Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

Nadhani wafanyakazi wa TCRA wanatakiwa kufukuzwa kazi kutokana na double standards wanazozionesha.
Wafukuzwe kazi na nani? Hawa TCRA ni makada wazuri wa ccm. Kama ccm wakishinda watapandishwa vyeo kwa fadhila. Na Kama CCM ikishindwa basi hawa Makada wa TCRA wasahau kazi zao
 
Jamani inawezekana mtangazaji anafuata maelekezo ya boss wake.Kwa upande wangu nilishaacha kutizama tv hii tangu alipoondoka Tido.
 
Wanafuata maagizo toka JUU mkuu
379

hiyo station imeshafanywa kama ni ya ccm vile! yaani wananikera sana mimi ukizingatia kodi yangu inakatwa kwa ajili yao!! sitaki hata kuisikia hiyo station.. wako biased sanaa..taarifa zao za kizushi zushi sana...ccm kwa wingiii wakati hiyo ilitakiwa i deal na national interests....mwisho wao oct 2015
 
ni haibu haibu kwa chombo cha uma. kuegemea upande wa chama cha mapinduzi kwenye utoaji wa taarifa za habari, ni wazi kabisa chombo hiki sasa kimetekwa kabisa na ccm. na mkurugenzi wake bw mshana amekubali kukabidhi chombo hiki kwa chama.

ni vyema uongozi wa TBC ukajua kwamba watakuja kuwajibika hapo baadae kwa ichi kitu wanachokifanya sasa. kwa kuegemea upande wa chama kimoja. chombo kimepoteza mvuto kimepoteza weledi.

kimepoteza sifa ya kuitwa. chombo cha uma?
bw mshana. jipime kama bado unastahili kuwa mkurugenzi wa TBC hufai kabisa umeharibu kabisa taswira ya chombo hiki.

toeni habari kwa usawa bila kuegemea upande mmoja,maana hiki chombo siyo cha ccm wala bw mshana. hiki chombo ni chetu wananchi. ni mali yetu. tuna haki ya kufurahia mali yetu.

wana ccm wana haki na wana UKAWA vile vile wana haki ya kupata habari bila kupendelea na kuegemea upande mmoja. wacheni tabia hii. maana mnavunja sifa ya kuitwa chombo cha uma.
 
ni haibu haibu kwa chombo cha uma. kuegemea upande wa chama cha mapinduzi kwenye utoaji wa taarifa za habari, ni wazi kabisa chombo hiki sasa kimetekwa kabisa na ccm. na mkurugenzi wake bw mshana amekubali kukabidhi chombo hiki kwa chama.

ni vyema uongozi wa TBC ukajua kwamba watakuja kuwajibika hapo baadae kwa ichi kitu wanachokifanya sasa. kwa kuegemea upande wa chama kimoja. chombo kimepoteza mvuto kimepoteza weledi.

kimepoteza sifa ya kuitwa. chombo cha uma?
bw mshana. jipime kama bado unastahili kuwa mkurugenzi wa TBC hufai kabisa umeharibu kabisa taswira ya chombo hiki.

toeni habari kwa usawa bila kuegemea upande mmoja,maana hiki chombo siyo cha ccm wala bw mshana. hiki chombo ni chetu wananchi. ni mali yetu. tuna haki ya kufurahia mali yetu.

wana ccm wana haki na wana UKAWA vile vile wana haki ya kupata habari bila kupendelea na kuegemea upande mmoja. wacheni tabia hii. maana mnavunja sifa ya kuitwa chombo cha uma.

Tbc ni zaidi ya vituko maana hawajui kuwa wanalipwa kodi za watanzania
 
KWANI KUNA WATU HADI SASA BADO HUTAzama Tbc? MI TANGU AONDOKE TIDO MHANDO HADI LEO SIJAWAHI KUITAZAMA NA SIJUI KAMA BADO IPO HEWANI. Hv Mkifungua Tbc Huwa Mnaangalia Nini?
 
