Igweeeeeee!!!! Habari zisizo rasmi ila zipo rasmi kwa manabii nikuwa kesho tarehe Nne mwezi wa Tisa huko Kenya Mungu anaenda pinduwa meza kama alivyo fanya kwa mzaliwa wa kwanza Esau...
Nihivi kuna story moja kwenye Bible inatisha sana ambapo Mungu aliunyang'anya uzaliwa wa kwanza wa Esau akampa Jacob.
Je ilikuwaje ebwanaa weee nikwamba siku moja Esau akitokea kwenye mawindo alikuwa na njaa ile kinyama yani sasa akamkuta mdogo wake anakitu cha dengu akamwambia ndugu yangu nina njaa sana naomba icho chakula dogo sijuwi alikuwa anaongozwa na roho au Mungu alimpa maarifa gani siakamwambia kaka yake Br kama vipi nikikupa hii dengu utanipa nini?
Jamaa likawaza likaona kumrudhisha dogo amwambie atampa uzaliwa wa kwanza... Weee mweeee kumbe Mzee Baba Mbinguni akasikia akapiga kimya siku ya siku Esau alisha sahau aliuza uzaliwa wa kwanza Mzee akamwambia kaniletee chakula kizuri nikubariki maana nataka kusepa kwa baba...
Mam siakasikia mchongo mzima kwanii asimwambie Jacob mwenzako anataka kubarikiwa kimbia fasta kwa ziz tumtengenezew dngi msosi kaka yako akirudi akute imeisha hiyo... Kukatisha story Jacob akalamba baraka zote za mzaliwa wa kwanza yani kaka mtu kirudi akakuta manyoya bifu yake unaambiwa Jacob alikimbia nchi...
Turudi hapo Kenya kesho kazi ipo Ruto ndio Jacob analamba nchi kama mzaa watakinukisha ila bwana Mungu ameamua kumjibu Odinga kwamba Yeye yupo na alimsikia akimkebei mwenzake kwamba anamtajataja Mungu bwana Sir God amesikia alafu amejibu kama mzahaa kijana anachukua nchi hata kama kweli kura zimeibiwa ila hakuna kilichoibiwa Mungu ameamua Ruto awe Rais.
Hii story imenikumbusha Rais wa taifa fulani aliwahi kusema atakuwa Rais hata kama Mungu atazuwia yeye atakuwa Rais tobaa Sir God akamsikia akahakikisha anakuwa Rais ila hatawali unaambiwa maasaa machache baada yakuchaguliwa akafa.
Mungu yupo huwamini una amini funga domo. End
Nihivi kuna story moja kwenye Bible inatisha sana ambapo Mungu aliunyang'anya uzaliwa wa kwanza wa Esau akampa Jacob.
Je ilikuwaje ebwanaa weee nikwamba siku moja Esau akitokea kwenye mawindo alikuwa na njaa ile kinyama yani sasa akamkuta mdogo wake anakitu cha dengu akamwambia ndugu yangu nina njaa sana naomba icho chakula dogo sijuwi alikuwa anaongozwa na roho au Mungu alimpa maarifa gani siakamwambia kaka yake Br kama vipi nikikupa hii dengu utanipa nini?
Jamaa likawaza likaona kumrudhisha dogo amwambie atampa uzaliwa wa kwanza... Weee mweeee kumbe Mzee Baba Mbinguni akasikia akapiga kimya siku ya siku Esau alisha sahau aliuza uzaliwa wa kwanza Mzee akamwambia kaniletee chakula kizuri nikubariki maana nataka kusepa kwa baba...
Mam siakasikia mchongo mzima kwanii asimwambie Jacob mwenzako anataka kubarikiwa kimbia fasta kwa ziz tumtengenezew dngi msosi kaka yako akirudi akute imeisha hiyo... Kukatisha story Jacob akalamba baraka zote za mzaliwa wa kwanza yani kaka mtu kirudi akakuta manyoya bifu yake unaambiwa Jacob alikimbia nchi...
Turudi hapo Kenya kesho kazi ipo Ruto ndio Jacob analamba nchi kama mzaa watakinukisha ila bwana Mungu ameamua kumjibu Odinga kwamba Yeye yupo na alimsikia akimkebei mwenzake kwamba anamtajataja Mungu bwana Sir God amesikia alafu amejibu kama mzahaa kijana anachukua nchi hata kama kweli kura zimeibiwa ila hakuna kilichoibiwa Mungu ameamua Ruto awe Rais.
Hii story imenikumbusha Rais wa taifa fulani aliwahi kusema atakuwa Rais hata kama Mungu atazuwia yeye atakuwa Rais tobaa Sir God akamsikia akahakikisha anakuwa Rais ila hatawali unaambiwa maasaa machache baada yakuchaguliwa akafa.
Mungu yupo huwamini una amini funga domo. End