Ndio tatizo la ukanjanja wa mtu anaitwa Joyce Mhavile, duniani pote TV ni personality driven, vitu kama sauti ni part of ones personality, kawaida wasikilizaji hata kama wachache (kwa huyu ni wengi na kwa miaka mingi) wakisha indicate kukerwa na vitu kama hivyo angetakiwa ama amuamuri abadilike au amhamishe kitengo, tatizo ya huyu dada anayejifanya yeye ni owner kuliko mengi anadhani anatukomoa sisi, na huyo mengi aliyezomewa Diamond is too stupid to know that media is public owned hata kama yeye ndio aliyewekeza, ndio maana rating zake zinashuka, TV kubwa kama hiyo hana kipindi hata kimoja chenye followers zaidi ya telemonde na isidingo, lakini yeye anajiona anaweza, kazi alilyonayo ni kutumia hela zake ku sabotage sector hiyo kwa ku own waves kibao eti 99% ili wengine washindwe kuingia kwenye fani. Hopeless kabisa wamebaki kuabudiana, Joyce anafikiri mkisema yeye ndio kiboko kwa kigezo kuwa mti wenye matunda ndio unapigwa sasa niambie hapo kuna matunda gani? subirini hama mwaka rating yake itakua very low watabakia kulipa waandaaji wa superbrand wapewe hilo jina kila mwaka, what is super about them? kwa sasa channel ten, azam, TVI, Clouds wote wako juu sana wao wamebaki na hao watoto wanaowa recruit kila siku kisa joyce anaona wivu hata wakina Gamba wakifanya vizuri, wako wapi wakina fauziyat aboud kwa nini wasi anke, mengi yuko busy na kulea watoto na kujaribu kumuuza mama kwa nguvu, no school anadhani kuzaa na yeye ni qualification ya kuwa successful.