KERO: Huduma mbovu kwa wateja

Alisemaje BHT??

hakunirushia maneno moja kwa moja ila alianza kukejeli yule jamaa alomwambia anirudishie pesa zangu, she was like 'aahmi sijui kurefund bana, hebu subiri na wewe kama vipi njoo utoe mwenyewe ( u can imagine the way she was uttering the words, a typical uswahilini lady with no proffessional ethics hata senti moja......

nilisimama kwa zaidi ya dk 10 na anaendelea kuhudumua wateja wengine, so asked for the manager and he came (ofcoz aliomba msamaha, what else could he do)

ilikuwa ngumu kwa mimi kutoka kapa bila angalau kumpa lako hapo japo kwa kifupi.....
 
Charity hizo semina na trainings zinafanyika sana lakini i tell you what, watu wanaenda kupata per-diem na si kujifunza. concentration na seriousness haipo. kwa sababu wanajua we have no where else to run to hata ukihama matataizo ni yaleyale. nafikiria kuanzisha benki yangu mwenyewe.

HEHEEE !! weka kwenye kibobo home tu, shida yote ya nini???

aisee kumbe ndo maana kule arusha lile soko la kilombero kuna viboksi vinauzwa watu wanaekea vijisenti vyao home!!!! kumbe hii adha ndo inawapelekea kuanzisha 'benki hm'
 
HEHEEE !! weka kwenye kibobo home tu, shida yote ya nini???

aisee kumbe ndo maana kule arusha lile soko la kilombero kuna viboksi vinauzwa watu wanaekea vijisenti vyao home!!!! kumbe hii adha ndo inawapelekea kuanzisha 'benki hm'

Yani Bht unaeza tukana mtu pasipo kukusudia. Ngoja nikanunue changu nijiwekee pesa home isiwe tabu
 
Charity hizo semina na trainings zinafanyika sana lakini i tell you what, watu wanaenda kupata per-diem na si kujifunza. concentration na seriousness haipo. kwa sababu wanajua we have no where else to run to hata ukihama matataizo ni yaleyale. nafikiria kuanzisha benki yangu mwenyewe.


.. na pia mapochopocho yanayokuwepo. sio ajabu ukawaona washiriki wakisinzia wakati wa training lakini wanakuwa full attention wakati wa msosi. sad.
 
Mie nilikwenda UDSM branch pale CRDB. Kuna dada mmoja alikuwa anact kama Branch manager nikawa ninafanya transfer ya funds. Infact yule dada aliniibia. Maana alinipa rate zisizo nikamuonyesha kuwa natambua ananiibia. Akadai leo jumamosi hatuna watu wa back to back kufacilitate hiyo transaction ndiyo maana ninakuuzia kwa rate hii (yaani ya cash based instead of non-cash). Kwakuwa nilikuwa ninawahi safari nikamuachia lakini nitarudi ninahakika atajaribu tena kuiba na nitamkamata. Yaani benki wanawaza hata kuibia wateja. Unajua wanaamini watu wengine hawafaham kabisa juu ya haki zao kama wateja au hawana ufaham na huduma wanazoenda kuzifuata.


Jana mimi nilijaza ile fomu ya kuchukua pesa.......nikaandika amount nikampa teller aknihesabia pesa zangu kama kawaida kwenue mashine and guess what......aliponipa sikuondoka nilihesabu tena pale pale nikakuta elfu 90 zina miss!!! nilipomrudishia akajifanya anshangaa an kuniuliza eti 'kwani uliandika sh, ngapi? Na mi nikamuuliza unataka nimfanyie nani matangazo kuwa na-draw kiasi gani cha pesa wakati karatasi yangu unayo?'

kiukweli jana EXIM walinichefua mwanzo mwisho, but anyway they had never pleased me even once!!!!
 
