Hao Ndio super brand, Yaani hakuna standard, hii insnisminisha lisemwalo Kuwa they pay Kwa kuangalia watu macho ni wengi wengi wao wanalipwa pea nuts, Huyu Bwana wa mara anawakosesha sana Nafasi ya Kuuza mara no potentials zake, Na sijui Kwa nini wana ha wa mara hawana toka manake he is really furnishing the brand badly, Yaani usimsikilize unadhani a watu wote wa mara ni hopeless. ITV wanatembelea popularity ya kunisaidia wenyewe, professionally wamewachoka Mbali Na tv Nyingi wanazoziona wao ndogo, he used chu kulia mfano, talk show zao zote ni Takataka, very low level, Zina lack creativity, hosts wana uwezo Mdogo sana, having mvuto, pia wanaobeba a ku struggle Na contacts za wageni, Angalia malumbano ya hoja,Danika 45, Jukwaa huru, Na kile cha ijumaa au Yule professor anayekuja kutoa lecture, very sad. Vyotetulivyozu put together havimuingii Chilala mmoja wa channel ten.Wakenya wabunifu.......huwezi kuwakuta wakitangaza kipuuzi kama hawa wetu........hata commercial zao zimeenda shule......sio kama za kina Majuto na magodoro Dodoma........kichefuchefu kitupu.........
Kwa taarifa yako wa kenya wanawapapatikia Majuto na Kingwendu vibaya mno!Wakenya wabunifu.......huwezi kuwakuta wakitangaza kipuuzi kama hawa wetu........hata commercial zao zimeenda shule......sio kama za kina Majuto na magodoro Dodoma........kichefuchefu kitupu.........
KivuyoKuna yule wa taarifa ya michezo khaaaaa ...ana misamiatiii anavuta sauti... nikimsikia tu nahamisha station..jina lake limenitoka sikapendi..nachefukwagaa
Mtoto wa kiume unakoshwa????,kama humpendi ni wew, mi ananikosha sana
Maulid ni mwandishi mkongwe na mzuri sana ila naona ameanza kuwaiga wapiga makelele kama wale wa clouds redio kipindi kelele mwanzo mwisho hata husikii wanatangaza nini, ila wale tunawasamehe kwa kuwa sio waandishi wanataaluma ni makanjanja wa mtaani tu.Huyu Kitenge ndio mnamuita chumvi sijui siku hizi ameanza kuboa. Mwambie apunguze sifa nae ameanza kuwa Joji Maratu
Alikuwepo mwingine Nswiiiiima Errrrrřnest sumbawanga ...sijui aliishia wapiHuyu ripota kwa kweli huwa nikisikia tu sauti yake nabadili chanel yani anatafuta attention kwa nguvu sana na utofauti usio na msingi. Yani ananikera kama sauti ya mbu ukiwa umelala . So unprofessional.
Amewahi kuona ripota gani wa kuheshimika anapoteza muda kwa kuvuta maneno kama yeye? Jirekebishe unakera sana jinsi unavyovuta makusudi maneno yako. Hata haipendezi. Kero sana. Yani.
MaraaaaaaaaLike this Mm niiii geooorgeemmm maratoooooo wa iiiiiiiiiiiiiitviiiiiiiiiii