Duh Mungu atuokoeSi ndio yule bonge aliyekuwa magogoni kipindi kile, akawa anakunja nne mbele ya bibi Kizimkazi anaitwa Chivayo, anahusika na kuuza silaha kwa viongozi Afrika wasiokubalika na kuwapa mbinu za kubaki kwa hila style hii ya kuteka, kutesa na kuua wanamhusisha nayo sana, ndio inatumika Zimbambwe.
Atuokoe na sisi pia tujiongeze, tukubali kwamba tuko vitani sio kwenye maandamano.Duh Mungu atuokoe
Tuliza ta**o lako Kwa mumeo, hii shughuli ya wanaume ,kipi kinakuleta kwenye nyuzi za wanaume wewe mtoto wa mama?kwahiyo nawewe unataka kufa kama huyo mwanao?
Kwamba tufanyeje? Mtu ana bunduki Sisi tuko empty handed unaingiaje vitani nae kama sio kunyoosha mikono juu kusubiri rehema za MunguAtuokoe na sisi pia tujiongeze, tukubali kwamba tuko vitani sio kwenye maandamano.
Wabongo wengine wanaboa sana hasa wakina mama, nimeshawasikia vikundi vitafu tofauti sehemu tofauti wakina mama wakiwasema vijana wanaoandamana.Atuokoe na sisi pia tujiongeze, tukubali kwamba tuko vitani sio kwenye maandamano.
Sasa mkuu unafikiri mbele ya risasi tutafanyeje? Kilichotokea ulikiona Hadi nyie wanaume mlijificha ndani. Ukweli risasi inatishaWabongo wengine wanaboa sana hasa wakina mama, nimeshawasikia vikundi vitafu tofauti sehemu tofauti wakina mama wakiwasema vijana wanaoandamana.
Watu wameridhika kulipa kodi za biashara mara mbili mbili
Mimi mwenyewe ni muoga kama wewe na ninaogopa milio ya risasi ila sio vyema kuwasema vibaya au kudharau watu wanaoweka maisha yao rehani kwa faida ya sisi sote.Sasa mkuu unafikiri mbele ya risasi tutafanyeje? Kioichotokea ulikiona Hadi nyie wanaume mlijificha ndani. Ukweli risasi inatisha
Walienda upande wa kuelekea matosa lakini saranga hawakutia mguuNa kweli rafiki yangu anaishi temboni ndani ndani anasema hakusikia bomu wala risasi
Tuliza ta**o lako Kwa mumeo, hii shughuli ya wanaume ,kipi kinakuleta kwenye nyuzi za wanaume wewe mtoto wa mama?
Sasa ulivoniponda hapo juu?Mimi mwenyewe ni muoga kama wewe na ninaogopa milio ya risasi ila sio vyema kuwasema vibaya au kudharau watu wanaoweka maisha yao rehani kwa faida ya sisi sote.
Saranga walipaogopa eehWalienda upande wa kuelekea matosa lakini saranga hawakutia mguu
Hawajakoma tu bado? Shauri zao.....!!Sijui walahi! Naambiwa hapa kuna jambo lingetokea leo lakini limeahirishwa mpaka kesho huko Dar. Mliopo Dar mkae vizuri na mtujuze nini chaendelea huko.
Mambo yashafana. Hiyo miili mtaila nyama mbichi. Na bado.
Golan unapajua? Kule ni ukanda wa gaza, wangefika wangekimbiaSaranga walipaogopa eeh
Alaf kule si pameungana na golani kwenye wahuni na vibaka walioshindikana
Mmmmh, Polepole katoroshwa na akina nani?Huyu alisema kila "siku tunakufa sisi tu ninyi hamfi. Safari hii zamu yenu".
Kilichotokea kila mtu anajua hasa walichofanya wale jamaa waliovaa kiraia wenye lafudhi ya Zenj...
Alisema kesho maandamano yapo. Na kweli yakatokea.
Alisema yule aliyepotea mnaye dhania hatorudi katoroshwa. Hii kumaanisha watu walimtorosha Polepole alikofichwa. Sasa sijui wakifanikiwa kumkamata tena?!
Hii golani ipo maeneo gani mkuu? Inaonekana panatisha.Golan unapajua? Kule ni ukanda wa gaza, wangefika wangekimbia
Nilipakimbia ndan ya week 2 tu nkaacha Kodi ya miez Sita kule. (300, 000 Mara 6) sitapasahauGolan unapajua? Kule ni ukanda wa gaza, wangefika wangekimbia
Mkuu hizo tetesi usimchukulie serious.Mmmmh, Polepole katoroshwa na akina nani?
Lini katoroshwa?
Katoroshewa wapi?