Pole, lakini ungeenda NMB nadhani ungerusha ngumi!!! huduma kwa wateja ni kabisa!!!
Hii ndio bongo ndugu, kama unataka kupambana na usumbufu nenda EMS posta pale, kaulize hata kitu tu utaona jinsi wa mama wa pale wavyo jishebedua sijui wanadhani tunaenda kutafuta wachumba pale!? yaani!!
 
.. na pia mapochopocho yanayokuwepo. sio ajabu ukawaona washiriki wakisinzia wakati wa training lakini wanakuwa full attention wakati wa msosi. sad.

tupo makini sana kwenye mambo kama hayo.....hapo watu wanasubiri vijisambusa waweke kweny epochi na kwenda nazo hm.....what a shame!!!
 
most of banks wana huduma mbovu

labda azania mimi sikupata taabu ingawa hawana good feedback kwa wateja hadi uulize; BOA, STanbik nao si wabaya sana

kasheshe ni CRDB na NMB,
michael jackson niaje?
naona kimyaaaaaaaa
chemba pamefungwa?
 
Siku moja nilikwenda kwenye tawi moja la Barclays lililopo Mbeya mjini, lengo langu lilikuwa ni kuulizia huduma zao za mikopo. Nilichokiona pale sijakisahau mpaka leo. Nilikuta dada mmoja, nadhani ndio bibi mikopo akiwa pamoja na mateller waliotoka kule kwenye vibox vyao, wanachangua hereni kwa mmachinga na kuzijaribisha hapo hapo mbele yangu. Kwanza ilibidi nijikaribishe kiti manake hawakubother hata kunikaribisha, lakini worse enough manager wao alikuwa anawaangalia asiseme hata neno, si unajua ofisi zetu za kisasa ni za vioo. I was just about to leave. Ingekuwa amri yangu ningewazaba vibao. Angalau kidogo Stanbic!
 
Jana mimi nilijaza ile fomu ya kuchukua pesa.......nikaandika amount nikampa teller aknihesabia pesa zangu kama kawaida kwenue mashine and guess what......aliponipa sikuondoka nilihesabu tena pale pale nikakuta elfu 90 zina miss!!! nilipomrudishia akajifanya anshangaa an kuniuliza eti 'kwani uliandika sh, ngapi? Na mi nikamuuliza unataka nimfanyie nani matangazo kuwa na-draw kiasi gani cha pesa wakati karatasi yangu unayo?'

kiukweli jana EXIM walinichefua mwanzo mwisho, but anyway they had never pleased me even once!!!!

hee umenifungua macho...ndio mana nilifunga acc zote nikabaki na CRDB, wiki mbili zilizopita imenichafua roho, nimetoka huku cna tz shs hata cent, nafika arusha napitia atm, nakuta zote hazifanyi kazi, nimezunguka hapo mjini hollllaa, nilichukia sana kwa kupoteza muda wangu bure....
 
hee umenifungua macho...ndio mana nilifunga acc zote nikabaki na CRDB, wiki mbili zilizopita imenichafua roho, nimetoka huku cna tz shs hata cent, nafika arusha napitia atm, nakuta zote hazifanyi kazi, nimezunguka hapo mjini hollllaa, nilichukia sana kwa kupoteza muda wangu bure....

sasa hebu niambie embarrassment kama hizo super dearest!!! si unaweza kui-curse hiyo bank mpaka ukamkosea Muumba wako???

pesa zangu, nipate kwa kushida hata kutumi atena zinipe shida???
Aki unaweza ua mtu kwa matusi!!!

hahaaaa umenikumbusha there was a time pale NBC arusha niliitiwa polisi toka kituo cha kati, haya haya mambo ya customer care..........jamani agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!
 
