Kenya, Uganda, Rwanda Kufungua Mipaka

kueni makini na hilo watanzania maana inashangaza mno

Kimsingi, haya yote yanayoendelea na maandalizi ya Kagame kuishambulia Tz, ameforge free movement btn Ug and Kenya ili wapiganaji wake.wapite ktk nchi hizi na kuishambulia TZ.......
 
Kimsingi, haya yote yanayoendelea na maandalizi ya Kagame kuishambulia Tz, ameforge free movement btn Ug and Kenya ili wapiganaji wake.wapite ktk nchi hizi na kuishambulia TZ.......

Huyu msichana kagame hawezi kushambulia Tanzania labda akacheze kidalipo na wasichana wenzake!
 
Hata kwenye utalii,Rwanda labda ukaangalie Ma Gorrila tu na Uganda ukaangalie maporomoko ya maji ya mto Nile. Magorrila si tunayo kibao na maporomoko ya maji tunayo kibao kuanzia Rufiji, Udzungwa,Rukwa,Njombe nk.Hapo kwenye hiyo agreement watakaofaidika ni Kenya zaidi kuliko hao wawili.

hivi nchi kama rwanda inaweza kuwekeza nini hapa tz,si tutaambulia kuingiziwa wafugaji na ma ngombe yao ya ankole na bunduki za k47juu, si afadhaliye yetu tz tumewekeza rwanda kiwanda cha unga azam kikubwa tu!!!!
 
dont cheat us. Tanzania are not treated well in Kenya. there is nothing to loose go on with Ruanda and Uganda. I guarantee you it wont take long. we Tz are civilized and hospitality is our culture
The selling and buying
has been going on but it hasnt reached its potential mainly because of
imposed barriers. We in Kenya would want to see more of Tanzania's
stuff...they're very few btn apart from what mama mboga sells. The
biggest problem that Kenyans have in Tanzania is Kenyans are treated
like 3rd class foreigners. Someone might have a contract to work for 3
years but u issue a work permit of 2weeks, then they have to keep
renewing unfair because those Tanzanians who come to Kenya to study or
work are treated like East Africans and dont even require a work permit.
Thats why we feel you Tznians are not committed may be it feels nice
being called SouthAfricans than East African
 
The selling and buying has been going on but it hasnt reached its potential mainly because of imposed barriers. We in Kenya would want to see more of Tanzania's stuff...they're very few btn apart from what mama mboga sells. The biggest problem that Kenyans have in Tanzania is Kenyans are treated like 3rd class foreigners. Someone might have a contract to work for 3 years but u issue a work permit of 2weeks, then they have to keep renewing unfair because those Tanzanians who come to Kenya to study or work are treated like East Africans and dont even require a work permit. Thats why we feel you Tznians are not committed may be it feels nice being called SouthAfricans than East African

I think our leaders must decide if we want an EU kind of federation or not. It does not make sense to make Kenyans or other Members work with permits in TZ. We have serious shortage of specialized skills and if educated Kenyans or other people can help fill up that gap,it will help our economy. What we have now is lack of vision. Americans, Europeans and Canadians are inviting educated people to migrate to their countries for decades now while we are making it as difficult as possible for Fellow East Africans with skills to live here. Kenyans have greatly helped improve English skills in our schools, this is just one example of mutual benefit of freedom of labour in the federation. Yet, all I hear in JF is, "to hell with them". Most people here have limited understanding of world economics, no protectionism politics ever built a poor nation. Traveling with passports rather than country IDs within the federation make little sense to me. Our politicians should break down the barriers and let East Africans live, travel and work freely, otherwise we will never ever reach our full potential. What is so difficult about issuing IDs? Why do we spend millions to collect opinions about everything? Why cant we have same rules like dual citizenship? We are integrating so slowly that it makes little sense to call it a federation. By the time we have full integration, i am sure the rest of the world will be living on the moon! We need to work as a group to have any chance to compete with other nations around the world. Imagine if we put our resources together and try to attract tourists to visit The Federation instead of individual countries! We would save millions in advertising fees. We need to work more as a group and integrate faster and talk less. Why we Africans can't learn from others?
 
ushauri wa bure...go learn and focus on your GRAMMAR!!!!!!
This is not an English class you id.io.t!... when you feel a nail on yr head yr toilet like mouth just hurl insults n nonsense comments
Mkuu Rushasha, msamehe bure huyu mtu. Kuna watu wanayo kasumba kudhani kujua kiingereza saaana ndo akili eti. Its quite a pity!
 
