Huyu ripota kwa kweli huwa nikisikia tu sauti yake nabadili chanel yani anatafuta attention kwa nguvu sana na utofauti usio na msingi. Yani ananikera kama sauti ya mbu ukiwa umelala . So unprofessional.
Amewahi kuona ripota gani wa kuheshimika anapoteza muda kwa kuvuta maneno kama yeye? Jirekebishe unakera sana jinsi unavyovuta makusudi maneno yako. Hata haipendezi. Kero sana. Yani.
Simpendi hata kidogo,sijui hata kwenye usaili alipitaje
Yule wa michezo Mimi ndo simpend kabisa anavyovuta saut,Watangazaj wa TV kuwen natural mbwembwe zingine had zinakera
Wakenya wabunifu.......huwezi kuwakuta wakitangaza kipuuzi kama hawa wetu........hata commercial zao zimeenda shule......sio kama za kina Majuto na magodoro Dodoma........kichefuchefu kitupu.........
Heshima kwenu wakuu!
Ukiwa na japo a, b, c, d's ya Journalism wala haya masuala ya waandishi na Watangazaji wa habari wa hapa nyumbani hayawezi kukubabaisha kabisa.Wanaaandika na kutangaza Un-professionally,Sipendi na ndiyo maana nimeacha kuwatizama na pia kuwasoma katika Video pamoja na magazeti yao.Ni mimi na JAMII FORUMS,QUORA nk as a source of Information and not otherwise.
Hawajifunzi kutoka kwa Dr Shaka Ssali wa VOA ( straight talk Africa),Christina Amanpour (CNN),Steven Sucker (Hard Talk),Riz Khan,Larry King nk?.
Muandishi unamhoji mtu kisha anajijibu yeye mwenyewe?.Inakera sana haswa kwa walioanza kufuatilia vipindi vikongwe kama VOA vyenye umri wa karibu mtu mzima.Waandishi wamelala sana.Kuanzia kina Hemed Kivuyo,Maratu,Spencer Lameck,Farhia Middle,Ngoto,Silemu,Richard Steven...Yaani Chanell zote wapo hovyo.
Ili wafanye kazi yenye maana inawabidi wasome sana vitabu "Journalism books,Articles pamoja na kuudhuria semina mbalimbali zinazohusu uandishi wa habari there after wanaweza kupata mwangaza na kipi cha kusema,kipi cha kuandika nk.Naandika kwa machungu sana kwakuwa nafahamu fika kuwa Hatuna utamaduni wa kusoma vitabu,Hii ni hatari sana.
Nawashauri warudi darasani.