Kemebos Sec.School aliyefeli sana ana Division One ya 7

Kemebos Sec.School aliyefeli sana ana Division One ya 7

Kuna shule wana shule mbili , hata hao vipanga wanachujwa wapatikane vipanga wa vipanga , hivyo vipanga A wanasajiliwa kwa shule A na vipanga wa vipanga wanasajiliwa kwa shule B.

Matokeo yakitoka wale vipanga wa vipanga wanakua kama matangazo ya biashara 😃
Aina flani ya ujanja ujanja😀
 
main factor n mchujo mkali ...........kama hutaki kuamini badilisha kitu ki1 tu weka apo wanafunzi wa mbagala kuu sek uone kama zero hazitakuwepo*......
Nashangaa kwa nini kuna baadhi wanajifanya hawaoni kwamba MCHUJO MKALI ndio mbinu kuu ya Shule za namna hii. Ujanja ujanja 😀
 
Nimepata muda wa kuperuse matokeo ya form 2 NECTA latest results, nimeona watoto wote wa Kemebos wakiwa na Division 1 Point 7.

Daaah niwape hongera kubwa waalimu wa hii shule kama hakuna janja janja kwenye ufanyaji wa mitihani. Hata matokeo ya form 4 mtoto aliyefeli sana alipata Division One ya point 11
Kwa watu wenye maarifa; matokeo ya hizo shule na nyingine zinazofuata utaratibu huo wala sio habari
kwani zinachukua wale watoto waliokuwa wanaongoza mashuleni kwao na wale ambao hawaperfom wanahamishwa.
kwa hiyo sio ajabu kufaulisha kwani wanachukua ma genius ambao hata ungewapekeka kwingine wangefaulu.
Shule bora kabisa ni hizi zinazochukua changanyikeni halafu form four ukute zina Div one; 18 kati ya wototo pengine 60.
 
Kila mtoto ana akili ni Mikakati tu.
Mikakati ya wewe Mzazi na mwanao.
Isipokuwa tu kama kichwani kuna matatizo ya magonjwa na mengineyo.
 
Kila mtoto ana akili ni Mikakati tu.
Mikakati ya wewe Mzazi na mwanao.
Isipokuwa tu kama kichwani kuna matatizo ya magonjwa na mengineyo.
Ulisoma wapi hiyo,?
Kila mtoto anakipaji tofauti tofauti ila uwezo wa kukariri ambao ndio unaopimwa kwenye elimu yetu (kwenye mitihani yetu) unatofautiana
Kwa hiyo, kila mtoto ana akili inayo mfanya awe na kipaji chake ILA sio watoto wote wenye uwezo wa kukariri.
Unajua elimu yetu inapima wale wenye uwezo wa kukariri.....
 
Ulisoma wapi hiyo,?
Kila mtoto anakipaji tofauti tofauti ila uwezo wa kukariri ambao ndio unaotumika kwenye elimu yetu unatofautiana
Kwa hiyo, kila mtoto ana akili inayo mfanya awe na kipaji chake ILA sio watoto wote wenye uwezo wa kukariri
Unajua elimu yetu inapima wale wenye uwezo wa kukariri.....
Ndio maana nasema Mkuu.Kila mtoto ana akili.
Kwa sasa huku Nchi za tatu ..kidogo tunaanza kuelewa maana ya elimu na matunda yake hasa ile elimu kama ya hao wenzetu.
Sisi tuliopitq kwenye mifumo ya kumeza unaona matunda yake.
Tumesoma Physics..Chem ..madude kibao kibao ,mwisho wa siku tukahama kabisa huko kwa sababu hakuna dira na muendelezo na kupenda..impact ya kumeza madude..😀😀😀
 
Nimepata muda wa kuperuse matokeo ya form 2 NECTA latest results, nimeona watoto wote wa Kemebos wakiwa na Division 1 Point 7.

Daaah niwape hongera kubwa waalimu wa hii shule kama hakuna janja janja kwenye ufanyaji wa mitihani. Hata matokeo ya form 4 mtoto aliyefeli sana alipata Division One ya point 11
Kwaheshima na taadhima nakuomba uangalie matokeo ya shule hizi za BAKWATA Al haramain,Mivumino islamic ,Mtambani islamic kisha ulete mrejesho.
Huko form two wamefanya vizuri balaa.
 
Hatutaki watoto ama elimu ya kukariri ndugu check Finland Amsterdam elimu yao ilivyo nzuri .
Unadhani hata watt wangepata alama mia moja wote kwa Kila somo unadhani hapo wangesaidia nini ama wangejiletea faida Gani kwao na kwa Taifa Zima , we need to train our kids to think and Innovate na sio kukariri aka claiming capacity Kama za waziri mmoja ivi wa Malawi, we need to change our education system na sio kumpima mtoto wa kukariri , what then if they scored all 100% marks in their final exams
Hii ni point ya msingi...wazazi nao wamekuwa malofa kushangilia hizo craming capacity...inatusaidia nini kama taifa hatq watoto wote wqkipata div one??
 
Michezo sio rahisi sasa 😂
Ndio maana wengine hawawezi
Michezo, mitihani inauzwa sana,siye tuliocheza fair play tunaumia roho,nikikumbuka jamaa alinipa maswali ya history kabla ya paper pale minaki,sikuyazingatia,natoka kwenye paper napanga vitu nayaona mwaswali ni mtihani niliotoka kufanya,roho huniuma sana
Paper zinauzwa sana
 
Kwaheshima na taadhima nakuomba uangalie matokeo ya shule hizi za BAKWATA Al haramain,Mivumino islamic ,Mtambani islamic kisha ulete mrejesho.
Huko form two wamefanya vizuri balaa.
Mivumoni siyo BAKWATA wala mtambani
Hao mtambani shule ya msingi kupata nafasi ufanye kazi, watoto wanatoka wazuri mno
 
Back
Top Bottom