KERO: Bole International Airport - Addis Ababa

KERO: Bole International Airport - Addis Ababa

Mkuu acha hizo bana, wanyarwanda wasafi sana, hebu nipe utofauti wa usafi wa wanyarwanda na watz? Acha kudhalilisha nchi za watu.. Kwa usafi gani haswa unataka kusema watanzania wamezidi wanyarwanda?? Anzia kulinganisha dar na kigali kwanza.!
Na hapa tunaongelea Bole airport, Ethiopia sio Rwanda eboo.!
Ha ah ha ha mkuu,hujamuelewa jamaa,ana maana ya kwamba Wanyarwanda hasa wanawake nje wazuri,ila ndani(papuchi) zao hawajui kujisafisha chafu..
 
Delta midege imechoka mnoo
Yaani hadi leo wanarusha DC10, 767

Kweli kabisa.

Delta ndege zao sizipendi kabisa.

Kwanza hata flight attendants wao ni vibibi bibi tu.

Halafu unajua kuwa wana ofisi yao Dar kwa miaka kadhaa sasa?
 
Ndege za Ethiopia hazina tofauti na bus, unakwenda unaaambiwa ndege imejaa, Pale Bole airport ni hovyo kuzidi neno hovyo, sehemu ya vyoo yaani hata vyoo vya stand ya mawasiliano nzuri sana, tena hakuna maji wanatumia paper tu,
Sehemu za lift zao sasa hazifanyi kazi, yaani hakuna information yyte uwanjani mradi unafata watu tu, nimeshapanda kama mara 3 hizi ndege, Lakini nilishaapa sitakuja kupanda tena ndege hizi kabisa,
 
Ndege za Ethiopia hazina tofauti na bus, unakwenda unaaambiwa ndege imejaa, Pale Bole airport ni hovyo kuzidi neno hovyo, sehemu ya vyoo yaani hata vyoo vya stand ya mawasiliano nzuri sana, tena hakuna maji wanatumia paper tu,
Sehemu za lift zao sasa hazifanyi kazi, yaani hakuna information yyte uwanjani mradi unafata watu tu, nimeshapanda kama mara 3 hizi ndege, Lakini nilishaapa sitakuja kupanda tena ndege hizi kabisa,

Pole sana mkuu kwa yaliokukuta
 
Pole sana mkuu kwa yaliokukuta
Kuna siku wife alikuwa anasafiri tena tupo ughaibuni anarudi bongo, kufika airport ndege imejaa yaani nilichoka, wananiambia mwache atalala hotel Kila kitu tutamuhudumia, nikawaamhia thubutuu labda mimi sio mshirazi nikarudi nae home, mpaka siku ya kusafiri nikamleta tena
 
Kumbuka ndio the leading airline in Africa for the time being in several aspects like fleet size, profitability, destinations, safety record etc

Kama hiyo ndo the leading airline in Africa..well then...

I'll pass...
 
Wale wasafiri wenzangu tunatumiaga "SAI-BABA" ETHIOPIAN katika mihangaiko ya maisha huko duniani mtakubaliana na mimi jinsi pale Airport kunavyoboa kama una "Long Layover" yaani kumejaa kama kariakoo, restaurant bei za ajabu ajabu, cancellation kama kawa, vyoo vichafu, bora kukwea FLY DUBAI au kupitia KIGALI ama NAIROBI ukakwee CHINA SOUTHERN AIRLINES.
NB: Wizara - Mambo ya Nje tafadhali ongeeni na CHINA SOUTHERN AIRLINES waje mpaka DAR angalau.
Mkuu inategemea na terminal uliyopitia nimepita Bole mara kibao iko poa kuli kijiwe cha boda boda cha dar
 
Wale wasafiri wenzangu tunatumiaga "SAI-BABA" ETHIOPIAN katika mihangaiko ya maisha huko duniani mtakubaliana na mimi jinsi pale Airport kunavyoboa kama una "Long Layover" yaani kumejaa kama kariakoo, restaurant bei za ajabu ajabu, cancellation kama kawa, vyoo vichafu, bora kukwea FLY DUBAI au kupitia KIGALI ama NAIROBI ukakwee CHINA SOUTHERN AIRLINES.
NB: Wizara - Mambo ya Nje tafadhali ongeeni na CHINA SOUTHERN AIRLINES waje mpaka DAR angalau.

Yaani ET ni kama SAI BABA? Lol
 
Back
Top Bottom