Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 442
kwe kwe kwe umenikata mbavu nimeipenda hiyokitu Tigo K kwa mkeo!
kwe kwe kwe umenikata mbavu nimeipenda hiyokitu Tigo K kwa mkeo!
Hahahaha...hi mikitu balaa! Wakezetu wakilijua hili tutakomaNilienda Continental j 5 moja kuna lile wanaliita bonge likawa linaninengulia karibu sana nilikuwa na vielfu 5 kibao kwenye pochi nikaanza kumtupia kutahamaki zimebaki mbili ikabidi nirudi kulala
kudadadeki ckunyingine uende na nyingi zaidi uchukue kabisa zigo hilo ukajiexpressNilienda Continental j 5 moja kuna lile wanaliita bonge likawa linaninengulia karibu sana nilikuwa na vielfu 5 kibao kwenye pochi nikaanza kumtupia kutahamaki zimebaki mbili ikabidi nirudi kulala
Na sasa hivi premier imeisha sijui tutaaga vipi hahaha!Hahahaha...hi mikutu balaa! Wakezetu wakilijua hili tutakoma
Lile litakuwa limeshachukuliwa na wengi mi napenda kuliangalia tu na likiniona tu linafanya makusudi siku moja likanipandia kabisa na kuninengulia,limekula sana hela zangu libonge.kudadadeki ckunyingine uende na nyingi zaidi uchukue kabisa zigo hilo ukajiexpress
cha wote hawa aiseewatakua na wanaowachakachua.
haoni aibu ya kuja kuzungushia kiuno chake karibu na pua yako huku akiwa amesimama juu ya kiti cha pembeni yako.utasikia watu weweeeee.....!!cha wote hawa aisee
hapo ujue anataka umtunze buku kumi .. mwe\!!!!haoni aibu ya kuja kuzungushia kiuno chake karibu na pua yako huku akiwa amesimama juu ya kiti cha pembeni yako.utasikia watu weweeeee.....!!
mi bado naangalia tu uhondo!.ntarudi baadae.
mia
siku nitakualika twende pale ..KANDAMBILI KAPAKATWA PUB..mweeeeeehhhhhhh
bongo hiyo... mkizamia mtoni muwe mnarudi nyumbani mara kwa mara..wako wapi?
Mbna mnazngua?
bongo hiyo... mkizamia mtoni muwe mnarudi nyumbani mara kwa mara..