Kenya, Uganda, Rwanda Kufungua Mipaka

Kizimbuzi

JF-Expert Member
Jul 31, 2013
1,569
739
Nchi za Kenya, Uganda, na Rwanda zimekubaliana Jijini Kigali kuwa raia wa nchi hizo tatu wakitembelea nchi hizo tatu watumie vitambulisho vya uraia wa nchi zao.......Je, Tanzania tumewekwa kando, au hilo ni gap?......kwa hisani ya DW
 
kama una akili utajua tu kuwa tanzania tushatengwa na umoja wa africa mashariki.
tujiunge tuwe state mojawapo ya united states hahahaha
 
Mbona hatujawahi kuwa na viza kwenda Kenya na Uganda kwa miaka sasa au sijaelewa unasema nini hawatatumia passport zao
 
kama una akili utajua tu kuwa tanzania tushatengwa na umoja wa africa mashariki.
tujiunge tuwe state mojawapo ya united states hahahaha
Wote wanatuhitaji hao wasilete za kuleta kama wanamchemsha Kikwete hiyo juu yao lakini Tanzania kwao wote ni muhimu Kenya ni kati ya nchi zilizowekeza sana Tanzania na wananchi wake kibao wanafanya kazi hapa
 
Nchi zote tatu zinaongozwa na wahalifu waache wazikane.Kagame hapo ana ajenda nyingine kabisa.anaandaa makao mapya ya watusi wenzie ikitokea vita.
 
Nchi za Kenya, Uganda, na Rwanda zimekubaliana Jijini Nairobi kuwa raia wa nchi hizo tatu wakitembelea nchi hizo tatu watumie vitambulisho vya uraia wa nchi zao badala ya visa .......Je, Tanzania tumewekwa kando, au hilo ni gap?......kwa hisani ya DW
Mbona hata Tz kwenda Kenya au Uganda hutumii visa,passport inapigwa muhuri mpakani kuonyesha umeingia lini na utakaa siku ngapi..
 
Kizimbuzi,

..wa-Tanzania hatuna vitambulisho vya uraia.

..mgeni yeyote toka nchi majirani zetu akishaingia nchi hii ni vigumu sana kumtofautisha na raia wetu.

..Tume ya Prof.Wangwe ilikusanya maoni ya wa-Tz kuhusu EAC. wananchi kwa sauti kubwa kabisa walisema NO kwa political federation, na masuala ya ardhi. Kwa msingi huo ni muafaka kabisa kwa Kenya,Uganda,na Rwanda, kuendelea na masuala hayo kama wanaona yana faida kwao.

..siyo kweli kwamba Tanzania inapendelea zaidi wawekezaji toka nje ya EAC. Kenya inashika nafasi ya 2 ktk wawekezaji toka nje waliopo Tanzania. Sheria zetu za uwekezaji ziko very friendly kwa wawekezaji wote, hazibagui wawekezaji toka wanachama wenzetu wa EAC.

cc: Mr.ABLE, Makala Jr, Money stunna, butuma
 
Last edited by a moderator:
Ni bora kuuvunja Shirikisho la EA (EAC) hawa watu hawana maana kushirilkiana nao halafu wacha wajitenge
Magazeti mbona yanaandika vingine kuwa baadhi ya Marais hawakuhudhuria na sababu zilitolewa,JK namsifu kwa kutohudhuria na taarifa zimetolewa mbona hiyo ya Visa haipo?
Marais wakosa mkutano - Kitaifa - mwananchi.co.tz
Mkutano wa wakuu wa nchi za Maziwa Makuu uliokuwa ukifanyika Nairobi, Kenya, umemalizika jana bila kuwepo kwa
Rais Jakaya Kikwete, Rais Paul Kagame wa Rwanda na Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Mawaziri wa ulinzi kutoka nchi za Maziwa Makuu, walitoa taarifa zao na kujadiliwa. Kizimbuzi weka link kuliko kusema umesikia tu kutoka DW je ni lini na nani kasema? ile ya Hotuba ya Rais ya mwisho wa mwezi Julai nimeikubali imekaa ki Great Thinker kabla ya muda
 
Nchi za Kenya, Uganda, na Rwanda zimekubaliana Jijini Nairobi kuwa raia wa nchi hizo tatu wakitembelea nchi hizo tatu watumie vitambulisho vya uraia wa nchi zao badala ya visa .......Je, Tanzania tumewekwa kando, au hilo ni gap?......kwa hisani ya DW
Siku zote nilikuwa naziangalia politics za M7 kwa jicho la tahadhari. Nikaja kubaini kwamba wako very close na Uhuru, ambaye namchukulia kama mtu asiyetabirika.M7 na Kagame got long history. Ushirika huu wa watatu hawa wahitaji kuchukuliwa kwa tahadhari kubwa na serikali yetu, kwani watatu hawa wanamezea mate sana rasilimali zetu.
 
Nchi za Kenya, Uganda, na Rwanda zimekubaliana Jijini Nairobi kuwa raia wa nchi hizo tatu wakitembelea nchi hizo tatu watumie vitambulisho vya uraia wa nchi zao badala ya visa .......Je, Tanzania tumewekwa kando, au hilo ni gap?......kwa hisani ya DW

A nation is in fact an individual. The best rule of thumb in any individual life is to be yourself; to follow your soul; to follow your heart and mind; never to follow the crowd where the heart and mind refuses. We have chosen our path, they have chosen theirs. So be it! They are entitled to the dictates of their hearts and minds. Let's keep our borders as much tight as we can! Long live Tanzania.
 
Nchi za Kenya, Uganda, na Rwanda zimekubaliana Jijini Nairobi kuwa raia wa nchi hizo tatu wakitembelea nchi hizo tatu watumie vitambulisho vya uraia wa nchi zao badala ya visa .......Je, Tanzania tumewekwa kando, au hilo ni gap?......kwa hisani ya DW

Gap gani hapo, kwani si wa kwetu tutaenda huko na hizi za temporarily ambazo hata katibu tarafa anakupigia mhuri tu tena ambazo zikipotea wala hupati usumbufu wa kwnda polisi kutoa matangazo
 
Tanzania wako busy cracking down wageni kutoka hizo nchi jirani na kuwaita wageni haramu huku wao wako busy kufungua mipaka yao na kuongeza business,Uhuru is the winner here and genious kuchukua billions and billions of cargo money from Dar to Mombasa kirahisi namna hiyo,sitashangaa wakijenga reli haraka ili kufanya Mombasa route iwe cheap and permanent kwa Uganda and Rwanda na Reli ikishaingia huo ndio utakuwa mwisho wa kuona cargo ya hizo nchi,na Burundi and Eastern DRC zote zitahamia Mombasa route maana itakuwa karibu zaidi,Dar Port ni very important kwa uchumi wa Tanzania inakusanya more than 60 billions a month,something must be done here la sivyo itabaki what went wrong??
 
A nation is in fact an
individual. The best rule of thumb in any individual life is to be
yourself; to follow your soul; to follow your heart and mind; never to
follow the crowd where the heart and mind refuses. We have chosen our
path, they have chosen theirs. So be it! They are entitled to the
dictates of their hearts and minds. Let's keep our borders as much
tight as we can! Long live Tanzania.



Cmon you said it very ... l! may be I add this. To my understand Tanzania is a Pure individual SOUL! With uniqure Identity maturity and able to take care of ITSELF ... AND INDEED THIS SHOULD BE VERY CLEAR TO THE NEIGHBOURS ... ESPECIALLY PRESIDENT KAGAME!
 
Back
Top Bottom