Geronimo Mafionso
New Member
- Jul 26, 2016
- 1
- 0
Wadau naomba kuuliza kuhusu hivi viapo vya damu,
Nilikutana na demu kwa muda wa wiki hivi ni kabinti kama miaka 18 ndio kwanza kanaingia form 5, siku hiyo tupo nae namsindikiza akaniomba ninunue kiwembe, sikujua cha kazi gani, baadae akaniambia anataka anichanje afu kila mtu anywe damu ya mwenzake kama kiapo nisimsaliti.
Mimi nikaona kama masihara mtoto nimemzidi miaka kama 9, anajuaje hayo mambo, tulipokaribia kwao tupo ndani ya gari tukasimama akachukua kiwembe akanikata begani akanywa damu akaniambia na mimi nimkate, nikamkata mkononi akaniambia nyonya damu, nikanyonya!
Ila kile kiwembe sikumpa asepe nacho nilikivunja nikakitupa na niliamini ni kitendo cha kawaida tu coz damu zetu hatukuzigusanisha wala kuapa kwa maneno.
Tulipomaliza akaniambia cheat uone sasa na akanipa mfano wa rafiki yake alikula kiapo kama hicho na boy wake, demu akamsaliti mshkaji saizi demu kichaaa. Lakini na mimi nafanya hayo yote nina demu wangu wa siku nyingi ingawa yupo mbali.
Huwezi amini baada ya kama wiki hivi yule demu wangu wa kweli kabisa akaanza kuzingua kapata mtu mwingine mpaka tumeachana kabisaaa, yule future wife hanitaki tena na hakuna sababu ya muhimu.
Asa sijajua mpaka sasa ni ile kuchanjana na kiwembe imefanya kazi au lah??
Na ni kweli viapo vya hivi vinafanya kazi? Mnaojua haya mambo nisaidieni....
Nilikutana na demu kwa muda wa wiki hivi ni kabinti kama miaka 18 ndio kwanza kanaingia form 5, siku hiyo tupo nae namsindikiza akaniomba ninunue kiwembe, sikujua cha kazi gani, baadae akaniambia anataka anichanje afu kila mtu anywe damu ya mwenzake kama kiapo nisimsaliti.
Mimi nikaona kama masihara mtoto nimemzidi miaka kama 9, anajuaje hayo mambo, tulipokaribia kwao tupo ndani ya gari tukasimama akachukua kiwembe akanikata begani akanywa damu akaniambia na mimi nimkate, nikamkata mkononi akaniambia nyonya damu, nikanyonya!
Ila kile kiwembe sikumpa asepe nacho nilikivunja nikakitupa na niliamini ni kitendo cha kawaida tu coz damu zetu hatukuzigusanisha wala kuapa kwa maneno.
Tulipomaliza akaniambia cheat uone sasa na akanipa mfano wa rafiki yake alikula kiapo kama hicho na boy wake, demu akamsaliti mshkaji saizi demu kichaaa. Lakini na mimi nafanya hayo yote nina demu wangu wa siku nyingi ingawa yupo mbali.
Huwezi amini baada ya kama wiki hivi yule demu wangu wa kweli kabisa akaanza kuzingua kapata mtu mwingine mpaka tumeachana kabisaaa, yule future wife hanitaki tena na hakuna sababu ya muhimu.
Asa sijajua mpaka sasa ni ile kuchanjana na kiwembe imefanya kazi au lah??
Na ni kweli viapo vya hivi vinafanya kazi? Mnaojua haya mambo nisaidieni....