KERO: Huduma mbovu kwa wateja

yaani huwezi kuamni afu huyu Nyamayao bana na yeye kanikumbusha machungu!!! it was a saturday afu kesho mi nasafiri, tumepanga mstari kwenye ATM every now n then hela zinaisha, eventually muda nao wa kufunga huduma za dirishani unafika, dah niakon ahii itakuwa aibu ya mwaka mtu mzima senti sina n ajioni miratiba kibao!!!
naenda niingie ndani nichukulie dirishani askari analeta kujua, nikampa yake afu akajifany akuniweka chini ya ulinzi nikamwambia sikai mpaka uniambie kosa langu ,ikapigwa simu central nikaazna kuuziwa kesi kw amaafande walokuja na landrover 101 (as if I cared). wakanitishia that I should jump in, dah nikajitosa, sasa afande mwingine akasema hivi huyu tunampeleka wapi na kwa lipi hasa? Mamii hebu kwanza.....nieleze wat happened, nikamweleza n anikasisitiza twende huko mnakotaka twende afu kitaelewekea huko huko.
aaah jamaa akamkoromea surbodiane wake na akanipeleka ndani iulaini nikajichukulia changu nikasepa!!!

JS when it comes to my right.....niko tayari kufia mikoni mwako....no joke!!!


kiruuuuu, wewe kiboko walllahh.
 
yaani huwezi kuamni afu huyu Nyamayao bana na yeye kanikumbusha machungu!!! it was a saturday afu kesho mi nasafiri, tumepanga mstari kwenye ATM every now n then hela zinaisha, eventually muda nao wa kufunga huduma za dirishani unafika, dah niakon ahii itakuwa aibu ya mwaka mtu mzima senti sina n ajioni miratiba kibao!!!
naenda niingie ndani nichukulie dirishani askari analeta kujua, nikampa yake afu akajifany akuniweka chini ya ulinzi nikamwambia sikai mpaka uniambie kosa langu ,ikapigwa simu central nikaazna kuuziwa kesi kw amaafande walokuja na landrover 101 (as if I cared). wakanitishia that I should jump in, dah nikajitosa, sasa afande mwingine akasema hivi huyu tunampeleka wapi na kwa lipi hasa? Mamii hebu kwanza.....nieleze wat happened, nikamweleza n anikasisitiza twende huko mnakotaka twende afu kitaelewekea huko huko.
aaah jamaa akamkoromea surbodiane wake na akanipeleka ndani iulaini nikajichukulia changu nikasepa!!!

JS when it comes to my right.....niko tayari kufia mikoni mwako....no joke!!!
:faint::faint::faint:
 
I wish wangekuwa wanazisoma hizi posts! Mimi sina hata cha kuongeza, maana kila nilikoona kuna uafadhali, nilikuwa naruka majivu nakanyaga moto! nimejiamulia tu kuwa mpole!! Poleni WADANGANYIKA wenzangu!!
 
malalamiko yenu nimeyaona. nikiwa kama mteteaji wa kujitegemea wa haki za wanyonge, nitahakikisha wanaohusika wanafikishwa kunakohusika. Kaeni mkao wa kula. consider it done!

Klorokwini i hope you mean it kwa sababu imekuwa kero kubwa sana kwa wananchi.

JS when it comes to my right.....niko tayari kufia mikoni mwako....no joke!!!


I can see that clearly
 
Yani jamani hasira zimenipanda mpaka kwenye koo. kwa nini hakuna customer service inayoeleweka hapa Tanzania?? sio makampuni binafsi sio mashirika binafsi na ya umma kotekote ni balaa.

Mtu unaenda benki unahitaji huduma rahisi tuu kupewa ATM card ambayo uliambiwa urudi baada ya mwezi ukarudi ukaambiwa bado haijawa tayari. ukapewa tena wiki mbili ukaamua kuchukua mwezi kabisa uwape muda wa kutosha. unarudi baada ya mwezi unamkuta yule anayetoa kadi hayupo kapata sijui dharura or something.

Unaongea na assistant branch manager unamuambia umekuja kuchukua ATM card and she tells you anayetoa hayupo so what kama hayupo??? unamuuliza okay fine hayupo but atleast there has to be someone else to take cover anakupa silly excuses with some stupid attitude sijui si nishasema ni emergency kashindwa kuja sijui security reasons sijui hakuna mwenye password zaidi yake kwa nini kusiwe na mtu anayechukua desk in cases like these??? anakuangilia like what is wrong with this mtu standing on my desk asking me all these questions??? utadhani mtu akiwa hayupo basi na ofisi imehama au imeondoka naye.

We need to change kwa kweli. nyie wote wenye makampuni na ofisi inabidi muanzishe trainings za customer service kwa wafanyakazi wenu especially BANKS. mtapoteza wateja. ni bora kubank fedha account za nje kuliko kubank za hapa na huduma zenu mbovu. MBADILIKE.

