Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Bodi ya Famasia na Sumu(PPB) ya #Kenya imesema watu 279 walioripotiwa kupata madhara baada ya kupata chanjo ya Astrazeneca 272 walipata nafuu baada ya muda mfupi
Na wengine saba waliokuwa katika hali mbaya waliropotiwa na kutibiwa ambapo wamerudi katika hali ya kawaida ndani ya muda mfupi
PPB imesema hakuna kifo kirichoripotiwa baada ya wakenya kupata chanjo ya Astrazeneca
Na wengine saba waliokuwa katika hali mbaya waliropotiwa na kutibiwa ambapo wamerudi katika hali ya kawaida ndani ya muda mfupi
PPB imesema hakuna kifo kirichoripotiwa baada ya wakenya kupata chanjo ya Astrazeneca