kero yako!

Hapo kwenye wanaume wagumu, je ni mithili ya nondo?
Duuuuu umetisha
kwa kweli sharobaro kwangu hana nafasi....sijui kimvulana kinajidai modo...sijui ndio wanajiita fashonista....kwangu no....
napenda wanaume wagumu....yu no wora am saying......
 
duh,pole shost. bora kwa wanaume. basi ukute mdada anajidai du, ukicheck kwenye armpit unachefuka square!

hahahahahahahahahahahahahah
hapo chacha na mapafyumu juu akinyanyua mkono kumbe ni bob marley
 
inakera mijanaume mikware kutaka kukushika mkono bila ridhaa yako, jana ubungo nilimpiga mmoja teke la p*m*u ndo dawa yao pumbavu!
 
kero yangu kubwa kuona mtu mzima kanyanyua mkono kwenye daladala kashika bomba, kava sleevles halafu hajashave, nasikiaga kuchefukwa!

halafu minywele ya kwapa ya njanoooooooooo......
Mwingine ana kwapy kali mbu wakisikia harufu wanakufa halafu analinyanyua walaaaah kichefuchefu.....



cacico Mke mwenza nimekumiss mie, msalimie mume wetu Asprin
 
Last edited by a moderator:
when my girl has me and she never stop fantasizing about other guys more perfect than me thou i treat her LIKE THE BEST THING EVER HAPPENED TO ME...SHE THINK OF ME AS HER CHIHUAHUA.
 
Daaaaaaaaaaah umeua!

Hahahahahahaha
halafu minywele ya kwapa ya njanoooooooooo......
Mwingine ana kwapy kali mbu wakisikia harufu wanakufa halafu analinyanyua walaaaah kichefuchefu.....



cacico Mke mwenza nimekumiss mie, msalimie mume wetu Asprin
 
Last edited by a moderator:
uploadfromtaptalk1347978678212.jpg Unatoka zako huko umeona mistaili kibao unataka ukanuonyeshe ufundi mkeo halafu ukifika unakuta "mvua" zinanyesha. Aaaaah utatamani ulie
 
Me kero yangu ni baadhi ya member humu kuwa wavivu wa kunipa like.inakeera sana wakati me huwa siwabanii. Hata reputation tu inakuwa kero? Bofya ile nyota unayoiona kushoto bhana!

Sa mi natumia mobile hakuna mambo ya like laiti kama ngekuwa natumia desktop aisee arifu ngekutwangia malike hayo
 
inakera mijanaume mikware kutaka kukushika mkono bila ridhaa yako, jana ubungo nilimpiga mmoja teke la p*m*u ndo dawa yao pumbavu!

Umenchekesha ujue uuwiii leo mi karume hapa mkono hadi nahis maumivu afu wanakung'an'ania hao hatarii
 
Kero yangu ni hawa wadada wanaovaa pichu na tyte zenye sponji! Ukiwachojoa wembambaa kama vijiti! Huwa wananiboa naamua tu kuwaacha uchi natembea zangu!

Heheehehehheeee ukomeee kutaka miwowo kwa bahat mbaya jg kawahi ila mi ninacho cha uchokoziii hehheee poleee
 
Kero yangu Kubwa Ni hawa vijana wa kiume wanaojiita Masharobaro kuja kututongoza sie wakati mifukoni mwao hawana hela ya kuhonga.
Madame B inaniuma sana!!!

hii tena ni kero nyingine....vinauzi....vinataka vyenyewe ndio vikuchune......





Jamani wapendwa si ndio Jenda ikwalite hiyo,sasa nyie mnataka kuchuna nyie tu,ngoja kuanzia leo naanza kumchuna Switi wangu Preta,hebu kwanza njoo huku nikupe namba yangu ya M-Pesa.....
 
Last edited by a moderator:
Huwa nakereka zaidi pale mko ndani ya public transport halafu jitu linafusa kimyakimya mnashtukia hali ya hewa imechafuka halafu kila mtu yuko sirias anajidai sio yeye..............
 
Back
Top Bottom