Dawa kwishapatikana... SIKO LA PAMOJA
JA EAST AFRICA, litawaondona ma mwinyi na wote wanaosubiri vya ubwete.. jirani zetu wakenya wamehitimu katka hilo... mkenya wa std VII akachukua nafasi ya mtanzania mwenye diploma ya CCare...Wacha walale!!!
 
mrallen ni kweli kabisa, wakenya wako vizuri kwenye mambo ya hudua kwa wateja (angalau kwa wale nlobahatika kufanya nao kazi)
 
hizi huduma mbovu si bank tu

mimi nilichoka kupewa huduma mbovu na Qatar airways .....duh
niko airport natakiwa kuwa na kilo 20 na mkononi kilo 7..........mimi nna kilo 22 ikawa tabu kweli kweli! tukapandishiana kisawa sawa. Namwambia silipi hata kwa dawa. kama mnataka watu waje na kilo 20 kamili wekeni mashine ya kupimia nje! mnataka watu waje ndani kisha muwatoze pesa.

alikasirika akanambia adabu yako nitakuweka viti karibu choo...........yaani nilifurahi nikamwambia kuwa sasa ndio umenipa chance ya kuni upgrade first class......

nikamuita meneger ...............nikawa upgraded nikaondoka zangu.
 
BONGO hakuna costomer care.....hata ukienda kwenye vyoo vya kulipia....hakuna wa kukujali sembuse Bank???????
 
Mi nilienda nbc kufunga ac kipindi kile ina vijikero flani flani pamoja na ukaburu. Mtumishi mmoja akaniambia straight bila kuuliza kwanini nataka kufunga ac kuwa nikalete barua iliyosainiwa na mwajiri. Nusu saa nilikuwa mbele yake na barua mkononi. Akataharuki na kuanza kuniuliza kwa nini nimechukua uamuzi huo na kunisihi sana. Moyoni nikasema anapoteza muda wake. Baada ya robo saa ya kunisihi nikafunga ac.
 
I wish wangekuwa wanazisoma hizi posts!
Unadhani hawajui kwamba watu wana wamaindi? Wao wanasema (niliowasikia mimi) kwamba tunaolalamika ni waliotoka nje ya nchi. Ambayo inawezekan ni kweli, japo hilo halifanyi complaints zetu ziwe wrong. Mfano, mimi binafsi kama nisingetoka nje sidhani kama ningeshtukia kwamba hii huduma ni mbovu. Kabla sijatoka nilipoambiwa kwenye ofisi ya mtu au huduma yoyote Bongo kwamba mhusika katoka, nilikuwa naona kama ndio kawaida fulani hivi, ni poa tu, ndio mazingira niliyokulia. Lakini nilipotoka nje ya nchi na kuona watu wana call out of work kama kawaida na replacement sio tu ipo, bali hakuna kazi ambayo ni mtu mmoja tu anaijua bank au huduma nyingine nikaona aanhaa, kumbe zile tunazoleteana home sio poa, kumbe there is no freaking reason uambiwe mhusika anaetoa bank card ana udhuru. Nchi za nje the manager will go do the damn job herself if she didn't train anyone else to do it when Mr. Card Maker calls out. Kwanza ni haiwezekani, you know? Ridiculous.
 
Kwa bongo kweli Benki kuna kazi, niliwahi kwenda NMB nikiwa na shida na jinsi yule dada alivyonijibu sijatamani tena kwenda. Since then niliwapiga chini. Wafanyakazi wengi wanakuwa na majibu ya ajabu utadhani babangu ndo kasababisha wakose posho!

Tatizo ni RUSHWA. Jana nilikuwa NMB tawi la Clock towe Arusha; Amini usiamini nilishuhudia mhudumu akipokea rushwa ya shilingi 10,000. kisha akamhudumia jamaa chap chap wakati wengine tulikuwa hatusikilizwi. Ili hii nchi iendelee yanahitajika mabadiliko makubwa katika nyanja za kijamii, elimu, uchumi nk.
 
jamani hapa panakazi huduma kwa wateja mh ila me nimejikuta naama mabenki kwa fujo na ugomvi mkubwa mfano mara ya kwanza nilikuwa na ac benki ya posta mwaka 2000 akiyanani sitakaa ni sahau kabisa na wale walokuwepo siku ile awatanisahau kasheshe na majibu nilowapa na nikafunga ac mda huo huo nikahamia greenbank ikaja ikafa ila nilipata changu after years, nikaamia akiba bank waliaanza vizuri ila customer care mh wakanikera nikafunga aac zangu zote 3 mara moja pamoja na meneja kubembeleza wakatisha kunikata pesa nikawaambia thubutu mpaka ya kufungulia naitaka nikahamia azania wow kwakweli nipo relax kabisa, nilifungua barklays nimefunga mwenyewe, nikafungua boa bank nao hovyo, nimefungua exim nilitaka mastercard waliniambia card baada ya mwezi nilikwenda kweli nikaipata mapema cjawatembelea sana tatizo lipo watu wnalalama sana ukiwa hapo na ukiwa na kitu kdogo wee unagombewa hii imeoeleka
 
Back
Top Bottom