Kenya ndio nchi ya kwanza Afrika ku-host U-20 world Athletics Championships

Lazyland republic hamjatuma wanariadha huku kama kawaida yenu malazy.
 
Watanzania huwa mnasema kwamba mnakula vizuri hadi mnashiba na kwamba Wakenya tunashinda njaa ila likija kwenye suala la spoti hususan riadha huwa mnaambulia patupu na sisi tunashinda medali karibu zote hapa Afrika.
Sawa bwana. kwa hilo sina la kusema. Leo nawaachia mtambe tu.
 
Lazyland republic hamjatuma wanariadha huku kama kawaida yenu malazy.
Kwahivyo kwa kifupi Tanzania hawatakua tofauti kwa Olimpiki (in terms of participants) ya Paris (2024) and Los Angeles (2028)? Manake kama wanataka kukuza talanta ya wanariadha wa Olimpiki mbili zijazo hua ni uanze kwa kushiriki michezo ya ma junior kwa wingi manake hao ndo watakuja wamefika umri sawa inapofika 2024 ama 2028... Kama Haina team ya junior inayotambulika sahii usitarajie kupata medali yoyote kwa Olympics zijazo, it's that simple! Mtu kama Eluid kipchoge alishinda medali yake ya Kwanza akiwa miaka 18 kwenye youth championships...
 
Wewe usimuamshe alie lala ,tukija kuamkaa mutakimbia refer mziki wa Tz uko juu zaidi yenu mpk munatuiga .Sasa tunajipanga kuja huko kwenye michezo mutakomaaa.
Mziki ni mambo za Zamu, hata sisi kuna wakati mziki wa Kenya ndo ulikua unatambulika zaidi eneo hili, kabla hapo ilikua ni mziki wa congo, na kabla hapo ilikua ni blues na RnB za kutoka marekani... Na hata hio bongo flavor, kabla itambulike ilikua ni Naija na ngoma za SA ndo zilikua zinavuma... Sahii ndo msimu wenu wa bongo flavor lakini haitakua hivyo milele.... Usishangae miaka 5 kutoka sasa ukapata ni zamu ya Uganda kutamba kimziki kabla irudi kwa Kenya..

Lakini ikija kwa spoti hakuna cha zamu, Kenya imeshikilia Number 1 barani Africa kwa kila Olympic hatujawahi toka kileleni na hakuna dalili yoyote kwamba kuna nchi nyengine ya kiafrica inayotutishia..


1629360106147.png



Kama ingekua Tanzania mnataka kuja kutushinda kispoti mngeanza na kupeleka kikosi kikubwa pale Nairobi kwa haya mashindano ya under20 alafu mkishinda hapo ndo tutajua kwamba hao majunior watakua tishio kubwa wakishakua senior na kushiriki olimpiki ya 2024.
 
Shida ni hizi nchi za magharibi. Some of these western countries are completely racist and I hate them because of this. Both during the under 18 world championships and this under 20 world championships, alot of western countries refused to send their athletes to Kenya. In 2017 under 18 championships, they refused to come citing terrorism as an excuse. This time they are citing corona as the excuse. Even if we get the rights to host world athletics championships in 2025. These racist countries will not attend. They will find an excuse not to attend. Just a few western countries have attended i.e Canada, France, Sweden, Portugal and a few others. Big countries that have not attended include UK, US, Australia. Even China did not attend this time. I hope we win the hosting rights for 2025 WAC. Whether these assh*les want to attend or not, it is their own problem.
Mwishowe watakuja wenyewe tu, The under 18 championships were more successful than any other World U18 Championships in its history! the IAAF president said so himself and to top it off, most of the athletes themselves said they had the time of their lives at the event and that they were satisfied.... And this year during Covid we hosted a successful WRC bila any incident..... Tuendelee kuwashikisha haya polepole mwishowe watatuheshimu tu. They say respect must be earned, we will not beg for it nor will we demand it! tutafanya yetu mpaka mwishowe watatuheshimu..


