Kesi ya Mbowe: Mbowe na viongozi wa CHADEMA msiposikiliza ushauri wa Godbless Lema anaeshauri muondoe mawakili mahakamani, mtakuja kujiulaumu sana

Wacha ujinga wako Tindo . Mdude aliposhinda Mahakama zilikuwa huru, Sabaya alipohukumiwa miaka 30, Mahakama ziko huru.

Nyinyi mnajuwa uovu wa Mbowe ndiyo maana suruwali zinawabana.

Nasema hivi mahakama haziko huru hilo wala halina mjadala. Mdude alifungwa na mahakama hizo hizo kwa maagizo ya Magufuli, na aliachiwa kwa maagizo ya Samia na sio kwa uhuru wa mahakama. Kama mahakama zingekuwa huru mdude asingefungwa. Sabaya amefungwa kwa ushahidi usioacha shaka, na hata asingefungwa tusingeshangaa maana hakuna mahakama hapa, bali kuna majengo ya kukomolea watu watu walio kinyume cha watawala.

Huyo Sabaya amefungwa maana atakuwa alihitilifiana na mama enzi za Magufuli, vinginevyo kama ni waliotenda uhalifu ndio wanachukuliwa hatua, basi hata Makonda alitakiwa awe jela maana amefanya unyama kuliko wa Sabaya, na ushahidi wa ukatili wake uko wazi.
 
Kwani mawakili wasomi wameshindwa kuja na hoja za kumchomoa gaidi mbowe mpaka msuse
emoji23.png
emoji1787.png
Hakuna kesi hapo bali ni ushenzi kama ushenzi mwingine
 
Jambo la yakini ni hili mbowe akifungwa itatengeneza uhasama Kati ya ccm na wananchi. Popote atakapoonekana mwanaccm na uniform majaliwa yake anajua mungu kwani huku mtaani watu wanaamini ccm inamsumbua mbowe na inataka kumfunga kwani watu wanahoji Kama walitaka kumuua lisu watashindwa kumfunga mbowe?
Umetumia vigezo gani kufikiria hivyo mkuu? Maana kama hakuna kilichotokea kwa alichofanyiwa Lissu ndio unategemea kitokee nini kwa kufungwa Mbowe?
 
Nimeshangaa chama ambacho kinaamini katika uhuru wa mahakama kuongea upumbavu huo
 
Siku chache zilizopita, nilileta mada hapa niki-suggest Mbowe aacha kujitetea mbele ya hizi mahakama zetu kutokana na mwenendo mzima wa hii kesi. Leo hii kupitia You tube, nimemsikia Godbless Lema akimshauri Mbowe aondoe mawakili na akae kimya mahakamani ili wafanye kile wanachokita. Lema pia kaongea na katibu mkuu wa chama na anapanga kuongea na makamu mwenyekiti wa chama kuhusu jambo hili. Isitoshe, Lema kakumbusha uamuzi wa mke wake kutoa mawakili wakati ule wa kesi ya yake alipokuwa ananyimwa dhamana.

Katika kufafanua, Lema kataja mapungufu kadhaa yanayoonekana katika hii kesi na mfano mmojawapo ni Jaji kutumia mawazo yake(opinion) kufanya maamuzi badala ya kutumia vifungu vya sheria katika kuamua mapingamizi. Mbali na kutaja mapungufu yanayojitokeza, Lema anahoji kama katika hatua hizi za mwanzo taratibu zinakikuwa, tunatarajia kweli hukumu itakuwa fair?(swali la msingi sana hili).

Binafsi naungana na Lema kuwa kuna umuhimu wa kuondoa mawakili na Mbowe akae kimya mahakamani tuwaache wafanye wanalotaka kufanya. Hapa tunarudia kosa lilelile la kuwa wagumu kufanya maamuzi kama tulivyofanya kwenye kususia chaguzi zinazoendeshwa na hii tume ya uchaguzi isiokuwa huru. Na hapa niwaambie tu, wakifanikiwa kumfunga Mbowe halafu tukalalamika kuwa taratibu zilikiukwa, majibu yao(MATAGA) yatakuwa mawili: (1) kwanini hamkujitoa (2)Mkakate rufaa kama hamridhiki na maamuzi ya mahakama.

