Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,071
Hapo kwenye wanaume wagumu, je ni mithili ya nondo?
Duuuuu umetisha
Duuuuu umetisha
kwa kweli sharobaro kwangu hana nafasi....sijui kimvulana kinajidai modo...sijui ndio wanajiita fashonista....kwangu no....
napenda wanaume wagumu....yu no wora am saying......