Speaking of which, I wish we (GoK or maybe a joint venture of large companies like Safaricom, Kenya Airways, Equity, KCB, Centum) could construct a state of the art Sports Complex that will be a University and a highschool where we create a countywide network for talent identification where people with the best talents are sponsored to go to this University where all the facilities for all the games played at the Olympics are available with the best coaches hired to nature talents from form 1 up to University.. Tena wawe wanalipwa vizuri na kila mwanafunzi anapewa monthly income as long as they keep on being the best and improving on their performance. By the time they graduate at age 22, they will be world beaters!!!!
Yani kwa kivupi kule kwa Olympics tuanze kushinda ile michezo ambayo hua imetengenezewa wazungu ili washinde medali za kijinga, mambo kama sijui Artistic Swimming... WTF is that? Marekani hushinda kama 30 Medals kutoka kwa Swimming pekee!!! Thats where most of their medals come from... USA medal count at Tokyo Olympics: Full list of every medal for Team USA at Summer Games

Hizi ndo spoti ambazo tunafaa kutarget, China nao hua na spoti flani ambazo most of their medals come from, UK pia hivyo hivyo...... tuki target hizi spoti ambazo ni stronghold zao hapo ndo tutawaudhi kabisa hao maracists manake tukichukua just 5 medals za Swimming away from USA na 5 medals zengine Away from Russia na 5 Zengine Away from China na another 5 from UK...etc Hapo itakua tuwewaweza kabisa, ndo watazidi kutuchukia manake itakua tunawaharibia mipango yao alafu tutajipata tumepand akwa ranking mpaka tunatishia kushinda wengine wao, Yani itakua ka nchi kadogo kenye Uchumi mdogo suddenly inaaza kua jina kubwa la kuheshimika kwenye Olympics tunashinda hadi ile michezo ya winter kwenye snow ilihali kwetu ni desert!!! Itakua raha kuruka!!!!
Unajua Olympics hua its not just about the games, There is a certain unspoken word associated with WWI, It is kind of expected that permanent Members of the UN are the ones that won the war and they are the G7 (Worlds most industrialized countries) and nuclear weapon super powers and they and only them are expected to take most of the medals at the Olympics... USA winning overall medals is a way of showing the world that they are still that powerful country where their citizens are the best at everything thus disrupting their number 1 status will be a huge blow , If China ever becomes number one utaskia this is proof that CHina is finally ahead of the USA as a super power.
 
Kenya tumeshinda 10 kilometres race walk (men). The first time tumeshinda any medal in any race walk competition whatsoever. Congratulations Wanyonyi.
 
hongera zetu mazeee dahhh...tuko vizurii...uswahilini naskia tozo zinaongezekaa hadi gestiiii😅😅
 
In total 119 countries participated bringing about 1,000 athletes !!!! The athletes stayed at BOMA, Safaripark, Olesereni, Sarova, Tamarind hotels among thers.
 
Statement from World Athletics.




World Athletics hails "highly successful" World U20 Championships in Nairobi



The World Athletics U20 Championships in Nairobi have earned their place in the history books with four world U20 records, 15 championship records, 11 area U20 records, 68 national U20 records and 10 national senior records.

The championships ended with a flourish on Sunday (22) as the Jamaican women and the South African men broke world U20 records in the 4x100m relays, adding to the two world U20 records set by France's Sasha Zhoya in the men's 110m hurdles.

The home team Kenya topped the medal table with eight gold, one silver and seven bronze medals, ahead of Finland (4, 1, 0), Nigeria (4, 0, 3), Ethiopia (3, 7, 2) and Jamaica (3, 6, 2).

From more than 100 countries that competed in Nairobi, 18 teams won gold medals, 35 won medals and 63 had top eight finishes.

Kenya, Finland, Nigeria and Botswana were among the countries that had their best ever world U20 championships. Namibia and Israel won their first gold medals and Cyprus won its first medal.

World Athletics President Sebastian Coe hailed the athletes, teams and organisers for their dedication and determination to make this a successful event despite the logistical challenges created by the Covid-19 pandemic.