Kuhusu hili la kusubiri kwenda Mahakama ya Rufaa kupinga kitachoamuliwa, naungana pia na Lema kupinga hoja hii kwani hata hao Majaji wa Mahakama ya Rufaa upatikanaji wao ni ule ule wa kuteuliwa na Raisi,hivyo bado lolote linaweza kutokea. Kwahiyo, nashauri viongozi wa CHADEMA na wana familia ya Mbowe watafakari upya kama ni sahihi kuendelea kuweka mawakili mahakamani au Mbowe akae kimya na awaache waamue wanavyoona inafaa.
View attachment 2001948
Ukiwaondoa mawakili ni Mbowe kukaa Kimya bado kama wameamua kumfunga watamfunga tu. Na hao mataga watakuja na hoja kwamba kama siyo kweli si mngepinga? Kwa nini hamkujitetea mbele ya mahakama kama mna hoja? Watasema mlijua kosa lenu ndio maana mlikubali yaishe kwa kunyamaza na kuwaondoa mahakamani. Binafsi naona afadhali hii ya kuendelea kuwa na mawakili na hadi sasa tumeshajua kuwa kumbe Mbowe kabambikiwa kesi na Sirro, Kingai, Mahita, Jumanne na Sabaya . Tungejua wapi kwamba Sirro na wenzake walienda kunywa Mbege kwa yule Kahaba na kisha wakamuomba awe shahidi kwenye kesi ya Mbowe. Tumeyajua mengi mno kwenye hii kesi. Kama kusingekuwapo mawakili tungejuaje hata yule hakimu mteuliwa kuwa huamua kesi kwa maoni yake tu? Acha mawakili waendelee na Mbowe asinyamaze tujue mengi nyuma ya pazia.
 
Utafungwa naomba mwenyekiti uwapuuze Hawa mazuzu wewe ndiye unajua adha ya jela wao wataanza kuuana wakigombea KITI chako na watakusahau ndani ya siku 90.

Wewe ndiye nguzo ya chama unapambana kivyako wanajifanya wapo pamoja nawe lakini mioyoni mwao hawapo pamoja nawe.

Hizi siasa za harakati ni ngumu sana na hata ukishinda harakati zinakurudia kwa kiwango kilekile ulichokijenga.
Hata Mbowe mwenyewe siku hizi hawaamini kivile watu wake aliowatoa mbali ndani ya Chadema. Hawachelewi kumgeuka. Nani alijua haya ya akina Mdee na Covid-19 wenzake, Katambi, Zitto, Waitara, Pauline Gekul, Kitila, Mollel, Selasini, Komu, Bananga, Kalist, Nassari, Silinde, nk. Mbowe aendelee tu na mikakati yake ya kujitetea, hawa wengine ni ndumila kuwili tu
 
Jambo nililolipenda kwenye kesi hii ni kuvuliwa nguo kwa Serikali , Polisi na Majaji .
Na mimi nakuunga mkono. Sote tumejua kuwa Rais na serikali yake na akina Sirro, Mahita, Tigo, Jumane na Kingai hubambika watu kesi. Kauli na hukumu ya Rais kwa Mbowe inaitesa mahakama, Maana mahakama muda wote wanatafuta mwanya wa kuhalalisha Kauli na hukumu ya Rais. Hii Kauli ya Rais itamhukumu hadi mwisho wa maisha yake hapa dunian. Kauli ya kuhujumu haki
 
Serikali siyo wajinga kumfungulia Mbowe kesi ya ugaidi. Mbowe mwenyewe anajuwa namna alivyolikoroga.

Muulizeni kati ya Desemba 2020 na March 2021 mpaka tunamzika DIKTETA Magufuli alikuwa wapi? Muulizeni ni kitu gani aliomba kwenye ubalozi wa Denmark na alijibiwa nini?

Nendeni na ubalozi wa Canada mkaone status ya papers zake kwa alichokiomba. Mmasingizia alikuwa kwenye biashara zake Dubai, ana biashara gani Dubai?

Kwa nini Serikali ihangaike kumtengeneza Mbowe mashtaka ya kubumba? Ni nguvu gani aliyonayo?

Mbowe alitaka kuweka nchi kwenye status of instability immediately baada ya uchaguzi kukamilika. Serikali ilipogundua njama ndipo akalazimika kukimbia.

Nani kasikia masekondari ya shule za Kisslami yanachomwa tena baada ya Mbowe kuwa mikono salama pale Ukonga?

Na kwa kiasi kikubwa amshukuru Samia ambaye ameacha Mahakama itende haki kwani ingekuwa hajawahi kukimbia nchi wakati wa Mwendazake, saa hizi Mbowe angekuwa na msaidizi wake Ben Saanane huko kuzimu.

Nashangaa Wana CDM mnamtukana Rais SSH eti DIKTETA mwanamke wakati ameacha uhuru wa habari na utawala wa sheria uendelee.
Sheatani siku zote haeleweki. Wewe mwenyewe unahoji eti kwani Mbowe ana nguvu gani halafu hapohapo unaorodhesha kuchomwa moto sekondari za Kiislamu ukihusisha na Mbowe. Kwani sasa hizo nguvu kapata wapi?
 
Siku chache zilizopita, nilileta mada hapa niki-suggest Mbowe aacha kujitetea mbele ya hizi mahakama zetu kutokana na mwenendo mzima wa hii kesi. Leo hii kupitia You tube, nimemsikia Godbless Lema akimshauri Mbowe aondoe mawakili na akae kimya mahakamani ili wafanye kile wanachokita. Lema pia kaongea na katibu mkuu wa chama na anapanga kuongea na makamu mwenyekiti wa chama kuhusu jambo hili. Isitoshe, Lema kakumbusha uamuzi wa mke wake kutoa mawakili wakati ule wa kesi ya yake alipokuwa ananyimwa dhamana.

Katika kufafanua, Lema kataja mapungufu kadhaa yanayoonekana katika hii kesi na mfano mmojawapo ni Jaji kutumia mawazo yake(opinion) kufanya maamuzi badala ya kutumia vifungu vya sheria katika kuamua mapingamizi. Mbali na kutaja mapungufu yanayojitokeza, Lema anahoji kama katika hatua hizi za mwanzo taratibu zinakikuwa, tunatarajia kweli hukumu itakuwa fair?(swali la msingi sana hili).

Binafsi naungana na Lema kuwa kuna umuhimu wa kuondoa mawakili na Mbowe akae kimya mahakamani tuwaache wafanye wanalotaka kufanya. Hapa tunarudia kosa lilelile la kuwa wagumu kufanya maamuzi kama tulivyofanya kwenye kususia chaguzi zinazoendeshwa na hii tume ya uchaguzi isiokuwa huru. Na hapa niwaambie tu, wakifanikiwa kumfunga Mbowe halafu tukalalamika kuwa taratibu zilikiukwa, majibu yao(MATAGA) yatakuwa mawili: (1) kwanini hamkujitoa (2)Mkakate rufaa kama hamridhiki na maamuzi ya mahakama.

Kuhusu hili la kusubiri kwenda Mahakama ya Rufaa kupinga kitachoamuliwa, naungana pia na Lema kupinga hoja hii kwani hata hao Majaji wa Mahakama ya Rufaa upatikanaji wao ni ule ule wa kuteuliwa na Raisi,hivyo bado lolote linaweza kutokea. Kwahiyo, nashauri viongozi wa CHADEMA na wana familia ya Mbowe watafakari upya kama ni sahihi kuendelea kuweka mawakili mahakamani au Mbowe akae kimya na awaache waamue wanavyoona inafaa.
View attachment 2001948
A bitter truth, lakini lets give it a try, tukiondoa mawaili wote mahakamani ni dalii ya kukata tamaa na kukubali kosa ambalo mwenyekiti hajafanya, tuache kesi iebdelee ili watu waone uongo wa mamlaka zetu na uonevu wake, mapaka sasa tumeshapata picha ya kesi nzima kutokana na utetezi wa mashahidi wa jamhuri anbao wengi mazungumzo yao hayana direct connection na kesi ya ugaidi bali ni utunzi usio na mtiririko
 
Kwa mara ya kwanza naungana na Lema kwenye hili...
Rais alishatoa hukumu tusitegemee kuna judge atatoa hukumu na kinyume chake...
Case hii ilikwisha kabisa pale kwenye maamuzi ya hukumu ndogo kukubali maelezo ya wale wanajeshi wastaafu... pale ndipo palimaliza case hiii haya ya muendelezo yatakuwa na mchango mdogo sana na ukweli ni kwamba lengo ni kumfunga Mbowe na watafanya hivyo kwa njia yeyote ile.....
Kila mtu anajua fika Mbowe sio gaidi na awezi tenda vitendo hivyo..... bora kweli waondoe hao mawakili wafanye watakalo.... akiingia mahakamani ake kimya tuuu waamue wao
Hii case Rais alishatoa hukumu na kamwe judge awezi muumbuwa boss wake... kibaya zaidi case inaendelea Rais anampandisha cheo msimamizi wa case ambaye anakwenda kuwa mkubwa zaidi na mteuzi wa wasimamizi wa case(majudge).

