MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 8,159
- 6,574
kwa kutumia masaburiYaani TBC hawana aibu kabisa. Hivi wanawaza kwa kutumia nini?
kwa kutumia masaburiYaani TBC hawana aibu kabisa. Hivi wanawaza kwa kutumia nini?
Sasa ww ulitegemea warushe habari za ukawa au chadema tambua kuwa TBC ni kituo kinachomilikiwa na serikali iliyopo madarakani na serikali iliyopo madarakan ni ya ukawa au ya chadema nauliza kwako mleta uzi? Lazima iwe ya chama kilichopo madarakani kwhyo usiumie subiri kama na ww utapata mamlaka ya chama chako kuwepo mjengoni pale mtayatekeleza yakwenu kwa xx achen tu ccm ifanye inavyotaka hupend usifungulie tbc
Video yenyewe ndo hii hapa.
mbona Lowasa ameinunua itv watu hawapigi kelele kama zako, kila kukicha ni kumpamba na kutoa taarifa hasi za chama tawala
mbona Lowasa ameinunua itv watu hawapigi kelele kama zako, kila kukicha ni kumpamba na kutoa taarifa hasi za chama tawala