Siku moja nilikwenda kwenye tawi moja la Barclays lililopo Mbeya mjini, lengo langu lilikuwa ni kuulizia huduma zao za mikopo. Nilichokiona pale sijakisahau mpaka leo. Nilikuta dada mmoja, nadhani ndio bibi mikopo akiwa pamoja na mateller waliotoka kule kwenye vibox vyao, wanachangua hereni kwa mmachinga na kuzijaribisha hapo hapo mbele yangu. Kwanza ilibidi nijikaribishe kiti manake hawakubother hata kunikaribisha, lakini worse enough manager wao alikuwa anawaangalia asiseme hata neno, si unajua ofisi zetu za kisasa ni za vioo. I was just about to leave. Ingekuwa amri yangu ningewazaba vibao. Angalau kidogo Stanbic!

Ingekuwa ndo mie pasingetosha hapo kabisa. yani mtu ananunua hereni mbele ya mteja anayemsubiria?? ningeongea mpaka mdomo ungeenda upande............lol
 
sasa hebu niambie embarrassment kama hizo super dearest!!! si unaweza kui-curse hiyo bank mpaka ukamkosea Muumba wako???

pesa zangu, nipate kwa kushida hata kutumi atena zinipe shida???
Aki unaweza ua mtu kwa matusi!!!

hahaaaa umenikumbusha there was a time pale NBC arusha niliitiwa polisi toka kituo cha kati, haya haya mambo ya customer care..........jamani agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!


tehteheteheteh wewe mdada wewe ushaitiwaga na polisi aisee?? kwa kisa kipi cha kudai huduma nzuri? kweli wewe ndo BHT duh si mchezo.
 
malalamiko yenu nimeyaona. nikiwa kama mteteaji wa kujitegemea wa haki za wanyonge, nitahakikisha wanaohusika wanafikishwa kunakohusika. Kaeni mkao wa kula. consider it done!
 
Sijaona Bank hata moja yenye unafuu. Unaenda ktk ATM weekend, hela hamna au network down. Unapiga namba ya huduma 24hrs iliyowekwa hapo na haipatikani. Kuanzia Stan Chart, Barclays, KCB, NMB, CRDB, NBC, Exim yani wote kuna siku watakuboa na vi excuse vy kijinga au wanaleta uswahili kwenye biashara, phew!
 
malalamiko yenu nimeyaona. nikiwa kama mteteaji wa kujitegemea wa haki za wanyonge, nitahakikisha wanaohusika wanafikishwa kunakohusika. Kaeni mkao wa kula. consider it done!
NAZIONA DALILI ZOTE za kutangaza nia
 
tehteheteheteh wewe mdada wewe ushaitiwaga na polisi aisee?? kwa kisa kipi cha kudai huduma nzuri? kweli wewe ndo BHT duh si mchezo.

yaani huwezi kuamni afu huyu Nyamayao bana na yeye kanikumbusha machungu!!! it was a saturday afu kesho mi nasafiri, tumepanga mstari kwenye ATM every now n then hela zinaisha, eventually muda nao wa kufunga huduma za dirishani unafika, dah niakon ahii itakuwa aibu ya mwaka mtu mzima senti sina n ajioni miratiba kibao!!!
naenda niingie ndani nichukulie dirishani askari analeta kujua, nikampa yake afu akajifany akuniweka chini ya ulinzi nikamwambia sikai mpaka uniambie kosa langu ,ikapigwa simu central nikaazna kuuziwa kesi kw amaafande walokuja na landrover 101 (as if I cared). wakanitishia that I should jump in, dah nikajitosa, sasa afande mwingine akasema hivi huyu tunampeleka wapi na kwa lipi hasa? Mamii hebu kwanza.....nieleze wat happened, nikamweleza n anikasisitiza twende huko mnakotaka twende afu kitaelewekea huko huko.
aaah jamaa akamkoromea surbodiane wake na akanipeleka ndani iulaini nikajichukulia changu nikasepa!!!