Ndugu yangu kama unashindwa kuyaona ninayoashiria basi sidhani kama nina zaidi ya kusema. Hawa jamaa hiyo hatua kwanza inawapa wananchi wao freedom of movement baina ya nchi hizo tatu, kumbuka kuwa Mombasa ni bandari muhimu kwa hizi nchi tatu ukiongezea Congo na Burundi. Imefikia kiwango bandari ya Mombasa inaanza kustruggle na traffic ya goods zinazokwenda kwenye hizo nchi tano. Pili kwenye hayo makubaliano yao kuna mkataba wa kibiashara kwa nchi hizo tatu. Hivyo kwa taarifa yako usahau kabisa mizigo ya hizo nchi kupitishwa bandari ya Tanzania. Unajua bandari ya Dar es salaam inachangia kiasi gani kwenye pato la taifa? Changamsha akili nenda kafute data then utajua halafu kwenye hizo data fatilia mizigo ya Rwanda na Burundi how much wanechangia kwenye hilo pato. Halafu utajua nini nilikuwa nazungumzia kuhusu madhara ya kiuchumi. Kuna sababu nyingi sana sana za ziada, jiulize kama wakiikamilisha mipango yao ya reli ya Mombasa to Kigali.

Bora unyamaze maana unaonyesha jinsi ulivyo mtupu. Unafikiri bila kuwa na mizigo ya Rwanda/Burundi na Congo ndio uchumi wa Tanzania utayumba? au pato la Bandari litakuwa na hasara ki-vile unavyofikiri? Wacha longo longo na angalia big picture. Bandari ya Dar es Salaam haitoshi kukidhi mahitaji ya Watanzania kama tutaweka maendeleo ya kina kuinua maisha ya watanzania kwanza katika ku-export final products nje ya Tanzania. Hatuwezi kulialia na biashara koko za nchi nyingine na kutegemea mjomba ili kuinua maisha ya walipa kodi wa nchi hii. Reli ya kati kwanza haitumiwi kama inavyotakiwa katika karne hii, barabara zetu zimechoka ndio sababu ajali zimekuwa nyingi. Huu ujanja ujanja ambao manyang'au wanautumia kuchelewesha mipango yetu muhimu ni janga.

Tanzania sisi wenyewe ni soko la kutosha sana, unawaongeza hao masikini wanaoshindia mlo moja wa dola moja kuendekeza umasikini. Wacheni waende zao na kuwa na ushirikiano wenye baraka kutoka Tanzania. Pengine hufahamu SADC walianzisha vitu vingi lakini vimekwama au EAC ya kwanza kwa nini ilikufa nk.
Wacha kukurupuka.


BTW hivi unafikiri muuaji kama Kagame au M7 au Kenyatta anayetakiwa kwenda kujibu tuhuma za mauaji ni watu wa kuwaamini? Angalia historia zao ndio uje hapa useme kaneno. Je, Uhuru amerudisha urithi waliopora kutoka kwa Wakenya? Je, M7 ameshindwa nini katika kipindi chake cha urais kuzuia mauaji yanayoendelezwa na wapinzani wake? Je, kwa nini Kagame anaogopa kujibu tuhuma za kuwaua wapinzani wake ndani na nje ya Rwanda? Oops maybe thats your kind of democracy! Je, mtoto wa M7 atachukua madaraka lini?
 
We mtutsi mambo ya Tanzania hayakuhusu. Bandari ni yetu na tutaitumia tujuavyo. Kujiondoa kwa Uganda na rwanda sio issue...jiendeeni huko mombasa km ndiko mnaona ni bora zaidi. We ddnt force you to use Dar Port. There are many other important users apart from you tutsis. Uhuru is neither a winner nor a genius..he just doesnt knw he is dealing with very wrong persons...mu7 and kagame..

Duh, Lazima tutafakari maana bandari mpya na kubwa kuliko zote Afrika inayojengwa Bagamoyo itapakua na kupakia Meli /kontena ngapi? au itabakia kuwa gofu-lisilo-matumizi a.k.a A White Elephant? Na mkopo wa China tutalipa vipi bila bandari kutumika au itabidi wa_China wakombe madini yote kama fidia yamkopo?!
 
