Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

Hao watu wa TBC, mkurugenzi wao ameteuliwa na Rais, wategemea freedom of press apo kweli? Ndo maana kabita ya Warioba ikasema wapungu nafasi za kuteuliwa, mtu yote anaye teuliwa kwa kiasi kikubwa analinda maslahi ya mteuzi wake. Hukuona Tido Mhando alivyo timuliwa baada ya uchaguzi mwaka 2010, alipo azisha kipindi cha mchakato majimbo
 
Nimefuatilia udondoz wa magazeti leo tbc nimeshangaa mtangaz kwenye habari ya lowasa haisomi anasoma tuu ya ccm hivi TBC n media ya ccm au ya taifa jaman watangazaji wanalipwa kwa kutumia kodi zetu kwa nn wajali maslah ya ccm

Hata kuiangalia naamini inabidi kuwa na roho ngumu
 
Mimi nilishangaa wiki moja nyuma nilitwa na mzee mmoja kwake akaniomba nimtolee Chanel ya TBC kwenye kin'gamuzi chake cha azam kwa kweli nilishangaa sana kama watanzania wamefika hapo kazi IPO kwa kweli maana Mimi nilishindwa kuifuta TBC kwenye azam na sijajua unaifutaje.
 
Nimefuatilia udondoz wa magazeti leo tbc nimeshangaa mtangaz kwenye habari ya lowasa haisomi anasoma tuu ya ccm hivi TBC n media ya ccm au ya taifa jaman watangazaji wanalipwa kwa kutumia kodi zetu kwa nn wajali maslah ya ccm

Hivi wewe bado una angalia TBC polw sana
 
mi nimeiblok toka mwaka jana hata nikienda kwa jirani nikamkuta anaangalia naaga hapohapo na kuondola
 
Na hata redio TBC taifa, vipindi vimekuwa vya kurudiwa kila siku, yaani inakera sana. Vitendea kazi wanavyo vya kutosha, lakini habari ni hizo kila siku, BADILIKENI.
 
Nakumbuka Mlimani udsm wakati wa mgomo walipokuja waandishi ws tbc wakazomewa na kuondoshwa revo square kabla ya busara ya biongozi waongoza mgomo kuwarudisha na kuwaomba watu wawaache.
 
Jamani #juzi , #jana nimeangalia itv na azam tv lakini sikuona habali ya ukawa mbeya na arusha jana, halafu #AZAMTV walifufua kituo cha uchaguzi kuwa watafuatilia kila habali za uchaguzi bila kufuata idikad yyte ya chama, mbona saiv kimya, ni baada ya #ITV kuambiwa iombe ladhi lasivyo hatua kali zitachukuliwa, nani atujuze huhusu hili?
 
Back
Top Bottom