Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

Naomba nisema ukweli kipindi Tido kaja kufanya restructuring ya TBC nilikua msikilizaji namba moja lakini cha kusikitisha Tido kakomaa kulifufua shirika Serikali haikumuongeza mkataba maksudi.

Matokeo yake shirika limekosa mvuto linaongozwa na chama tawala kinavotaka chenyewe habari zitolewazo ni unbalance wanaegemea upande mmja wakijua kua watazamaji wengi ni wa mijini ambao wanajua siasa, hivyo imepelekea kuichukia hii runinga.

Nitoe rai yangu TBC nyinyi ni kituo cha Taifa toeni tarifa balanced muone kama kuna watu watawachukia vinginevyo mtapiga maktme mpaka mwisho.
CC makada wa Lumumba TCRA
 
Waache na litv lao nasi tutalisusia na kuliondoa kwenye matangazo kuanzia novemba
 
["kituo hiki ambacho ni TBC kina elemea upande mmoja wa taarifa hususan chama cha mapinduzi yaani CCM".[/COLOR]

LABDA KITUO HAKINA WAANDISHI NA WAPIGA PICHA WA KUTOSHA KUHUDHURIA KWENYE MIKUTANO MIKUBWA YA EL NA UKAWA WALIONAO NI WA KUMNYAKA NAPE NA KIKWETE TU, NA NDIYO WENYE UMUHIMU KWAO NA WALA SI WANANCHI!!
 
Naomba nisema ukweli kipindi Tido kaja kufanya restructuring ya TBC nilikua msikilizaji namba moja lakini cha kusikitisha Tido kakomaa kulifufua shirika Serikali haikumuongeza mkataba maksudi.

Matokeo yake shirika limekosa mvuto linaongozwa na chama tawala kinavotaka chenyewe habari zitolewazo ni unbalance wanaegemea upande mmja wakijua kua watazamaji wengi ni wa mijini ambao wanajua siasa, hivyo imepelekea kuichukia hii runinga.

Nitoe rai yangu TBC nyinyi ni kituo cha Taifa toeni tarifa balanced muone kama kuna watu watawachukia vinginevyo mtapiga maktme mpaka mwisho.

Halafu eti inatungwa sheria kila chombo kijiunge na TBC kwa habari usiku. Katika mazingira hayo yaliyofanywa na chombo cha Umma unafikiri nani ataipenda tena. Na kumbuka siku hizi mitandao ya kijamii ilivyo na uharaka, ile video clip imezunguka mno na kila mtu kaona madudu yale. Kilichonishangaza ni kwa nini asisome kilichoandikwa magazetini? Maana habari ile haihatarishi usalama wa nchi, haileti kufarakana katika jamii. Maana ni ukweli usiopingika, kwa habari za kichochezi, zenye kuleta mfarakano, siyo TBC tu, hata za watu binafsi ambao ni majini hawawez kuzirusha, hiyo ni kwa National Interest, lakini kwa habari ile sikuona mantiki yoyote kuruka kusoma habari ambazo zimekolezwa na kila mtu anaona kilichoandikwa. Avoid biasness, to be rubber stamp, adhere to professionalism!
 
Naomba nisema ukweli kipindi Tido kaja kufanya restructuring ya TBC nilikua msikilizaji namba moja lakini cha kusikitisha Tido kakomaa kulifufua shirika Serikali haikumuongeza mkataba maksudi.

Matokeo yake shirika limekosa mvuto linaongozwa na chama tawala kinavotaka chenyewe habari zitolewazo ni unbalance wanaegemea upande mmja wakijua kua watazamaji wengi ni wa mijini ambao wanajua siasa, hivyo imepelekea kuichukia hii runinga.

Nitoe rai yangu TBC nyinyi ni kituo cha Taifa toeni tarifa balanced muone kama kuna watu watawachukia vinginevyo mtapiga maktme mpaka mwisho.

Halafu eti inatungwa sheria kila chombo kijiunge na TBC kwa habari usiku. Katika mazingira hayo yaliyofanywa na chombo cha Umma unafikiri nani ataipenda tena. Na kumbuka siku hizi mitandao ya kijamii ilivyo na uharaka, ile video clip imezunguka mno na kila mtu kaona madudu yale. Kilichonishangaza ni kwa nini asisome kilichoandikwa magazetini? Maana habari ile haihatarishi usalama wa nchi, haileti kufarakana katika jamii. Maana ni ukweli usiopingika, kwa habari za kichochezi, zenye kuleta mfarakano, siyo TBC tu, hata za watu binafsi ambao ni majini hawawez kuzirusha, hiyo ni kwa National Interest, lakini kwa habari ile sikuona mantiki yoyote kuruka kusoma habari ambazo zimekolezwa na kila mtu anaona kilichoandikwa. Avoid biasness, to be rubber stamp, adhere to professionalism! This will make you free!
 
Naomba nisema ukweli kipindi Tido kaja kufanya restructuring ya TBC nilikua msikilizaji namba moja lakini cha kusikitisha Tido kakomaa kulifufua shirika Serikali haikumuongeza mkataba maksudi.