Sioni kama kuna ubaya kwa hilo, ila kama wanafanya kukurupuka wasije wakajutia yanayoendelea ndani ya umoja wa Ulaya,

Tanzania inaweza kuchukua nafasi sawa na ya Uingereza katika muungano huu. Maana Uingereza ilikataa kuijiingiza moja kwa moja kwenye swala la sarafu na muingiliano wa watu katika ushiriki wao kwenye umoja wa ulaya na sijaona kama kuna hasara wamepata bali naona tu kuna faida zaidi, kwa kuangalia yaliyotokea baada ya matatizo ya kiuchumi kwenye jumuiya ya ulaya.

Nchi nyingi majirani zetu hali ya usalama bado ni ndogo na kufungua mipaka kwa kasi bila tathmini ya kutosha juu ya kudhibiti uhalifu na mambo mengine yanayo fanana na hayo huku tukijua kwamba idadi ya watu wasioajiriwa kwenye nchi nyingi za EAC ni kuweka maslahi ya nchi rehani.

Kenya bado wanapambana na jamaa zao wa Somalia, Rwanda wana waasi kwao, Uganda nao vile vile etc.

Nasupport Tanzania kuwa na limited participation kwenye EAC maana kama kuna baadhi ya members wamekuwa na hasira zenye dalili ya kutotakia mema members wengine, ni muhimu ushiriki wa umoja huu ukafanyika kwa umakini huku maslahi mapana ya utaifa yakizingatiwa,

Nazidi kusisitiza kwamba nchi huwa haziendelei kwa kugawana umaskini wao bali kwa mapinduzi yanayoanzia ndani.

Mfano modogo ni nchi ya korea kusini na kaskazini. Nchi ya korea kusini haikushindwa kufanya vizuri eti kwasababu wana matatizo ya kimaslahi na majirani zao wa kaskazini.
 
Wanaoteka mabasi na kuua watu huko maporini ni nyie watutsi wenye hamu ya damu za binadamu. Shame on you...

don't attack asili za watu , nenda kwenye issues. hakuna kabila baya duniani ... hapa ndipo naungana na Koba . watusi/ hima ni zaidi ya Kagame, na Kagame .si mwakilishi au rais wa watu hao . kama una chuki nao , that's your problem . .. you sound like that sub human mtikila ! don't spoil yourself for nothing!
 
The selling and buying has been going on but it hasnt reached its potential mainly because of imposed barriers. We in Kenya would want to see more of Tanzania's stuff...they're very few btn apart from what mama mboga sells. The biggest problem that Kenyans have in Tanzania is Kenyans are treated like 3rd class foreigners. Someone might have a contract to work for 3 years but u issue a work permit of 2weeks, then they have to keep renewing unfair because those Tanzanians who come to Kenya to study or work are treated like East Africans and dont even require a work permit. Thats why we feel you Tznians are not committed may be it feels nice being called SouthAfricans than East African
do you need a work .permit to study in Kenya ? not getting this !
 
dont cheat us. Tanzania are not treated well in Kenya. there is nothing to loose go on with Ruanda and Uganda. I guarantee you it wont take long. we Tz are civilized and hospitality is our culture

TZdians children fill Kenyan boarding schs all the way to uni, these kids eventually get employed here without the need of a work permit.

Can someone tell me what TZ sells in/to SADC?
 
ww ndo ----- ujui ata kinachoendelea Tanzania inaukaribu sana na nch za magharibi especially US wkt kenyatta anashtakiw ICC and RWanda na uganda mahusiano na nchi za magharib si mazuri saaaana ndo maana tatzo lnakuwa apo pia kama una kumbukumbu kumbuka kuwa marais hao w3 walifanya mikutano yao miez miwili iliyopta tena waliikiita mkutano wa siri:p
 
----- n huyo aneeema watanzania n wauz madawa ya kulevya pia hyo jamaa naona n wale majamaa wa kifaransa walioptshiwa mswada bungen this year
 
Sioni kama kuna ubaya kwa hilo, ila kama wanafanya kukurupuka wasije wakajutia yanayoendelea ndani ya umoja wa Ulaya,

Tanzania inaweza kuchukua nafasi sawa na ya Uingereza katika muungano huu. Maana Uingereza ilikataa kuijiingiza moja kwa moja kwenye swala la sarafu na muingiliano wa watu katika ushiriki wao kwenye umoja wa ulaya na sijaona kama kuna hasara wamepata bali naona tu kuna faida zaidi, kwa kuangalia yaliyotokea baada ya matatizo ya kiuchumi kwenye jumuiya ya ulaya.