The championships were broadcast to more than 70 countries around the world and every other country had access to a livestream on World Athletics’ YouTube channel.

"These championships have not just taken place, they have been highly successful," Coe said. "We have all been so impressed with the range and depth of talent we have seen from these young athletes.

"The last World U20 championships (in Tampere in 2018) featured names like Armand Duplantis, Jakob Ingebrigtsen and Peruth Chemutai among others, all Olympic champions just three years later. So it's reasonable to think we've seen some of the Paris 2024 champions-to-be In Nairobi.

"The next four years offers unprecedented opportunities for these future champions to move on to the senior World Championships and Olympic stages. I'm really looking forward to seeing many of these young champions rising through the senior ranks."

Many of the younger athletes who have featured in Nairobi will also have the chance to compete at the next World Athletics U20 Championships, being held in Cali, Colombia, next year.

The flag was passed from Nairobi to Cali at tonight's closing ceremony in Kasarani Stadium.

The World Athletics U20 Championships in numbers:

RECORDS SET​

4 world U20 records: (Sasha Zhoya FRA in the 110m hurdles - 12.93 semifinal and 12.72 final; Jamaica in the women’s 4x100m relay – 42.94; South Africa in the men’s 4x100m relay – 38.51)

15 championship records: (Anthony Pesela BOT in the men’s 400m - 44.58; Emmanuel Wanyonyi KEN in the men’s 800m – 1:43.76; Tadese Worku ETH in the men’s 3000m - 7:42.09; Sasha Zhoya FRA in the 110m hurdles - 12.93 and 12.72; Mykolas Alekna LTU in the men’s Discus Throw – 69.81; South Africa in the men’s 4x100m – 38.51; Christine Mboma NAM 22.41 semifinal, Beatrice Masiilingi NAM 22.19 semifinal and Mboma 21.84 final in the women’s 200m; Silja Kosonen FIN in the women’s hammer - 71.64m; Jamaica in the women’s 4x100m – 42.94; Mixed 4x400m (new event) India in heat 1 - 3:23.36, Nigeria in heat 2 - 3:21.66 and Nigeria in final - 3:19.70)

11 area U20 records: (Mire Reinstorf RSA in the women’s pole vault – 4.15m; Mine De Klerk RSA in the women’s discus – 53.50m; Jamaica in the women’s 4x100m – 42.94; Sasha Zhoya FRA in the 110m hurdles - 12.93 semifinal and 12.72 final; men’s 4x100m Poland with 38.93 in the heat and 38.90 in the final, South Africa and Nigeria =AR both 39.33 in the heats, South Africa 38.51 and Jamaica 38.61 in the final)

68 national U20 records

10 national senior records

259 personal bests

MEDALS AND PLACINGS​

18 countries won gold medals (9 from Europe, 6 from Africa, 3 from the Americas)

35 countries won medals

63 countries finished in top 8 (point scoring position)

Israel and Namibia have their first ever world U20 champions (Yonathan Kapitolnik in the men's high jump and Christine Mboma in the women's 200m).

Cyprus won its first medal (Styliana Ioannidou, bronze in the women’s high jump).

Hong Kong China, Kosovo, Malta, Oman and South Sudan have had their first finalists.

HEALTH AND SAFETY PROTOCOLS​

Over 5000 LAMP tests were conducted.

Over 4000 PCR tests were conducted.

Around 10,000 antigen tests were conducted for LOC staff and volunteers, who were tested every day.

BROADCAST​

The Championships have been broadcast in more than 70 countries.

Every other country has had access to a livestream through the World Athletics YouTube channel.

In Kenya, the local free-to-air broadcaster NTV has had around 1 million viewers tune in to the Championships each day.
 
Tulipojaribu High Jump lakini ilikua inachekesha, tulitumia style ya kawaida kuruka kimo cha juu badala ya ile technique ya kuruka kana kwama unapiga pendu




Huyu mschana akifundishwa the right technique atavunja rekodi ya dunia ya High Jump kwa Olympics za 2024, France
 
Back
Top Bottom