Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

Hili jamaa ni takataka kabisa! Kati ya madhehbu yanayizingatia muda ni Katoliki. Yaani ukalishe watu saa 4 unahubiri nini? Misa za Katoliki hazizidi saa 1.30 mfano Parokiani kwetu huwa tunaanza saa 12:00 alfajiri, saa 1:15 lazima awe amemaliza, maana saa 1:30 Misa ya Pili inaaanza.
Wewe ndio takataka. Kwanza KANISA KATOLIKI SIO dhehebu. Bwege ata hujui historia ya ukristo. Madhehebu ni hao waliojitoa. Muda wa mahubiri ni baada ya injili tu. Huko kwingine ni kushindwa kumanage muda.
 
Mahubiri marefu >15 minutes
Michango zaidi ya miwili ndani ya ibada moja
Ibada ndefu zaidi ya saa moja na nusu
Yakishazidi dakika 15 hakuna mtu anaweza kuwa na focus. Hiyo ata sayansi imesema. Ndio maana watu wanaondoka na kurudi wapo vilevile hakuna mabadiliko.
 
Siku yenyewe moja tu jumapili na ibada ya misa haizidi masaa mawili lakini mleta uzi analalamika. Uwe unasali Ibada katikati ya wiki ambayo haizidi hata lisaa limoja na haina mahubiri ili jumapili ulale nyumbani kwako usipate shida.

Kwanza kusali katoliki ni hiyari kama imekushinda hama kasali dhehebu lingine. Hivi ungekuwa unasali Lutheran si ndio ungekuwa unaenda kanisani kila baada ya miaka mitatu. Wenzako wanaingia pale Lutheran Korogwe kwa Mastahi saa 12 asubuhi wanatoka saa sita mchana na hawaoni shida kumtumkia Mungu na kila jumapili wapo kama kawaida kupokea upako.
Katoliki SIO dhehebu. Hao waliojitoa ndio madhehebu, Muwe mnasoma historia ya kanisa. Alafu hao hawana Misa Takatifu. It's different. Huko ni kama wapo tamasha.
 
M
Siku hizi wazungu wamepunguza sana misa

Tatizo liko wapi mkuu
Muumba si ni yuleyule mmoja.
Mungu wa ukristo yupo katika fumbo la utatu mtakatifu, hivyo Yesu ni Mungu. Shauri lako. Mungu wa uislam ni mwingine kabisa.
 
Kutakiana amani ni vile tunafunzwa kuwa wamoja na wenye moyo wa upendo kwa jirani zetu.

Sasa wew hutak? TUTAKUFATILIA.

Inaonekana wew unaendaga kanisan kutimiza wajibu tu nasio kujifunza
Nakwenda kwa ajili ya Yesu. Focus na summit ya misa ni Yesu katika fumbo la mkate. Eukaristia. Na sio extracurricular za mapadri wakiswahili.
 
Huyu ana matatizo sio Mrumi huyu. Hata ukimwambia asali kanunu ya imani hajui
Alafu ulivo huna akili unajiita mrumi, mkiambiwa KANISA lenu ni himaya ya kipagani limeanzishwa na Constantine mnashangaa, mimi sio mrumi Wala Roman, mimi ni mkatoliki tena hasa. Hakuna KANISA linaitwa Roman Catholic, ni uvivu wa watu tu kujua, ingia ata website ya Vatican hutokuta official document Ina Hilo neno, sisi KATOLIKI tu. Tupo makanisa 27.
 
Kutakiana amani ni vile tunafunzwa kuwa wamoja na wenye moyo wa upendo kwa jirani zetu.

Sasa wew hutak? TUTAKUFATILIA.

Inaonekana wew unaendaga kanisan kutimiza wajibu tu nasio kujifunza
Msalimiane misa ikiisha. Hayo ni mambo ya kiswahili. Nishasali makanisa mbalimbali nje na ndani ya Tanzania. Hizi nonsense hakuna.
 
Umelazimishwa kwenda huko? Wazungu walioleta hiyo dini wameshafunga makanisa we nyani unahangaikia na kuendelea kudanganywa
We matako wazungu nao waliletewa dini ng'ombe wewe. Siku ya pentekoste hukusoma kulikuwa na kabila mpaka mhabeshi? Ilifika Africa kabla ata ya huko nyani usie na akili.
 
M

Mungu wa ukristo yupo katika fumbo la utatu mtakatifu, hivyo Yesu ni Mungu. Shauri lako. Mungu wa uislam ni mwingine kabisa.
hizo ni tafsiri za wanadamu katika safari yao ya kumtafuta aliyetuumba, sio lazima ziwe za kweli.
 
Why not mrembo
Huku ni humu tu
B4C5C50F-EA38-4B37-BDC4-72077C25B007.jpeg
 
Back
Top Bottom