Tetesi: Kesho Dar watu wana jambo lao

Tetesi: Kesho Dar watu wana jambo lao

Huyu alisema kila "siku tunakufa sisi tu ninyi hamfi. Safari hii zamu yenu".
Kilichotokea kila mtu anajua hasa walichofanya wale jamaa waliovaa kiraia wenye lafudhi ya Zenj...
Alisema kesho maandamano yapo. Na kweli yakatokea.
Alisema yule aliyepotea mnaye dhania hatorudi katoroshwa. Hii kumaanisha watu walimtorosha Polepole alikofichwa. Sasa sijui walifanikiwa kumkamata tena?!
 
Sijui kwanini Serikali hawalioni hili.
Ni kweli watu wameuwawa, Lkn where are bodies?

Yaani nizae mtoto, afike miaka 25, Apigwe risasi for just having an opinion, na nisipate nafasi ya kuzika mwili wake?

Unazani haya maumivu mtayanyamazisha kwa kupiga mabomu, risasi au nn?
😔😔😒😒
 
Sijui kwanini Serikali hawalioni hili.
Ni kweli watu wameuwawa, Lkn where are bodies?

Yaani nizae mtoto, afike miaka 25, Apigwe risasi for just having an opinion, na nisipate nafasi ya kuzika mwili wake?

Unazani haya maumivu mtayanyamazisha kwa kupiga mabomu, risasi au nn?
Mkuu umeandika kwa hisia sana. Pole!

Imagine kama angekuwa ni Abdul ndiyo kafanyiwa hivyo 🤔
 
Ataua wengi asee. Aagize risasi za kutosha.
Alaf zile kasha za risasi kuna waliokota wakapost video ni made in ZIM (a.k.a Zimbabwe)
Si ndio yule bonge aliyekuwa magogoni kipindi kile, akawa anakunja nne mbele ya bibi Kizimkazi anaitwa Chivayo, anahusika na kuuza silaha kwa viongozi Afrika wasiokubalika na kuwapa mbinu za kubaki kwa hila style hii ya kuteka, kutesa na kuua wanamhusisha nayo sana, ndio inatumika Zimbambwe.
 
Sijui kwanini Serikali hawalioni hili.
Ni kweli watu wameuwawa, Lkn where are bodies?

Yaani nizae mtoto, afike miaka 25, Apigwe risasi for just having an opinion, na nisipate nafasi ya kuzika mwili wake?

Unazani haya maumivu mtayanyamazisha kwa kupiga mabomu, risasi au nn?

kwahiyo nawewe unataka kufa kama huyo mwanao?
 
Back
Top Bottom