kiamaaaaa!

kiamaaaaa!


bado sijafa lol.nahesabu masaa tu hii siku iishe salama.ntakua na zali la menatari.au kuna wanaonyakuliwa kimya kimya?lakini naamin wewe bado haujanyakuliwa pia.ukisikia tetesi kama kuna aliyenyakuliwa nitonye sawa??mia mkubwa
 
wenzangu jf bado mpo au mumeshanyakuliwa?mwenzenu nipo sijui ndo ntaenda motoni!!?hadi sasa hivi bado nagoma kufa...sijui kuna kitu gani.aliyenyakuliwa p'se atujuze au wote watenda maovu??

huku dalili tayari,yaan huwez amini,giza mji mzima!
 
ila hata mtu ukielekea ile pande nyingine,utapeta na watu mashuhuri wengi tu,akina hitler,benito,kaka osama,mjomba sadam,bob,sauli and so many,yaan makamanda wa ukweli kibaooooo!

na shehe yahaya.
 
nasikitika kuondoka bila kuona chelsea ikinyakua ubingwa wa UEFA,aibu gani hii jaman.....?
 
daah,tumesalimika,labda tumsubiri babu wa loliondo aoteshwe kuhusu kiama
 
He he he siku bado haijaisha jamani...mi sitoki nje leo wala sitendi dhambi mpaka kesho
 
Vipi mbona hatufi? au tayari tuko upande mwingine wa maisha na jf yetu.
 
i see ni kama naota hivi,inawezekana nipo sehemu nyingine,halafu naona mambo ya ajabuajabu,naona viti,meza, vitanda vipo upside down,watu kama popo,vichwa chini miguu juu,naapa nachati kwenye "FJ",kuna jamaa,ana mapembe ananifuata,ngoja nikimbilie kwa bro.osama,nitaendelea kuwajulisha yanayoendelea huku!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom