Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

mbona Lowasa ameinunua itv watu hawapigi kelele kama zako, kila kukicha ni kumpamba na kutoa taarifa hasi za chama tawala
ITV ni TV binafsi lakini TBC ni yetu wote ni lazima itende haki!
 


wapendwa,

hii inasikitisha kwa kweli. hata kama ni sera zao, naona kama wamefikia kudanganya umma. mfano waliposoma gazeti la majira na nipashe! hivi hakuna uwezekano wa kulalamikiwa kwenye baraza la habari kwa kudanganya umma?

mbarikiwe sana wapendwa,

Glory to God!
 
Last edited by a moderator:
Don't watch them wabaki na ujinga wao
Watch serious medias na pia simu yako ni TV tosha!
 
Nimefuatilia udondoz wa magazeti leo tbc nimeshangaa mtangaz kwenye habari ya lowasa haisomi anasoma tuu ya ccm hivi TBC n media ya ccm au ya taifa jaman watangazaji wanalipwa kwa kutumia kodi zetu kwa nn wajali maslah ya ccm
 
Hata me nimeona hii ni aibu kubwa sana kwa chombo cha taifa to hell tbccm
 
Don't watch them wabaki na ujinga wao
Watch serious medias na pia simu yako ni TV tosha!
Wengine tunaona hiyo kwenye clips hatuiangalii. Ila hapa wametia aibu sana. Pesa zetu za kodi wanazitumia kutunyima habari? Tukiwapiga mawe huko mitaani watatulaumu? Au tukichoma moto ofisi zao watatulaumu?
 
Sasa ww ulitegemea warushe habari za ukawa au chadema tambua kuwa TBC ni kituo kinachomilikiwa na serikali iliyopo madarakani na serikali iliyopo madarakan ni ya ukawa au ya chadema nauliza kwako mleta uzi? Lazima iwe ya chama kilichopo madarakani kwhyo usiumie subiri kama na ww utapata mamlaka ya chama chako kuwepo mjengoni pale mtayatekeleza yakwenu kwa xx achen tu ccm ifanye inavyotaka hupend usifungulie tbc

Wewe umepotoka, usijaribu kupotosha ukweli hapa, TBC inaendeshwa kwa kodi za wananchi wote, wenye vyama na wasio na vyama, wanachama wa CCM na wasio wa CCM, hivyo CCM kama chama tawal hakina uhalali wa kutumia televisheni ya Taifa kwa maslahi yake kwa kuwa inamilikiwa na watanzania wote. Wafanye hivyo kwa vyombo wanavyovimiliki kama gazeti la Uhuru.
 
Baada ya october mkurugenzi wa tbc aondoke aache funguo kwa mlinzi,maana kutakua na overhaul ya hali ya juu
 
Wanawazimu kweli afu ndio walitaka tuwe tunaitazama kwa lazma....p.u.m.b.a.v.u. wabakinayo tu. Huo mda sibora nikaenda kupanga folen ya kubet
 
Wajinga mnaotazama na kusikiliza tbc....

Kutazama na kusikiliza tbc ni sawa na kuvaaa jez ya ccm
 
Nimefuatilia udondoz wa magazeti leo tbc nimeshangaa mtangaz kwenye habari ya lowasa haisomi anasoma tuu ya ccm hivi TBC n media ya ccm au ya taifa jaman watangazaji wanalipwa kwa kutumia kodi zetu kwa nn wajali maslah ya ccm

Kwani wewe haujui kwamba hiyo TV siku hizi imekuwa kitengo cha propaganda cha magamba? TBC STAFFS SIKU ZAO ZINAHESABIKA.
 
Mimi toka Tido Muhando kuondolewa halo TBC sikuwahi tena kuiangalia Chanel hiyo na sijui niiblock!?
 
Back
Top Bottom