Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

Leo mda huu niko naangalia TBC1 eti wanaonyesha habari za magufuri wakati kuna habari moto ya mafuriko ya Lowasa, ama hawa ni ma CCM? Mim nlijua ni TV ya taifa

Mbona nlisikia maghufuli yupo UK? Duh .. Sijaona news zake kwenye sosho media muda sana
 
Leo mda huu niko naangalia TBC1 eti wanaonyesha habari za magufuri wakati kuna habari moto ya mafuriko ya Lowasa, ama hawa ni ma CCM? Mim nlijua ni TV ya taifa

hata wasipoonesha habari tutazipata tu na ccm yao mwisho oktoba25 kuanzi hapo watatangaza nini?
 
tuliza p*a*p*a ww, mbona ITV inapendelea ukawa ina maana hawajui maadili ya habari?? au wanajidanganya wakifikiri Lowasa fisadi atashinda??

Leo mda huu niko naangalia TBC1 eti wanaonyesha habari za magufuri wakati kuna habari moto ya mafuriko ya Lowasa, ama hawa ni ma CCM? Mim nlijua ni TV ya taifa
 
Kutokana na televisheni ya taifa tbc1 kumtangaza mgombea wa ccm kwa upendeleo mkubwa,imefika wakati sasa wabadilike na kuwatangaza wagombea wote kwa usawa bila upendeleo ili kuepuka aibu watakayoipata wakati ukawa watakaposhika dola .
 
Dah..hawa jamaa hawana chembe ya aibu. Nimetizama leo wameionesha habari ya Lowassa kama habari ya tano au sita huko..halafu wapiga picha wakahakikisha wanamuonesha tu kwa size ya passport size wakati akichukua fomu na wakati akizungumza biafra na kuhakikisha kabisa wale watu waliomsindikiza hawaonekani hata kidogo...
 
wataanza kumsafisha au kumtangaza siku wakisikia ameshinda uchaguzi kwa kura asilimia 70% wataanza kuhangaika kumtangaza ili kulinda vyeo vyao. hapo tbc napo ni pa kuja kupafanyia reshaffle na uchunguzi, pana harufu ya rushwa sana hapo na matumizi mabaya ya madaraka. subiru tuchukue nchi, watajibeba.
 
Walionesha mwishoni kwenye habari za kitaifa: hawakuipa kipaumbele kabisa. Hata ile nyomi ya watu walificha kabisa, watu tumemwona EL na Haji Duni tu. Upendeleo wazi kabisa.
 
Ni ya taifa ila kwa sasa haijawa huru. Wanahabari wanahofia vibarua vyao na maisha yao
 
Hiyo chanel mi nshaidelete kwenye king'amuzi changu!
 
Leo mda huu niko naangalia TBC1 eti wanaonyesha habari za magufuri wakati kuna habari moto ya mafuriko ya Lowasa, ama hawa ni ma CCM? Mim nlijua ni TV ya taifa

Aisee Mimi ni ni timu Magufuri lakin hata mim wamenikwaza hapo TBC hawapo fair kbs
 
kweri kaka wananchi siwaerewa wao wanatupiwamabom kwajiri ya chama rakini viongozi wanachukuria utani wananchi wagine hatujierewi tutabaki kilasiku tunaria maishamagumu iyo nishidamojawapo tanzania:screwy:
 
Kama tv ya taifa haiwezi kuongelea matokeo ya kutikisa nchi yaliyodumu masaa zaidi ya 6 unategemea upate waapi habari za uhakika? Ovyo sana haqa jamaa
 
Back
Top Bottom