Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,835
- 37,444
Wangu uliponiita nimekuja mbio almanusra nijikwae,nilikuwa nashangaa watu wanapoanika chupi zao,wanasemaje hawa jamaa wanaanza mambo ya kutetana usitie shaka wakileta zao unapiga chini wote,kisha unambadilisha mtakatifu statas toka msiri kuwa............... kisha maisha yanaendelea,wasikutishe bana kama PhD hata mtakatifu anayo.........
Hee!
Makubwa haya!!
Kweli Kufa Kufaana.
Asa msiri wangu nikifanya hvo si ndo nitamaliza wanaume wote humu jamvini?