ni show za level ya kimataifa sio za kwenye mabaa ya south africa. Mtu aliyeshindwa kujaza watu Dodoma na Mombasa ategemee za uso tu huko South Africa.
Nina uhakika sababu ata Dodoma alifanya kwenye bar na haikujaa akanusurika kichapo.Huna uhakika gani show za kiba south Africa zitakuwa kwenye mabar?!
unazijua bar za south Africa zilivyo?!
Ulishuhudia show yake ya funga mwaka Uganda ilivyoshona lini baba ako Dimond alijaza watu Uganda pamoja na kujiweka kwa Zari ili apenye Uganda na bado amedunda.