Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Shida iko wapi ?
Kama una mihela ya kifisadi !
Kuna mbungi gani ukam'baiya BabySharo hata ka'Stalet !
Wakati na yeye anakufurahisha! Sharo anajitoa kula Papai kama hana akili nzuri .
kwa kweli sharobaro kwangu hana nafasi....sijui kimvulana kinajidai modo...sijui ndio wanajiita fashonista....kwangu no....
napenda wanaume wagumu....yu no wora am saying......