hivi wanavyominya habari za ukawa namna hii, wanakatisha maneno ili habari za ukawa zisisikike, ukawa wakichukua nchi si itakuwa bora mkurugenzi wao afukuzwe kabisa na hao vibaraka wake waende kwenye tv ya ccm?
hivi hawajui kama hiyo ni tv ya watz wote wa ccm, ukawa na act?, sasa mbona wanakuwa na akili za kijinga sana? huo ndio utoaji habari? hawaoni kama wanajiaibisha? hawajui kuwa watz siku hizi wana akili sana, wenzao itv wanatoa habari kama zilivyo mtaani, ziwe za ccm au ukawa wanazitoa kama zilivyo, wao akili zao zote ni za kijani....mmelaaniwa kama walivyolaaniwa wakuu wenu wa ccm. na mwaka huu mtakoma, tv yenu itakuwa haiangaliwi na yeyote, andaeni habari mzitangaze na mzisikilize ninyi wenyewe.
ni wiki mbili sana sijawahi kutune kwenye tbc, leo nikasema kwasababu kuan tukio kubwa la lowasa ngona niwajaribu nione wataonyesha au la, wemekuja kuonyesha mwishonii na maneno ya JUMA Duni wakayaminya kw akuedit sana....dawa yenu ipo jikoni.