mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,234
- 959
Nakerwa na sam mahela zaidi.
hata nyie mtaani hampendwi
sema hamjijui tu
wengne mnatembea kama bata, mnatoa majasho hovyo, vichwa kama panga ila wanawavumilia.
acheni mambo yeko hawajazaliwa kukufurahisha wewe.
Hebu tujaalie unakutananae in person una issue mnataka mu discuss halafu akuletee hizo utajisikiaje?kama humpendi ni wew, mi ananikosha sana
MaraaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmmmmLike this Mm niiii geooorgeemmm maratoooooo wa iiiiiiiiiiiiiitviiiiiiiiiii
Kuna yule wa taarifa ya michezo khaaaaa ...ana misamiatiii anavuta sauti... nikimsikia tu nahamisha station..jina lake limenitoka sikapendi..nachefukwagaa
hemedy kivuyokuna yule wa taarifa ya michezo khaaaaa ...ana misamiatiii anavuta sauti... Nikimsikia tu nahamisha station..jina lake limenitoka sikapendi..nachefukwagaa