Kenya:Hivi polisi wanafikiria kuomba msamaha ni jambo rahisi wakishatenda

Kenya:Hivi polisi wanafikiria kuomba msamaha ni jambo rahisi wakishatenda

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,524
Sio Kenya tu hata Tanzania ni jambo rahisi kukanusha mpaka waziri leo wa fedha kusema yale magunia yaliyo wekwa watu yenye chapa ya tanzania kuwa yalitupwa baharini.

Hivi unawezaje kujibu majibu rahisi kama hayo.

Sasa Kenya baada ya kuona mada imekuwa ngumu polisi anaomba msamahaa yani kesi ifanyike busara kuwa imekishwa.

Albert Ojwang swala la kuibua madai kama IGp mfano Tanzania ndio ndio kilichopotokea kuuliwa kwake.

Polisi wana wakati mgumu duniani.
 
Back
Top Bottom