Kiapo: Kuanzia leo nimeacha uzinzi

Kiapo: Kuanzia leo nimeacha uzinzi

Sasa kak uti tu hiyo

Na mkeo utamwambia umeitoa wapi?
Hata sina haja ya kumwambia yeye anaamini choo tunachotumia na wapangaji wenzetu kichafu namimi naunga mkono hoja yake nzuri

Ila nimekoma mimi sio wakuumwa namna hii wiki inakaribia kukata nipo tu ndani alaaniwe yule mdada na tako lake
 
Hata sina haja ya kumwambia yeye anaamini choo tunachotumia na wapangaji wenzetu kichafu namimi naunga mkono hoja yake nzuri

Ila nimekoma mimi sio wakuumwa namna hii wiki inakaribia kukata nipo tu ndani alaaniwe yule mdada na tako lake
Kwahiyo tako ndo limekupa uti aisee 🤣🤣, uliingia kusikotakuwa bila shaka
 
Naapa kwa jina la JF kuanzia leo mimi Kazanazo nimeacha uzinzi sitakuja kurukia tena pisi za nje hata kama mke wangu aninyime kwa mwaka mzima

Hili gube gube limeniambukiza uti sijawahi ugua toka nizaliwe wallah nimekoma sirudii tena
Pole sana mkuu, uzinzi ni majanga tu na upotevu wa hela na amani ya moyo.
 
Back
Top Bottom