Wana jukwaa,
Pamoja na ugumu wa TBC kusikika maeneo mengi ya nchi yaonyesha wazi ilivyo biased katika kutuhabarisha ipasavyo kuhusu mwenendo wa kampeni za uchaguzi mkuu 2015.

Hivi ni wagombea wa CCM TU NDIYO WANAOFANYA KAMPENI WENYEWE NA KUSEMA?

Tuitake TBC itutendee haki Habari ni haki na hasa kwa sisi tunayoilipia kuwepo.
 
Na redio free leo niliifungulia bahati mbaya nasikia wanapiga ji songi la CCM mbele kwa mbele mbaya sanaaaaa
 
Nawashangaa watanzania,mwaka 2010 Tido Mhando alifukuzwa kiaina baada ya kujifanya yeye anajua DOMOKASIA.Kitumbua kikaingia mchanga ,halafu ukizingatia Mzee ni wa VISASI na CHUKI akapigwa chini kilaini.....
 
wana jukwaa,
pamoja na ugumu wa tbc kusikika maeneo mengi ya nchi yaonyeeha wazi ilivyo biased katika kutuhabarisha ipasavyo kuhusu mwenendo wa kampeni za uchaguzi mkuu 2015.

Hivi ni wagombea wa ccm tu ndiyo wanaofanya kampeni wenyewe na kusema?

Tuitake tbc itutendee haki habari ni haki na hasa kwa sisi tunayoilipia kuwepo.

usiumize kichwa ww ifute hiyo channel ya tbc isionekane kabisa kwenye orodha ya channels unazoweza kuziona,mambo yatakuwa sawa..
 
ni haibu haibu kwa chombo cha uma. kuegemea upande wa chama cha mapinduzi kwenye utoaji wa taarifa za habari, ni wazi kabisa chombo hiki sasa kimetekwa kabisa na ccm. na mkurugenzi wake bw mshana amekubali kukabidhi chombo hiki kwa chama.

ni vyema uongozi wa TBC ukajua kwamba watakuja kuwajibika hapo baadae kwa ichi kitu wanachokifanya sasa. kwa kuegemea upande wa chama kimoja. chombo kimepoteza mvuto kimepoteza weledi.

kimepoteza sifa ya kuitwa. chombo cha uma?
bw mshana. jipime kama bado unastahili kuwa mkurugenzi wa TBC hufai kabisa umeharibu kabisa taswira ya chombo hiki.

toeni habari kwa usawa bila kuegemea upande mmoja,maana hiki chombo siyo cha ccm wala bw mshana. hiki chombo ni chetu wananchi. ni mali yetu. tuna haki ya kufurahia mali yetu.

wana ccm wana haki na wana UKAWA vile vile wana haki ya kupata habari bila kupendelea na kuegemea upande mmoja. wacheni tabia hii. maana mnavunja sifa ya kuitwa chombo cha uma.
Huyu Mshana wa TBC si ndio yule alikuwa Maelezo .ni kada wa ccm.kuna wakati alitakaga kugombea ubunge via ccm..anajua anacho Fanya nakwamba ccm ikishindwa nae kazi hana..tena waovyio alipokuwa Maelezo alikuwa kila siku anatoa maonyo kwa haswa waliokuwa awapendelei serkl ya ccm
 
Usijali sana Mkuu maana baada ya October kitatumika kuwapa Watanzania ukweli wa mabaya yote ya CCM toka Uhuru hadi leo hii ... Major reform itafanyika pale ,.....
Wana jukwaa,
Pamoja na ugumu wa TBC kusikika maeneo mengi ya nchi yaonyeeha wazi ilivyo biased katika kutuhabarisha ipasavyo kuhusu mwenendo wa kampeni za uchaguzi mkuu 2015.

Hivi ni wagombea wa CCM TU NDIYO WANAOFANYA KAMPENI WENYEWE NA KUSEMA?

Tuitake TBC itutendee haki Habari ni haki na hasa kwa sisi tunayoilipia kuwepo.
 
Back
Top Bottom