JS when it comes to my right.....niko tayari kufia mikoni mwako....no joke!!!
 
sasa hebu niambie embarrassment kama hizo super dearest!!! si unaweza kui-curse hiyo bank mpaka ukamkosea Muumba wako???

pesa zangu, nipate kwa kushida hata kutumi atena zinipe shida???
Aki unaweza ua mtu kwa matusi!!!

hahaaaa umenikumbusha there was a time pale NBC arusha niliitiwa polisi toka kituo cha kati, haya haya mambo ya customer care..........jamani agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!


haaa hebu nipe hii khaa!..arusha CRDB hapo jengo la TRA, nimeingia kwenye atm ikameza kadi yangu, naingia ndani naomba wanifanyie maarifa naambiwa urudi baadae, nauliza baadae ndio saa ngapi naambiwa wewe rudi tu baadae tena kwa nyodo ajabu na akasusa kunihudumia, haaa nilifanya shoo ya bure pale! nina haraka zangu, niende mpaka njoro nirudi nai, muda wa kusubiri naupatia wapi?
 
Yani jamani hasira zimenipanda mpaka kwenye koo. kwa nini hakuna customer service inayoeleweka hapa Tanzania?? sio makampuni binafsi sio mashirika binafsi na ya umma kotekote ni balaa.

Mtu unaenda benki unahitaji huduma rahisi tuu kupewa ATM card ambayo uliambiwa urudi baada ya mwezi ukarudi ukaambiwa bado haijawa tayari. ukapewa tena wiki mbili ukaamua kuchukua mwezi kabisa uwape muda wa kutosha. unarudi baada ya mwezi unamkuta yule anayetoa kadi hayupo kapata sijui dharura or something.

Unaongea na assistant branch manager unamuambia umekuja kuchukua ATM card and she tells you anayetoa hayupo so what kama hayupo??? unamuuliza okay fine hayupo but atleast there has to be someone else to take cover anakupa silly excuses with some stupid attitude sijui si nishasema ni emergency kashindwa kuja sijui security reasons sijui hakuna mwenye password zaidi yake kwa nini kusiwe na mtu anayechukua desk in cases like these??? anakuangilia like what is wrong with this mtu standing on my desk asking me all these questions??? utadhani mtu akiwa hayupo basi na ofisi imehama au imeondoka naye.

We need to change kwa kweli. nyie wote wenye makampuni na ofisi inabidi muanzishe trainings za customer service kwa wafanyakazi wenu especially BANKS. mtapoteza wateja. ni bora kubank fedha account za nje kuliko kubank za hapa na huduma zenu mbovu. MBADILIKE.

Ukiiangalia kwa ndani kwa umakini discussion kwenye thread hii, inaonyesha dhahiri kuwa sisi watu tulioko kwenye bottom line ya system yetu tuna matatizo makubwa sana kuliko walioko juu, yaani viongozi wetu ikiwa ni pamoja na wanasiasa. Just imagine leo unaswap watu, hao walioko juu unawashusgha chini, na walikoko juu chini unawapandisha juu,...... si-imagine hali itakuwaje. Tubadilike kwanza sisi tulioko huku chini ili kesho tukipata nafasi ya kupanda juu, tupande tyukiwa wazuri, otherwise tutaendelea kulalamika pasipo kutafuta solution ya tatizo letu. You can imagine mfano wewe umeenda kufuatilia mafao yako PSPF, atakayekukwamisha in case it happens, ni mbebe mafaili na siyo Mkurugenzi wa PSPF. Hivi wenye makosa ni wakubwa wetu wa ngazi za juu au ni sisi ambao tuko ngazi za chini? Tukiendelea kujidanganya kwamba tatizo kubwa haliko kwenu, tutaendelea kulalamika mpaka Yesu tatarudi. Nakubali hata ngazi za juu matatizo yapo ila siyo si makubwa kama tuliyonayo sisi tuliok ngazi za chini!
 
Ingekuwa ndo mie pasingetosha hapo kabisa. yani mtu ananunua hereni mbele ya mteja anayemsubiria?? ningeongea mpaka mdomo ungeenda upande............lol

its all lack of professional ethics and discipline!!!! mijitu inafanya tu kazi bila kujua what it takes to be in that field!!!
 
Back
Top Bottom