Nchi nyingi majirani zetu hali ya usalama bado ni ndogo na kufungua mipaka kwa kasi bila tathmini ya kutosha juu ya kudhibiti uhalifu na mambo mengine yanayo fanana na hayo huku tukijua kwamba idadi ya watu wasioajiriwa kwenye nchi nyingi za EAC ni kuweka maslahi ya nchi rehani.

Kenya bado wanapambana na jamaa zao wa Somalia, Rwanda wana waasi kwao, Uganda nao vile vile etc.

Nasupport Tanzania kuwa na limited participation kwenye EAC maana kama kuna baadhi ya members wamekuwa na hasira zenye dalili ya kutotakia mema members wengine, ni muhimu ushiriki wa umoja huu ukafanyika kwa umakini huku maslahi mapana ya utaifa yakizingatiwa,

Nazidi kusisitiza kwamba nchi huwa haziendelei kwa kugawana umaskini wao bali kwa mapinduzi yanayoanzia ndani.

Mfano modogo ni nchi ya korea kusini na kaskazini. Nchi ya korea kusini haikushindwa kufanya vizuri eti kwasababu wana matatizo ya kimaslahi na majirani zao wa kaskazini.

Naunga mkono HOJA Mkuu!
A%20S-fire1.gif
A%20S-fire1.gif
A%20S-fire1.gif
A%20S-fire1.gif
A%20S-fire1.gif
A%20S-fire1.gif
 
Duh, Lazima tutafakari maana bandari mpya na kubwa kuliko zote Afrika inayojengwa Bagamoyo itapakua na kupakia Meli /kontena ngapi? au itabakia kuwa gofu-lisilo-matumizi a.k.a A White Elephant? Na mkopo wa China tutalipa vipi bila bandari kutumika au itabidi wa_China wakombe madini yote kama fidia yamkopo?!

rushasha must be sub human in analysis .. a hater at best, such a fag
 
Ni bora kuuvunja Shirikisho la EA (EAC) hawa watu hawana maana kushirilkiana nao halafu wacha wajitenge
Magazeti mbona yanaandika vingine kuwa baadhi ya Marais hawakuhudhuria na sababu zilitolewa,JK namsifu kwa kutohudhuria na taarifa zimetolewa mbona hiyo ya Visa haipo?
Marais wakosa mkutano - Kitaifa - mwananchi.co.tz
Mkutano wa wakuu wa nchi za Maziwa Makuu uliokuwa ukifanyika Nairobi, Kenya, umemalizika jana bila kuwepo kwa
Rais Jakaya Kikwete, Rais Paul Kagame wa Rwanda na Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Mawaziri wa ulinzi kutoka nchi za Maziwa Makuu, walitoa taarifa zao na kujadiliwa. Kizimbuzi weka link kuliko kusema umesikia tu kutoka DW je ni lini na nani kasema? ile ya Hotuba ya Rais ya mwisho wa mwezi Julai nimeikubali imekaa ki Great Thinker kabla ya muda

This is a totally different thing from the topic at hand, you are mixing issues here.
 
Most Tanzanians say that Kenyans covet their land and mineral resources. The point is no African country will come and steal your resources. This will be done for you by some smart Alec from an industrialized nation such as the US, UK, China etc whom you consider to be your true friends. Kenya does not have the industries to make use of your bloody Uranium or some other cursed mineral- the markets are not here. As for land, we have since realized that we have vast amounts of it if we only embraced technology as opposed to the archaic rain fed Agriculture. It is for this reason that from this year we are converting the hitherto unused Arid lands to arable through irrigation. You therefore do not need to look over your shoulders to check who is coming to steal your land. Perhaps of importance to you is to formulate sufficient laws to mitigate against hungry folks from industrialized nations who will soon call on you with token aid while plundering your massive resources. Finally and as you may already be aware, God was not mean to us, we have our own resources too and we are discovering a lot more. We have no need for yours.
 
Back
Top Bottom