duu!kesho kiama,yaan kesho picha linakwisha,"the end "mchungaji wa marekani huyo,mwaka huu naona watumishi wa bwana wanafunuliwa sana mambo makubwa,babu Loliondo full matibabu,na huyu mchungaji huko mbele(marekani)anadai ndo the end,daaa,yaan JF tunaagana hivi hivi,kwa herini jamani!