Matokeo yake shirika limekosa mvuto linaongozwa na chama tawala kinavotaka chenyewe habari zitolewazo ni unbalance wanaegemea upande mmja wakijua kua watazamaji wengi ni wa mijini ambao wanajua siasa, hivyo imepelekea kuichukia hii runinga.

Nitoe rai yangu TBC nyinyi ni kituo cha Taifa toeni tarifa balanced muone kama kuna watu watawachukia vinginevyo mtapiga maktme mpaka mwisho.

Halafu eti inatungwa sheria kila chombo kijiunge na TBC kwa habari usiku. Katika mazingira hayo yaliyofanywa na chombo cha Umma unafikiri nani ataipenda tena. Na kumbuka siku hizi mitandao ya kijamii ilivyo na uharaka, ile video clip imezunguka mno na kila mtu kaona madudu yale. Kilichonishangaza ni kwa nini asisome kilichoandikwa magazetini? Maana habari ile haihatarishi usalama wa nchi, haileti kufarakana katika jamii. Maana ni ukweli usiopingika, kwa habari za kichochezi, zenye kuleta mfarakano, siyo TBC tu, hata za watu binafsi ambao ni makini hawawez kuzirusha, hiyo ni kwa National Interest, lakini kwa habari ile sikuona mantiki yoyote kuruka kusoma habari ambazo zimekolezwa na kila mtu anaona kilichoandikwa. Avoid biasness, to be rubber stamp, adhere to professionalism! This will make you free!
 
habari ya mwanzo kubwa ya chadema eti wanaruka wanasoma ya chini yake aibu tupu
 
Ndugu Zangu,

Binafsi sipendi ushabiki wa kisiasa, Naweza kujiita mwanaharakati laini sio aina ya Mpole pole.
Nimebahatika kuona Video Moja ya Uchambuzi wa magazeti katika televisheni ya TAIFA- TBC.

Hii ilikua siku moja Baada ya Edward Lowasa Kwenda Mbeya ambako wafuasi wengi walienda kumsikiliza.
Habari ile ilipambwa na magazeti mengi ya siku iliyofuata.

Cha ajabu ni TBC wakati wakichambua magazeti hawakutaka kabisa kusoma ile habari!
Ni kwanini television ya Taifa iegemee upande wa chama kimoja?

kama TBC ipo kwaajili ya Chama mbona isiendeshwe na mfuko wa chama?
kwanini kituo hiki kiendeshwe na kodi zetu?

Hivi sasa ni watu wachache sana wanatizama Taarifa ya habari ya TBC. wahusika wanalijua hilo?
 
Agalieni uhuni wa TBC

[video=youtube_share;6YKRs2dTgZw]http://youtu.be/6YKRs2dTgZw[/video]
 
Nadhani ni bora wangeonesha kwa uhalisia zaidi ili watu wasihangaike sanaaa kuzitafuta.
Kuna namna naamini kuwa kwa wao kufanya hivyo, tutazipata pengine tena zikiwa zimechakachuliwa kwa kukandamiza ccm hiyo hiyo, nina maanisha kuwa, maneno yatakolezwa kutokana na mihemko ya kiitikadi ya kivyama kutokana na mhusika ameelemea upande gani.

Namshauri huyu mpare mtani wangu, afanye kazi kulingana na taaluma yake na sio kulingana na waliompa madaraka.
Madaraka yameshamlewesha kiasi hakumbuki taaluma yake.

Chukua ushauri wa bure kwa aliyekuajiri baada ya kumfukuza Mzee Tido Mhando. "Akili za kuambiwa changanya na zako"

Mhando alinisababisha kuipenda TVT kwa muda mfupi baada ya yeye kuingia hadi akaibadilisha kuwa TBC ya sasa.
Alichokifanya ni kuruhusu uhuru wa chombo cha uma, kurusha habari za kisiasa majimboni kwa kuwaalika wagombea na kuwahoji jambo lililtusaidia sana wanachi kuwafahamu vizuri viongozi wetu kwa uelewa wao.

Ikumbukwe kati ya waliohojiwa kipindi kile hakuna hata mmoja wa ccm aliyechaguliwa. Makamba by then ndiye alikuwa Katibu Mkuu na Mkuu wa Mkoa wa Dar. akakataza mgombea yeyote wa chama chao kuhojiwa.

kilichofuata ni nini, Tido kufukuzwa kazi.

Huu ni uonevu usiovumilika, kwa kiongozi mkubwa kama huyu ambaye anaongoza Taifa la watu wenye itikadi ya vyama vingi.
 
Wewe wala hujielewi

serikali iliyopo madarakani siyo chama.serikali ni ya watanzania wote

tatizo la waafrika hasa watanzania kama wewe wanadhani kuwa serikali inatakiwa ifanye matakwa ya chama hapana bali matakwa ya wananchi
 
TBCCM imefulia ukawa tukikamata nchi director arudi kijijini akalime mana ameona ccm Miungu wake
 
Nadhani wafanyakazi wa TCRA wanatakiwa kufukuzwa kazi kutokana na double standards wanazozionesha.
 
Back
Top Bottom