Tetesi: Kesho Dar watu wana jambo lao

Sijui walahi! Naambiwa hapa kuna jambo lingetokea leo lakini limeahirishwa mpaka kesho huko Dar. Mliopo Dar mkae vizuri na mtujuze nini chaendelea huko.

Mambo yashafana. Hiyo miili mtaila nyama mbichi. Na bado.
mfa maji
 
Duh sasa rafiki kwa hiyo pesa si unge pata ushuani kabisa, au ndio uli saka utulivu?.
Nilikuwa na malengo yangu flani Ila walichonifanyia wale wahuni na malengo yakafa.
Kule hadi mjumbe ni kibaka
Af nyumba ilikuwa nzuri Sana na karibu na eneo langu.
Shenzi wale siwasahau
Na kesi ikabadilishiwa mpelelezi kwa makusudi... Wale na polisi wanajuana
 
Mungu atusaidie, Mimi sijafiwa na mtu wa karibu, ila I can imagine kama ningefiwa na Bwana mdogo, na hakuwa kwenye maandamano, na mwili wake usionekane, ningeweza kufanya the un speakable!

Mungu awape Hekima viongozi wetu Hekima!
 

Achana na wenye opinion, Kuna ambao hawakuwepo kwenye maandamano, na hawakuwa na opinion, rather kwenye mihangaiko yao au kutoka kupiga kura.
 
Maeneo mengi ya kuanzia kimara mpaka temboni hayako flat na yanamapori mengi sio rahisi kuingia ndanindani.

Kimara mpaka mbezi hakuna vifo vingi vya mtaani kutokana na jiografia yake.
Ni kweli
Ila wanaoishi kwenye center mfano mbez mwisho walikiona
 
Goba wengi wa kishua unakufa kivyako, temboni kuna mchanganyiko na wana umoja sana
Kumbeee
Asee kuanzia temboni garden Hadi saranga wangejipeleka kule ingekuwa mchezo wa kuoteana.
Awamu hii Nina uhakika Hao wananchi hawatatoka kiboya itakuwa vuta nikuvute
 
Maeneo mengi ya kuanzia kimara mpaka temboni hayako flat na yanamapori mengi sio rahisi kuingia ndanindani.

Kimara mpaka mbezi hakuna vifo vingi vya mtaani kutokana na jiografia yake.
Kabisa ni rahisi polisi kubananishwa na wakapelekwa kuzimuni
 
Hatari basi kama walifika na huko kuna vijana wengi waliomaliza vyuo na bado wanahangaikia ajira ndo maana ukanda huo wamewasumbua sana na wataendelea kusumbua
Rafiki yangu anakaa saranga darajani na alinambia kule Amani ilikuwepo full. Labda kama ilikuwa siku ua kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…