Kemebos Sec.School aliyefeli sana ana Division One ya 7

Kemebos Sec.School aliyefeli sana ana Division One ya 7

Serikali tunailaumu kwa namna inavyoendesha siasa za kionevu lakini kwenye Elimu hapana inahudumia watu wengi mno mpaka vijijini wasio na exposure yoyote ya dunia.
Serikali iache fee control na iwape flexibility kwenye curriculum zao for private schools, na taxes ziko juu sana, control and heavy handed ina discourage private education na kuifanya more expensive, waondoe pua zao watu wafanye kazi
 
sasa shule wanaenda fanya usaili wanafunzi zaidi ya mia5 kisha wanachagua clean tu watafelishaje sasa hapo ni wanafunzi wapo clean na hawaibi mitihan bali n matokeo yao halisi

hv unadhan tukiwachukua wanafunzi wa buza sekondari tukawapeleka kemobos na kaizielrege kisha uongoz na walimu na mazingira na masosi ubaki ule ulw iv unafikir 4 na zero zitakosekana??

zikikosekana jua sio wanafunzi wa buza naowajua mm😅🤣😂
Sasa wewe kiande kweli unadhani huyo mwanafunzi wa Buza. Kinachomfelisha ni Ubuza uliopo ndani yake au mazingira uanayomzunguka?
 
Nimepata muda wa kuperuse matokeo ya form 2 NECTA latest results, nimeona watoto wote wa Kemebos wakiwa na Division 1 Point 7.

Daaah niwape hongera kubwa waalimu wa hii shule kama hakuna janja janja kwenye ufanyaji wa mitihani. Hata matokeo ya form 4 mtoto aliyefeli sana alipata Division One ya point 11

Halafu mmiliki wake unaambiwa ni darasa la 7 alikuwa Fundi Gereji na Dereva wa Malori, aliamua kuanzisha Shule kwa sababu yeye hakusoma, baba yake alikosa ada ya kumsomesha mara baada ya kumaliza darasa la 7.
Interview yake ipo Milardi Ayo - YouTube
 
Nimepata muda wa kuperuse matokeo ya form 2 NECTA latest results, nimeona watoto wote wa Kemebos wakiwa na Division 1 Point 7.

Daaah niwape hongera kubwa waalimu wa hii shule kama hakuna janja janja kwenye ufanyaji wa mitihani. Hata matokeo ya form 4 mtoto aliyefeli sana alipata Division One ya point 11
KAWAIDA kabisa...sisi wengine hayo yote tumeyafanya kwenye shule za KAWAIDA kabisa..

Tena tumesoma kwa kibatarii...tulipo shindwa kuelewa tulikaririii... Imagine Kila kitabu na Kila SOMO tulihifadhii KICHWANI kama JUZUHU 😁
 
Hivi watoto wanaotoka hizi shule huwa wanafanyia kazi wapi wakimaliza shule,nawaza tu,unakutana na mtoto aliyetoka shule kama hizi kwenye interview,huyu lazima yeye atapita tu,na anayetoa ajira huyu hawezi kumuacha,kwahiyo siye wengine wa st.kayumba inabidi tuendelee tu kutafuta vizimba vya kufanyia biashara...
 
Hatutaki watoto ama elimu ya kukariri ndugu check Finland Amsterdam elimu yao ilivyo nzuri .
Unadhani hata watt wangepata alama mia moja wote kwa Kila somo unadhani hapo wangesaidia nini ama wangejiletea faida Gani kwao na kwa Taifa Zima , we need to train our kids to think and Innovate na sio kukariri aka claiming capacity Kama za waziri mmoja ivi wa Malawi, we need to change our education system na sio kumpima mtoto wa kukariri , what then if they scored all 100% marks in their final exams
 
sasa shule wanaenda fanya usaili wanafunzi zaidi ya mia5 kisha wanachagua clean tu watafelishaje sasa hapo ni wanafunzi wapo clean na hawaibi mitihan bali n matokeo yao halisi

hv unadhan tukiwachukua wanafunzi wa buza sekondari tukawapeleka kemobos na kaizielrege kisha uongoz na walimu na mazingira na masosi ubaki ule ulw iv unafikir 4 na zero zitakosekana??

zikikosekana jua sio wanafunzi wa buza naowajua mm😅🤣😂
Jidanganye
 
Hatutaki watoto ama elimu ya kukariri ndugu check Finland Amsterdam elimu yao ilivyo nzuri .
Unadhani hata watt wangepata alama mia moja wote kwa Kila somo unadhani hapo wangesaidia nini ama wangejiletea faida Gani kwao na kwa Taifa Zima , we need to train our kids to think and Innovate na sio kukariri aka claiming capacity Kama za waziri mmoja ivi wa Malawi, we need to change our education system na sio kumpima mtoto wa kukariri , what then if they scored all 100% marks in their final exams
"....aka claiming capacity...."
Mimi mtu wa bima sijaelewa hapo.
 
"....aka claiming capacity...."
Mimi mtu wa bima sijaelewa hapo.
Mtu anakariri kuwa Tanzania ina km ngapi za lami za vumbi ama tuna samaki kiasi gani Sasa baadaye akiulizwa hayo maswali anajibu tunamtukuza kuwa ana akili ama uwezo mkubwa sana wakati hawezi buni chochote yaani analishwa na baadaye anatapika tunasema kuwa ana uwezo mkubwa wakati akatapika alicholishwa so hana impact yoyote. Waafrika huwa wanawazidi adi wazungu kukariri na kufaulu mitihani Ila waafrika hawafundishwi ubunifu ama namna ya kuwaza ili hata waweze kujitengenezea tissue stiki za mdomoni ama pini hata wembe tunashindwa kuwaza namna ya kuzitengeneza.
 
Back
Top Bottom