Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
Baada ya uwepo wa taarifa kuhusu Kimbunga Freddy kuwa kina uelekeo wa kwenda Pwani ya Afrika Mashariki, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema imejiridhisha hakuna madhara ya moja kwa moja katika maeneo ya Tanzania.
TMA imesema itatoa taarifa punde kutakapokuwa na haja ya kufanya hivyo kwa kuwa Kimbunga Freddy bado kipo Kusini Magharibi mwa Bahari ya Hindi karibu na Pwani ya Madagascar.
Pia Soma Kimbunga Kikali cha Freddy kinaelekea Afrika Mashariki
TMA imesema itatoa taarifa punde kutakapokuwa na haja ya kufanya hivyo kwa kuwa Kimbunga Freddy bado kipo Kusini Magharibi mwa Bahari ya Hindi karibu na Pwani ya Madagascar.
Pia Soma Kimbunga Kikali cha Freddy kinaelekea Afrika Mashariki