Asante kwa taarifa kumbe wako pale contineto next w.end lazima nitie maguu fahari ya macho inyeeeeeeeeeeeeeeee
fahari ya macho haifilisi duka. Asante mungu kwa kunipa macho yanipayo starehe ya moyo wangu
Asante sana nitapitia mitaa hiyo walau sipafahamu nitaulizasi wknd ni kila jumatano
Tutakuwa na mendeleo lini? Kama tunapanda magari na kutumia nauli kubwa kwenda kuangalia maungo ya manawake wakati tunao nyumbani?Nilihudhuria promosheni ya Heineken, kuna mabinti wanacheza yaani ni noma, hakieleweki wanakata kitu gani, sijui ni kiuno, sijui matak0, sijui ni tumbo, sijui ni nyonga?
Yaani nilibako hoi.
Nasikia jumatano huwa wanakuwepo hotel contineto, ntafiunga safari niende Dsm nkajionee uhondo tena.
Laki si pesa...ebwana hawa mashori ni nooma wanaweza kukuvunja kiungo muhmu
Nami niliwaona Dodoma pale Chako ni chako wiki mbili zilizopita. Wee acha tu!
kaka kiungo muhimu ni kipi hicho hebu dadavua bac
Naisi kuamasika gafla,ebu acheni hizo story.mmesema continental vile?
niliuliza kwa nini watu wakienda kwenye hizo show hawaendi na wake au girlfriend zao? Nikajibiwa kwani wewe bar huwa unaenda na bia? Nkachoka kabisa
Nilihudhuria promosheni ya Heineken, kuna mabinti wanacheza yaani ni noma, hakieleweki wanakata kitu gani, sijui ni kiuno, sijui matak0, sijui ni tumbo, sijui ni nyonga?
Yaani nilibako hoi.
Nasikia jumatano huwa wanakuwepo hotel contineto, ntafiunga safari niende Dsm nkajionee uhondo tena.
Mbona mi wa kawaida kabisa? Hata mimi nashangaa vipaji na ujuzi walionao laki si pesa wana ndembendembeHiyo ndio baikoko, ukishaiona hiyo ngoma inavyochezwa ndio utajuwa kwanini watu wakipata wa Tanga huwa hawabanduki.