johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Watu wengi wanakosea kudhani kama ulinunua cheti cha mtoto maskini aliyeshindwa kuingia Kidato cha kwanza licha ya kufaulu basi Wewe ulifaulu kwa akili zako kuanzia Form One hadi ulipoishia
Wanachosahau ni Ukweli Kuwa hapo walipofikia ni wametumia " Haki ya Msingi" ya mtu mwingine
Hii haina tofauti na Yakobo wa kwenye Biblia aliyenunua kwa hila Haki ya Uzaliwa wa Kwanza kwa kutumia udhaifu wa " Njaa" ya Esau na kiukweli Yakobo hajatulia hadi leo na sasa yuko vitani na wanaokufa ni Wanyonge wa kike, Watoto na Wazee
Hivyo Ujumbe wangu Jumapili hii ya 3 ya Majilio ni Kuwa kama Ulipokuwa mtoto ulidhulumu Haki ya Ufaulu wa Mtoto mwenzio basi hujachelewa, Nenda ukatubu Yesu anakupenda
Zakayo akamwambia Bwana Yesu, wale wote niliowadhulumu nitawarejeshea mara 3 ya nilichowaibia
Nawatakia Dominica Njema 😀
Wanachosahau ni Ukweli Kuwa hapo walipofikia ni wametumia " Haki ya Msingi" ya mtu mwingine
Hii haina tofauti na Yakobo wa kwenye Biblia aliyenunua kwa hila Haki ya Uzaliwa wa Kwanza kwa kutumia udhaifu wa " Njaa" ya Esau na kiukweli Yakobo hajatulia hadi leo na sasa yuko vitani na wanaokufa ni Wanyonge wa kike, Watoto na Wazee
Hivyo Ujumbe wangu Jumapili hii ya 3 ya Majilio ni Kuwa kama Ulipokuwa mtoto ulidhulumu Haki ya Ufaulu wa Mtoto mwenzio basi hujachelewa, Nenda ukatubu Yesu anakupenda
Zakayo akamwambia Bwana Yesu, wale wote niliowadhulumu nitawarejeshea mara 3 ya nilichowaibia
Nawatakia Dominica Njema 😀