Kero: George Marato wa ITV

Watangazaji wote wa station hii wana mihemko .....Afred Masako naye ndo wale wale ......mwenye ndooo haya, mwenye kijiko hayaa, mwenye mfuko wa lambo hayaaaa.....
 
Watangazaji wote wa station hii wana mihemko .....Afred Masako naye ndo wale wale ......mwenye ndooo haya, mwenye kijiko hayaa, mwenye mfuko wa lambo hayaaaa.....
Siyo huyo tu isipokuwa sidhani kama kituo hiki wana quality control system kwa matangazo yanayotoka hewani pamoja na watangazaji.
Hivi juzi nilishangaa kumuona ripota wa itv kuachiwa kuva fulana ambayo inahusiana na ushabiki wa moja ya vyama vya siasa ambavyo vipo kwenye kinyang'anyiro akiwa kwenye kituo cha kupiga kura ingawa tume ilikaza hili kabisa.
Halafu mtangazaji huyo huyo alitamka katika ripoti yake kuwa 'tumepoteza jimbo' kauli ambayo inakwaza sana hasa kutoka kwenye kituo chenye hadhi kama itv.
 
Mimi ni geooooooorgeeeeeeee maratoooooooooooooooooo iiiiitvvvvvvvvvvvv Mara...
Namkubali sana huyu na sam maela
 
Ajajajajajaja.......yule huwa natamani kuvunja tv......anaitwa sijui nani Kivuyo......uwiiiiii.......kachangia sana kunirudisha nyuma kimichezo..........
huyo ana mambo ya kijinga sana moja yeye anasema moya wapi na wapi??ni kichefuchefu tu.
 
Kweli, wale watu wanajua wanachokifanya. Hawabahatishi
Elimu,elimu elimu wakenya tutawafukuza sana na hatuta wakamata na ndio maana hapa wako wengi tu wanapiga kazi uliza kenya kuna wa tz wangapi wanafanya kazi huko-ni aibu.
 
hata nyie mtaani hampendwi

sema hamjijui tu

wengne mnatembea kama bata, mnatoa majasho hovyo, vichwa kama panga ila wanawavumilia.

acheni mambo yeko hawajazaliwa kukufurahisha wewe.
Mkuu umetishaaaaaaaa yaani umenifanya nicheke sana,like haionekani.
 
Elimu,elimu elimu wakenya tutawafukuza sana na hatuta wakamata na ndio maana hapa wako wengi tu wanapiga kazi uliza kenya kuna wa tz wangapi wanafanya kazi huko-ni aibu.

Kweli Elimu ni muhimu sana
 
Yaaani huyoooo km niko na remote fastaaaa natoa...ss km remote iko na mzee anafanya kusud hatoi ili aone km nitatapika..ila sio siri nitatoka ht nje nisimsikie

Hahahahahaha ujue naona asilimia kubwa watoto wanapenda kumsikiliza
 
Nimpendae ni Julie Gichuru Citizen TV. news at 9,sunday huwa sikosi,news nikama darasani bana unafunzwa maneno unajisahau kidogo hivi unastukia imefika saa nne na nusu.Anafaa kuwa lecturer huyo ako sawa tena sana.

Hasa kwenye truth meter
 
Hebu tujaalie unakutananae in person una issue mnataka mu discuss halafu akuletee hizo utajisikiaje?

😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Anaanza:: hujaaaaaaaambo rafikiiii habaaari za sikuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu😂😂😂😂😂😂



Nimecheka Sana mkuu😂😂
 
Kuna wakati Watanzania tubadilike, kuna mambo kibao ya kukukinaisha na yakuwekea nguvu kuyatatua likiwemo mafisadi wahujumu uchumi, ajira, mishahara ya walimu, kero za hudama za jamii sio kuleta upuuzi kama huu.

Nini shida hasa kuangalia anacho-ripot Marato? Kila mtu ana identity yake, hatuwezi kufanana kwa kila jambo, anakukela basi badili chaneli, na wengine wote hapa wafuata mkumboo, mbona mnadandia uzi huu kuendelea kumsema Marato?

Tubadilike tuleteni vitu vipya vya mustakabali wa Taifa letu,

Wewe umevurugwa? Unadhani ufisadi ni mambo ya pesa tu? Hata hawa wanaifanyia ufisadi lugha yetu adhim ya kiswahihil zebe wewe!
 
Huyu ripota kwa kweli huwa nikisikia tu sauti yake nabadili chanel yani anatafuta attention kwa nguvu sana na utofauti usio na msingi. Yani ananikera kama sauti ya mbu ukiwa umelala . So unprofessional.

Amewahi kuona ripota gani wa kuheshimika anapoteza muda kwa kuvuta maneno kama yeye? Jirekebishe unakera sana jinsi unavyovuta makusudi maneno yako. Hata haipendezi. Kero sana. Yani.

Wahurumie hawa ndiyo watangazaji na wanahabari wetu.
Kati ya watangazaji niliowahi kupenda kazi yao ni Julius Nyaisangah, Tido Mhando na Farouq Karim.

Masako naona siku hizi nae ni kuvaa suspender u kama Larry King(CNN).
Sam Maela naye mikogo mingi kama Salim Kikeke.
And the list is endless.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom