cacutee
JF-Expert Member
- Apr 9, 2024
- 1,679
- 4,271
Na haya mambo angesimama na mama yake Hadi tone LA mwishoNimemkumbuka LeMutuz, battle lao na Mange lililuwa linafurahisha.
Na haya mambo angesimama na mama yake Hadi tone LA mwishoNimemkumbuka LeMutuz, battle lao na Mange lililuwa linafurahisha.
Wee me nkikupikia utataka na kesho yakeBasi tuombe uzima, na ujue kupika sasa sio tuna kula michuzi yenye magamba ya samaki 😁
Wewe mundamanaji? Nakuona wewepuuzi Tu . Sasa. Hiyo Dec 9 andamana. Kama utarudi TENA hapa!Haina noma Kwa vile wewe ni mke wao, basi utakuwa safe dhidi yao.
Ila sisi waandamanaji lazima tukule bakuli.
Mzee punguza wenge na mabiti ya kifala, hizo taizi kapige machoko wenzio mf.Wewe mundamanaji? Nakuona wewepuuzi Tu . Sasa. Hiyo Dec 9 andamana. Kama utarudi TENA hapa!
Basi tuseme inshallah, ila hiyo ya kusema kesho yake isi sababishe nyumbani watangaze nime potea!.Wee me nkikupikia utataka na kesho yake
Hivi unaweza kuongea sentence mbili bila ya matusi. Hiyo Inaonyesha IQ ilivyokiwa ndogo.. kama mabitl ya kifala sasa Kwa nini mnalialia mpaka hii Leo ? Nakuambia tena hiyo 12 Dec toka . kenge weweMzee punguza wenge na mabiti ya kifala, hizo taizi kapige machoko wenzio mf.
sijui wangese mna kuwaje, roll up your sleeve and move your weird ass.
You deserve em buda, halafu mabiti pelekea mbuzi labda ndio wata kuogopa.Hivi unaweza kuongea sentence mbili bila ya matusi. Hiyo Inaonyesha IQ ilivyokiwa ndogo.. kama mabitl ya kifala sasa Kwa nini mnalialia mpaka hii Leo ? Nakuambia tena hiyo 12 Dec toka . kenge wewe
Hapo hakuna tusi, matusi anayo Rachael Dangwa uko kwenye mtandao wa TikTok na sasa kuingia TikTok ni mpaka VPNHivi unaweza kuongea sentence mbili bila ya matusi. Hiyo Inaonyesha IQ ilivyokiwa ndogo.. kama mabitl ya kifala sasa Kwa nini mnalialia mpaka hii Leo ? Nakuambia tena hiyo 12 Dec toka . kenge wewe
Ndo ukweliiBasi tuseme inshallah, ila hiyo ya kusema kesho yake isi sababishe nyumbani watangaze nime potea!.
Kaka ndo mitaa iliyotulea hatuwezi kuikataa, ila kwenye vurugu sio kweli ndugu😁Dah ndio maana una vurugu jukwaani, kumbe golani ndio maskani.
Kwa baba rubee 🤣🤣🤣Kaka ndo mitaa iliyotulea hatuwezi kuikataa, ila kwenye vurugu sio kweli ndugu😁
Nani tena huyo 🤔Naomba muondoke kwenye pm yangu pls
Hahaha naelewa kaka, hata sisi tume ishi au kuwa na wana pande hizo.Kaka ndo mitaa iliyotulea hatuwezi kuikataa, ila kwenye vurugu sio kweli ndugu😁
Hahaha, sawa bhana.Ndo ukwelii
AnajijuaNani tena huyo 🤔
Kumbe mwenyeji uku!😅😅Kwa baba rubee 🤣🤣🤣
Me nilipanga huko kwa week 2 mkanitoa kwa lazima na Kodi nikaacha.Kumbe mwenyeji uku!😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣, Daaah hasara rohoMe nilipanga huko kwa week 2 mkanitoa kwa lazima na Kodi nikaacha.