Mimi binafsi niliacha kufatilia hii case baada ya hukumu ya case ndogo.
Ulifanya makosa makubwa kuacha kufuatilia hii kesi. Wenzako tumefaidi mengi na tumejua kuwa kumbe hatuna jeshi la polisi bali ni kikundi tu cha wahalifu kilichohalalishiwa kushika bunduki. Tumejua kuwa kumbe eti Mbowe anashitakiwa kwa kutishia maisha ya jambazi Sabaya. Polisi walishirikiana na Sabaya kumfungulia kesi Mbowe.
 
Siku chache zilizopita, nilileta mada hapa niki-suggest Mbowe aacha kujitetea mbele ya hizi mahakama zetu kutokana na mwenendo mzima wa hii kesi. Leo hii kupitia You tube, nimemsikia Godbless Lema akimshauri Mbowe aondoe mawakili na akae kimya mahakamani ili wafanye kile wanachokita. Lema pia kaongea na katibu mkuu wa chama na anapanga kuongea na makamu mwenyekiti wa chama kuhusu jambo hili. Isitoshe, Lema kakumbusha uamuzi wa mke wake kutoa mawakili wakati ule wa kesi ya yake alipokuwa ananyimwa dhamana.

Katika kufafanua, Lema kataja mapungufu kadhaa yanayoonekana katika hii kesi na mfano mmojawapo ni Jaji kutumia mawazo yake(opinion) kufanya maamuzi badala ya kutumia vifungu vya sheria katika kuamua mapingamizi. Mbali na kutaja mapungufu yanayojitokeza, Lema anahoji kama katika hatua hizi za mwanzo taratibu zinakikuwa, tunatarajia kweli hukumu itakuwa fair?(swali la msingi sana hili).

Binafsi naungana na Lema kuwa kuna umuhimu wa kuondoa mawakili na Mbowe akae kimya mahakamani tuwaache wafanye wanalotaka kufanya. Hapa tunarudia kosa lilelile la kuwa wagumu kufanya maamuzi kama tulivyofanya kwenye kususia chaguzi zinazoendeshwa na hii tume ya uchaguzi isiokuwa huru. Na hapa niwaambie tu, wakifanikiwa kumfunga Mbowe halafu tukalalamika kuwa taratibu zilikiukwa, majibu yao(MATAGA) yatakuwa mawili: (1) kwanini hamkujitoa (2)Mkakate rufaa kama hamridhiki na maamuzi ya mahakama.

Kuhusu hili la kusubiri kwenda Mahakama ya Rufaa kupinga kitachoamuliwa, naungana pia na Lema kupinga hoja hii kwani hata hao Majaji wa Mahakama ya Rufaa upatikanaji wao ni ule ule wa kuteuliwa na Raisi,hivyo bado lolote linaweza kutokea. Kwahiyo, nashauri viongozi wa CHADEMA na wana familia ya Mbowe watafakari upya kama ni sahihi kuendelea kuweka mawakili mahakamani au Mbowe akae kimya na awaache waamue wanavyoona inafaa.
View attachment 2001948
Binge la idea
 
Isingekuwa hukumu ya kesi hii imeshatolewa na rais (akihojiwa na BBC) na IGP Zirro nisingekubaliana na mawazo ya Lema,Mbowe atoe mawakili na akaye kimya mahakamani maana kinachoendelea sasa ni kumcheleweshea siku za kutumikia kifungo tu..
Kadri tunavyozidi kujitetea ndiyo tunavyorefusha muda wa kukaa gerezani.

Mbowe ashahukumiwa kinachoendelea mahakamani ni maigizo na unajisi wa sheria kama ilivyo kawaida ya CCM.
So sad
 
Kwanini sasa mnayoa ushauri wa kutaka kuwaondoa Mawakili na Mbowe asijibu? Mnakaanga samaki kwa mafuta yake.

Majibu mnayo ya ambacho Mbowe ametenda ila mnataka kui FOOL public kuwa anaonewa.

Kama ushahudi ni wa kuunga unga WHY WORRY? Si ndiyo sasa mtamnasua Mbowe kirahisi?

You peolple you have to be matured, Mbowe is a mere suspect like any other person in custody until proven GUILTY by the Court. The more mna doubt rule if law the more mnaonyesha mtu wenu ni mwovu.
Just look a delusional and frustrated individual spewing rubbish from both sides of the mouth.

If you gat nothing meaningful to say, don't open your mouth and spew trash from both sides.
 
Back
Top Bottom